Sisi Vijana wa CCM tumebaki wakiwa

Ilizoeleka tukiwajibu wapinzani ndo tunaonekana zaidi, pia wakati wa uchaguzi tumefanya kampeni kuwapigania wagombea wetu wapite kwa kishindo.Walipita kwa kishindo.

Lakini sasa hali imekuwa ngumu hakuna wa kumjibu wapinzani wamejifanya kukaaa kimya kama Nchi siyo Ya kwao. Hata ile buku saba hapa lumumba imekata.

Ajira za chama zimekata pia, tulizoea kila mwaka sisi vijana makada watiifu kutuma vyeti vyetu kupangiwa kazi afisa tarafa, utendaji wa kijiji, na wale waliosomea msmbo ya uandisi walipangiwa kufanya kazi katika wizara husika. Mimi nilitegea kwa sababau nilitaka kuwa DED, DAS, RAC, DC au RC.

Sasa vyote nimevikosa nimebaki na piga miayo. Wapinzani jamani liamsheni dude ili nasi vijana tuwajibu kwa maneno ili tupate mkate wa kila siku.

Wanajamvi msinichukie hali ni mbaya huku ground, nawasilisha.
Kama kuna wakati vijana wa CCM wangeweza kutumia "kutoka" basi ni sasa chini ya Mkulu.

Tatizo nadhani kumekosekana ujasiri na innovation ya nini vijana wanaweza kufanya nje ya kusubiri uteuzi.

Kwa mfano, ofisi ya Katibu wa Umoja wa Vijana ilitakiwa itafute mtu wa kuajiriwa kama project manager au investment manager ili kuja na miradi ya uwekezaji kwa Tanzania kwa vitu ambavyo soko lake liko wazi kabisa.

Mfano, kwanini UVCCM kwa assets zake tu, ikaomba ridhaa ya baraza la wadhamini CCM ili wakope kwenye investment bank kama AfDB au WB kupitia IFC, dhamana ikiwa ni assets za UVCCM au chama chenyewe.

Wangeweza kuwa na industrial projects kama kuzalisha sukari kwa kutumia sugar beet. Sugar beet kama raw materials zina concentration kubwa ya sucrose ukilinganisha na miwa na inazaa ndani ya miezi 3-4; kama kuna shamba unaweza kuvuna mara 3 kwa mwaka kwa mzunguko unlike miwa mara 1 in 9-15 months.
Mkopo wa uwekezaji wa equipment mashambani ambapo vijana hao hao wanakuwa trained to manage kuanzia farming production, industrial production, marketing kwenye soko la ndani ambalo kila mwaka lina agiza sukari ya kawaida na sukari ya viwanda.

Binafsi ninamfahamu Heri James, ni kijana mzuri jukwaani kama alivyo katibu wake. Ila siasa ya sasa lazima isiwe ya majukwaa; ni namna gani ina-solve problems kama kutengeneza ajira.

Investment moja inaweza kuzalisha ajira 300; watu hawa ni wengi kuzidi wakuu wa Wilaya.

Kuna kazi za mashambani watafanya na kazi za kitaalamu kama procurement, accounting, investment kwenye new projects baada ya hii ya kuzalisha sukari ku-take off.

Mambo kama haya vijana wangekuwa wanampigia kelele Mkulu angewaelewa sana.

Ila wakibaki kusubiri lobbyist wawashike mikono na kuwasemea, baadhi wachache watapata ila kuna lots can be done by creating value kupitia local opportunities.

Kuna wakati mmoja Rais JPM alimshangaa Ernest Mangu kwa kuwa soft, akasema I wish, I could be IGP. Kwa mfano huo huo, kwa kuwa na mtu anaetaka sifa ya kuona mambo makubwa yanafanyika, nasema I wish ningekuwa UVCCM; ningesumbua sana kugonga milango with various proposal na business plans kuonesha nini kinaweza kufanyika Tanzania.

Vijana huu ni wakati wenu. Tanzania ina potential ya kutosha kutengeneza bilioners ila lazima serikali ihusike kwenye ku-leverage vitu kama Investment Equity.
Mimi binafsi nakiri kuna fursa nyingi sana nakutana nazo za kupata fedha na technology ila lazima kuwa na gov support/backing kwenye nini nataka kufanya sio kwa maneno, ila kwa docx ikiwemo uhakika kwa ardhi (say land lease ambayo italipiwa mradi uki-take off). Na sio kwa udalali, ila kampuni ya ndani iliyosajiliwa BRELA ndio inakopeshwa. Uwepo wa backing ya gov unawapa imani investment financiers kutoa hela zao.
Sasa vijana wa CCM mna Mkiti wa CCM ambae ni Rais, Waziri wa fedha wa kwenu, AG wa kwenu, waziri wa ardhi wa kwenu, waziri wa uwekezaji wa kwenu; mnakwama kwa kutokuwa strategist ya kujua unaomba nini.

Ajira za uteuzi sio deal kivile; ikija sawa, ukianguka unarejea ulikotoka kwenye company yenu mnaendeleza maisha.

China waliowajengea Ukumbi wa JK conference centre ni mabepari kupitia biashara wanayofanya na nchi kibao. UVCCM iamke wasilie wajifunze kuwa mabepari kupitia fursa za uwekezaji.
This is your time youth league.

Freddie
 
Ilizoeleka tukiwajibu wapinzani ndo tunaonekana zaidi, pia wakati wa uchaguzi tumefanya kampeni kuwapigania wagombea wetu wapite kwa kishindo.Walipita kwa kishindo.

Lakini sasa hali imekuwa ngumu hakuna wa kumjibu wapinzani wamejifanya kukaaa kimya kama Nchi siyo Ya kwao. Hata ile buku saba hapa lumumba imekata.

Ajira za chama zimekata pia, tulizoea kila mwaka sisi vijana makada watiifu kutuma vyeti vyetu kupangiwa kazi afisa tarafa, utendaji wa kijiji, na wale waliosomea msmbo ya uandisi walipangiwa kufanya kazi katika wizara husika. Mimi nilitegea kwa sababau nilitaka kuwa DED, DAS, RAC, DC au RC.

Sasa vyote nimevikosa nimebaki na piga miayo. Wapinzani jamani liamsheni dude ili nasi vijana tuwajibu kwa maneno ili tupate mkate wa kila siku.

Wanajamvi msinichukie hali ni mbaya huku ground, nawasilisha.
Wewe ni chadema
 
Kama vipi tembeeni na viboko muwacharaze watu wote wanaovaa barakoa wanatumiwa na mabeberu kwenye vita ya uchumi wetu wa chini kati.
WEWE si mwana CCM kamwe bali chadema at work.
Mnaweweseka sana nchi imetulia watu wanachapa kazi sasa mmebaki kuhangaika mitandaoni.
Chama kimepoteana.
ZITTO kawaacha solemba ameunga juhudi upande wa pili

Mbowe mambo yamemzidi, mshauri wake wa karibu Lema kakimbia madeni

Makamu mwenyekiti katimkia ubelgiji kwa bwana Amsterdam

Nguvu kubwa ya BAWACHA na mkaribu wake Halima mdee amekengeuka shauri ya utofauti wa mitazamo

Sasa mzigo wa mawazo na changamoto ni kubwa zaidi kwa mbowe!
Mbowe ameachiwa kazi ngumu bila ushauri kwa wenzie.
Nyinyi mmehamishia siasa kwenye MITANDAO ya kijamii.
Sasa mnaanza ufitinishi kukifanya wana CCM.

AIBU KWENU WALAANGA SUMU!
 
Ilizoeleka tukiwajibu wapinzani ndo tunaonekana zaidi, pia wakati wa uchaguzi tumefanya kampeni kuwapigania wagombea wetu wapite kwa kishindo.Walipita kwa kishindo.

Lakini sasa hali imekuwa ngumu hakuna wa kumjibu wapinzani wamejifanya kukaaa kimya kama Nchi siyo Ya kwao. Hata ile buku saba hapa lumumba imekata.

Ajira za chama zimekata pia, tulizoea kila mwaka sisi vijana makada watiifu kutuma vyeti vyetu kupangiwa kazi afisa tarafa, utendaji wa kijiji, na wale waliosomea msmbo ya uandisi walipangiwa kufanya kazi katika wizara husika. Mimi nilitegea kwa sababau nilitaka kuwa DED, DAS, RAC, DC au RC.

Sasa vyote nimevikosa nimebaki na piga miayo. Wapinzani jamani liamsheni dude ili nasi vijana tuwajibu kwa maneno ili tupate mkate wa kila siku.

Wanajamvi msinichukie hali ni mbaya huku ground, nawasilisha.
Ongelea kuhusu Covid mbona utaonekana fastaaa
 
WEWE si mwana CCM kamwe bali chadema at work.
Mnaweweseka sana nchi imetulia watu wanachapa kazi sasa mmebaki kuhangaika mitandaoni.
Chama kimepoteana.
ZITTO kawaacha solemba ameunga juhudi upande wa pili

Mbowe mambo yamemzidi, mshauri wake wa karibu Lema kakimbia madeni

Makamu mwenyekiti katimkia ubelgiji kwa bwana Amsterdam

Nguvu kubwa ya BAWACHA na mkaribu wake Halima mdee amekengeuka shauri ya utofauti wa mitazamo

Sasa mzigo wa mawazo na changamoto ni kubwa zaidi kwa mbowe!
Mbowe ameachiwa kazi ngumu bila ushauri kwa wenzie.
Nyinyi mmehamishia siasa kwenye MITANDAO ya kijamii.
Sasa mnaanza ufitinishi kukifanya wana CCM.

AIBU KWENU WALAANGA SUMU!
"Buku 7 unayoisaka kwa sasa haipatikani tafadhali jaribu tena 2025"
 
Ilizoeleka tukiwajibu wapinzani ndo tunaonekana zaidi, pia wakati wa uchaguzi tumefanya kampeni kuwapigania wagombea wetu wapite kwa kishindo.Walipita kwa kishindo.

Lakini sasa hali imekuwa ngumu hakuna wa kumjibu wapinzani wamejifanya kukaaa kimya kama Nchi siyo Ya kwao. Hata ile buku saba hapa lumumba imekata.

Ajira za chama zimekata pia, tulizoea kila mwaka sisi vijana makada watiifu kutuma vyeti vyetu kupangiwa kazi afisa tarafa, utendaji wa kijiji, na wale waliosomea msmbo ya uandisi walipangiwa kufanya kazi katika wizara husika. Mimi nilitegea kwa sababau nilitaka kuwa DED, DAS, RAC, DC au RC.

Sasa vyote nimevikosa nimebaki na piga miayo. Wapinzani jamani liamsheni dude ili nasi vijana tuwajibu kwa maneno ili tupate mkate wa kila siku.

Wanajamvi msinichukie hali ni mbaya huku ground, nawasilisha.


Kwakweli !!!!
 
Acha hizo kuwa na heshima kwa watu waliokuzidi umri kijana john unayemzunguzia ni sawa au zaidi ya umri wa baba yako sasa pamoja na tofauti na itikadi zetu za kisiasa tusiwadharau ndugu
Mwizi ni mwizi tu mura haijalishi umri ... heshima nyumbani kwenye duru za siasa tunamuona ni mwizi wa kura tu
 
CCM imara inategemea UPINZANI imara! Kipindi wapinzani wakiwa imara sana kipindi hicho katibu mwenezi akiwa Nape Nnauye, Ccm ilifanya harakati na amsha amsha kila sehemu. Bodaboda walipakiliwa mafuta, vijana mikoa mbalimbali walilishwa na kulipwa posho, maisha yalikuwa fresh!

Vijana wakasahau kuwa hawa uwepo wa wapinzani ndio unaofanya maisha yao yabebwe na mambo yaonekane mepesi, haohao vijana wakatumika kufanya kila lililofanywa na CCM kuhakikisha upinzani unafutwa kwenye ramani ya uongozi wa nchi yetu, hivyo wakabaki kuwasakama na kuwasingizia wapinzani kila aina ya ushetani wa kisiasa, na mwishowe wakakoroga uchaguzi na hatimaye upinzani ukalazimishwa ukubali kushindwa hata pale waliposhinda, Sasa mmelikoroga wenyewe linyweni!


Ukisikia mchimba kisima kaingia mwenyewe ndio hiyoooooo
 
Ilizoeleka tukiwajibu wapinzani ndo tunaonekana zaidi, pia wakati wa uchaguzi tumefanya kampeni kuwapigania wagombea wetu wapite kwa kishindo.Walipita kwa kishindo.

Lakini sasa hali imekuwa ngumu hakuna wa kumjibu wapinzani wamejifanya kukaaa kimya kama Nchi siyo Ya kwao. Hata ile buku saba hapa lumumba imekata.

Ajira za chama zimekata pia, tulizoea kila mwaka sisi vijana makada watiifu kutuma vyeti vyetu kupangiwa kazi afisa tarafa, utendaji wa kijiji, na wale waliosomea msmbo ya uandisi walipangiwa kufanya kazi katika wizara husika. Mimi nilitegea kwa sababau nilitaka kuwa DED, DAS, RAC, DC au RC.

Sasa vyote nimevikosa nimebaki na piga miayo. Wapinzani jamani liamsheni dude ili nasi vijana tuwajibu kwa maneno ili tupate mkate wa kila siku.

Wanajamvi msinichukie hali ni mbaya huku ground, nawasilisha.
Kwakweli mleta kwa week end hii bill zote za maisha yako ya J'mosi na J'pili ni juu yangu
 
Ilizoeleka tukiwajibu wapinzani ndo tunaonekana zaidi, pia wakati wa uchaguzi tumefanya kampeni kuwapigania wagombea wetu wapite kwa kishindo.Walipita kwa kishindo.

Lakini sasa hali imekuwa ngumu hakuna wa kumjibu wapinzani wamejifanya kukaaa kimya kama Nchi siyo Ya kwao. Hata ile buku saba hapa lumumba imekata.

Ajira za chama zimekata pia, tulizoea kila mwaka sisi vijana makada watiifu kutuma vyeti vyetu kupangiwa kazi afisa tarafa, utendaji wa kijiji, na wale waliosomea msmbo ya uandisi walipangiwa kufanya kazi katika wizara husika. Mimi nilitegea kwa sababau nilitaka kuwa DED, DAS, RAC, DC au RC.

Sasa vyote nimevikosa nimebaki na piga miayo. Wapinzani jamani liamsheni dude ili nasi vijana tuwajibu kwa maneno ili tupate mkate wa kila siku.

Wanajamvi msinichukie hali ni mbaya huku ground, nawasilisha.
Kumbe mnaishi kwa migongo ya wapinzani? Basi Mi5 tena. Tunaendelea kukaa kimya huku tukifanya vyetu kimyakimya. Tunapigana vita chini ya ardhi na juu mawinguni. "We are invisible".
 
Mlijidaganya upinzani ndo tatizo, kumbe ccm inahitaji upinzani madhubuti Ili I shine vzuri. Sasa nadhani Hadi magufuli amewamiss upinzani maana zamani mkishindwa kupeleka maendeleo muliwasingizia upinzani na Sasa hivi hawapo tena
 
Kama kuna wakati vijana wa CCM wangeweza kutumia "kutoka" basi ni sasa chini ya Mkulu.

Tatizo nadhani kumekosekana ujasiri na innovation ya nini vijana wanaweza kufanya nje ya kusubiri uteuzi.

Kwa mfano, ofisi ya Katibu wa Umoja wa Vijana ilitakiwa itafute mtu wa kuajiriwa kama project manager au investment manager ili kuja na miradi ya uwekezaji kwa Tanzania kwa vitu ambavyo soko lake liko wazi kabisa.

Mfano, kwanini UVCCM kwa assets zake tu, ikaomba ridhaa ya baraza la wadhamini CCM ili wakope kwenye investment bank kama AfDB au WB kupitia IFC, dhamana ikiwa ni assets za UVCCM au chama chenyewe.

Wangeweza kuwa na industrial projects kama kuzalisha sukari kwa kutumia sugar beet. Sugar beet kama raw materials zina concentration kubwa ya sucrose ukilinganisha na miwa na inazaa ndani ya miezi 3-4; kama kuna shamba unaweza kuvuna mara 3 kwa mwaka kwa mzunguko unlike miwa mara 1 in 9-15 months.
Mkopo wa uwekezaji wa equipment mashambani ambapo vijana hao hao wanakuwa trained to manage kuanzia farming production, industrial production, marketing kwenye soko la ndani ambalo kila mwaka lina agiza sukari ya kawaida na sukari ya viwanda.

Binafsi ninamfahamu Heri James, ni kijana mzuri jukwaani kama alivyo katibu wake. Ila siasa ya sasa lazima isiwe ya majukwaa; ni namna gani ina-solve problems kama kutengeneza ajira.

Investment moja inaweza kuzalisha ajira 300; watu hawa ni wengi kuzidi wakuu wa Wilaya.

Kuna kazi za mashambani watafanya na kazi za kitaalamu kama procurement, accounting, investment kwenye new projects baada ya hii ya kuzalisha sukari ku-take off.

Mambo kama haya vijana wangekuwa wanampigia kelele Mkulu angewaelewa sana.

Ila wakibaki kusubiri lobbyist wawashike mikono na kuwasemea, baadhi wachache watapata ila kuna lots can be done by creating value kupitia local opportunities.

Kuna wakati mmoja Rais JPM alimshangaa Ernest Mangu kwa kuwa soft, akasema I wish, I could be IGP. Kwa mfano huo huo, kwa kuwa na mtu anaetaka sifa ya kuona mambo makubwa yanafanyika, nasema I wish ningekuwa UVCCM; ningesumbua sana kugonga milango with various proposal na business plans kuonesha nini kinaweza kufanyika Tanzania.

Vijana huu ni wakati wenu. Tanzania ina potential ya kutosha kutengeneza bilioners ila lazima serikali ihusike kwenye ku-leverage vitu kama Investment Equity.
Mimi binafsi nakiri kuna fursa nyingi sana nakutana nazo za kupata fedha na technology ila lazima kuwa na gov support/backing kwenye nini nataka kufanya sio kwa maneno, ila kwa docx ikiwemo uhakika kwa ardhi (say land lease ambayo italipiwa mradi uki-take off). Na sio kwa udalali, ila kampuni ya ndani iliyosajiliwa BRELA ndio inakopeshwa. Uwepo wa backing ya gov unawapa imani investment financiers kutoa hela zao.
Sasa vijana wa CCM mna Mkiti wa CCM ambae ni Rais, Waziri wa fedha wa kwenu, AG wa kwenu, waziri wa ardhi wa kwenu, waziri wa uwekezaji wa kwenu; mnakwama kwa kutokuwa strategist ya kujua unaomba nini.

Ajira za uteuzi sio deal kivile; ikija sawa, ukianguka unarejea ulikotoka kwenye company yenu mnaendeleza maisha.

China waliowajengea Ukumbi wa JK conference centre ni mabepari kupitia biashara wanayofanya na nchi kibao. UVCCM iamke wasilie wajifunze kuwa mabepari kupitia fursa za uwekezaji.
This is your time youth league.

Freddie
Mawazo hayo tunayawaza sisi tusiokuwa navyo wenye navyo huwa wanawaza vyupi na pombe.Wapinzani muongee maswala ya madarasa, ukosefu wa waalimu, mafuta ya kupikia ongeeni tuwajibu tupate mgao wetu
 
Back
Top Bottom