TUMBIRI
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 1,933
- 1,199
Rafiki yangu mmoja ambaye anafanya kazi Ikulu jana amenipa picha ya JK akiwa amekunja Nne katika jumba letu la Magogoni. Swali la kujiuliza, inafaa rais wa Nchi ambaye nchi yake ipo gizani, wananchi wengi kukosa mlo na foleni sizokwisha ni sahihi akakunja nne za raha mustahera namna hii?