Sisi tukilala wenzetu wako busy....ona hii

Si kila binadamu ni muaminufu kama udhaniavyo....hata Japan kina Chenge wapo...au umesahau yale ya Cote D'Ivoire na taka za sumu?

Ni kweli. Si kila mwanadamu ni mwaminifu. Na ndio maana hata ukaguzi wa huku bongo unaweza usisaidie lolote mbali na kuongezea rushwa na gharama kwa mnunuaji.

Lakini pia ungejaribu kupitia Environmental Chemistry of Iodine 131 na Iodine 129, halafu uchanganye na hazards za kuhandle radioactive subtastances, na economic loss inayoweza kutokea kwa makampuni ya Japan kama hayatakuwa honest, na changanya pia na seriousness ya serikali za wenzetu, ungekubaliana nami kuwa hamna haja kuhofia radiation ya kutoka Japan. Bora uogope polisi wa Tanzania wanaweza kukupa madhara zaidi.

Mfano uliotoa wa Cote D'Ivore ni mfano unaotisha lakini not applicable here. Zile zilikuwa ni "Hazardous Wastes (toxic chemical waste)"- not necessarily radioactive. Na halikuwa suala la biashara kama ya magari ambapo mtu mmoja mmoja anaagiza. Ni takataka zilizokusanywa kwa pamoja na walikuwa wanataka kuzi-deposit zikiwa zimeletwa na meli ya panama kutoka ulaya.
 
Mheshimiwa umekosea! sisi hatujalala, tuko macho kabisa tunapigana na CHADEMA, maana hao ndiyo wanaokwamisha maendeleo ya nchi hii!:majani7:

Duh kaazi kweli.....CDM si adui wetu.....bali maadui ni umaskini....maradhi au ujinga...... pia tupigane na adui mwingine mpya.....lakini hatari pengine zaidi ya hao maadui wetu wa hapo awali...... huyu si mwingine bali ni UFISADI......tuache kushughulika na CDM tushughulike na wezi wa mali za umma/wananchi..
 
Ni kweli. Si kila mwanadamu ni mwaminifu. Na ndio maana hata ukaguzi wa huku bongo unaweza usisaidie lolote mbali na kuongezea rushwa na gharama kwa mnunuaji.

Lakini pia ungejaribu kupitia Environmental Chemistry of Iodine 131 na Iodine 129, halafu uchanganye na hazards za kuhandle radioactive subtastances, na economic loss inayoweza kutokea kwa makampuni ya Japan kama hayatakuwa honest, na changanya pia na seriousness ya serikali za wenzetu, ungekubaliana nami kuwa hamna haja kuhofia radiation ya kutoka Japan. Bora uogope polisi wa Tanzania wanaweza kukupa madhara zaidi.

Mfano uliotoa wa Cote D'Ivore ni mfano unaotisha lakini not applicable here. Zile zilikuwa ni "Hazardous Wastes (toxic chemical waste)"- not necessarily radioactive. Na halikuwa suala la biashara kama ya magari ambapo mtu mmoja mmoja anaagiza. Ni takataka zilizokusanywa kwa pamoja na walikuwa wanataka kuzi-deposit zikiwa zimeletwa na meli ya panama kutoka ulaya.

Ni vema tunaelewana....hapa walichofanya Kenya na Uganda ni kuitaka hii taasisi ya Japan kuongeza katika ukaguzi suala la kukagua radioactive effects kwa magari yatakayoletwa au kupitia Kenya. Walau wameomnyesha concern....sisi kwa nini hatufanyi hivyo? Kwamba tunaamini Wajapani watafanya huo ukaguzi kwa niaba yetu au? Wao si watafurahia wakipata makhala pa kupeleka haya magari yenye effects?
 
Ni vema tunaelewana....hapa walichofanya Kenya na Uganda ni kuitaka hii taasisi ya Japan kuongeza katika ukaguzi suala la kukagua radioactive effects kwa magari yatakayoletwa au kupitia Kenya. Walau wameomnyesha concern....sisi kwa nini hatufanyi hivyo? Kwamba tunaamini Wajapani watafanya huo ukaguzi kwa niaba yetu au? Wao si watafurahia wakipata makhala pa kupeleka haya magari yenye effects?


Soma hapa:
How do iodine-129 and iodine-131 get into the body?

Radioactive iodine can enter the body by ingestion or inhalation. It dissolves in water so it moves easily from the atmosphere into humans and other living organisms. For example, I-129 and -131 can settle on grass where cows can eat it and pass it to humans through their milk. It may settle on leafy vegetables and be ingested by humans. Iodine isotopes also concentrate in marine and freshwater fish, which people may then eat.

Also, doctors may give thyroid patients radioactive iodine, usually iodine-131, to treat or help diagnose certain thyroid problems. The tendency of iodine to collect in the thyroid makes it very useful for highlighting parts of its structure in diagnostic images.


Source:Wisteme | How are people exposed to iodine-129 and iodine-131?

Kwa kawaida utapata madhara ya radioactive iodine kwa njia ya hewa au kwa kupitia food chain. Kama mavyuma vyuma hayo (kwenye magari) yame-adsorb some particles, itakuwa ni minimal. Na hata kama kweli gari lote limekuwa contaminated, ukumbuke kuna mlolongo wa wahusika, Wauzaji wa magari, TEPCO, Shipping agency, Ship crew, Port personnel- Hiyo ina maana kwa japan tu watu wengi watakuwa wameathirika na radioactive iodine kwa kushughulikia gari lako tu. Serikali ya Japan haiwezi ikaacha mlolongo hatari kama huo. Uganda na Kenya kama wameamua hivyo ni sawa kwamba wapo vigilant. Lakini it is simply an overreaction kama sio deliberate scheme ya kuongeza mapato.
 
Soma hapa:
How do iodine-129 and iodine-131 get into the body?

Radioactive iodine can enter the body by ingestion or inhalation. It dissolves in water so it moves easily from the atmosphere into humans and other living organisms. For example, I-129 and -131 can settle on grass where cows can eat it and pass it to humans through their milk. It may settle on leafy vegetables and be ingested by humans. Iodine isotopes also concentrate in marine and freshwater fish, which people may then eat.

Also, doctors may give thyroid patients radioactive iodine, usually iodine-131, to treat or help diagnose certain thyroid problems. The tendency of iodine to collect in the thyroid makes it very useful for highlighting parts of its structure in diagnostic images.


Source:Wisteme | How are people exposed to iodine-129 and iodine-131?

Kwa kawaida utapata madhara ya radioactive iodine kwa njia ya hewa au kwa kupitia food chain. Kama mavyuma vyuma hayo (kwenye magari) yame-adsorb some particles, itakuwa ni minimal. Na hata kama kweli gari lote limekuwa contaminated, ukumbuke kuna mlolongo wa wahusika, Wauzaji wa magari, TEPCO, Shipping agency, Ship crew, Port personnel- Hiyo ina maana kwa japan tu watu wengi watakuwa wameathirika na radioactive iodine kwa kushughulikia gari lako tu. Serikali ya Japan haiwezi ikaacha mlolongo hatari kama huo. Uganda na Kenya kama wameamua hivyo ni sawa kwamba wapo vigilant. Lakini it is simply an overreaction kama sio deliberate scheme ya kuongeza mapato.

Sawa...but does it mean that we should not emulate what KENYA and UGANDA did? Hakuna mapatoi yoyote na document iimesema hivyo...nashukuru sana kwa kunitaalumisha kuhusu IODINE
 
To CAMARADERIE

Nimesoma tena zile barua.
Inaonekana hakuna extra fees kwa ajili ya ukaguzi.
Kwa sababu hii, nitakuunga mkono kwa serikali yetu kufanya kama majirani zetu, ili tu kutuliza hofu za watanzania. Almradi tu wasije wakaanza kudai (upande wa serikali yetu) kumwongezea mnunuzi gharama yoyote.
 
Camaraderie utaumiza kichwa bure.

Kama hata mtoto wa Rais Tz anaishi kimjini mjini unatazamia TBS watakumbuka afya ya mlaji.
Ni ujanja ujanja mwanzo mwisho, kwenye gari wanakimbilia kusoma seat belt ilikuwa manufactured lini ili watengeneze mazingira ya hongo.


hapo kwenye red!
 
NI kweli kwamba Japan watakuwa makini na magari yote katika inspections!! Lakini ni muhimu na busara tukawaonyesha kuwa na sisi tunaelewa madhara and kwamba we are proactive to prevent!! Unawaongezea standards katika check list yao ili kuifanya kuwa moja ya hitaji la muhimu!!!

Haya mambo ya kuwa busy na siasa ndiyo madhara yake sasa!! Thanks CAMARADIRIE kwa ufahamisha kuhusu iodine!!
 
Nimefuatilia TBS inaonekana hakuna kilichofanyika mpaka sasa kuhusu hili suala
 
TBS bado wako likizo. Hivi hatujui kuwa hawa TBS bado wanatengeneza standards kibao ambazo toka miaka 10 iliyopita wanajua hazipo?. Hivi tunajua kweli kuwa TBS haina wataalamu wa kutosha zaidi ya kutumiwa kisiasa na kufukuzia milungula kwa wauza mafuta na wafanya biashara bandalini? Bado, we need to make hard decision on these kind of departments.

Mfano, TBS walitakiwa/wanatakiwa/watatakiwa watoe scholarships kwa wanafunzi wa graduate studies ili kupata solutions za matatizo yao kiutendaji lakini badala yake wanafukuzia vitraining vya miezi 2 kwenda kujitafutia vitambi. Its crazy you know! I am tired with these departments, no creativity at all. Hakuna viofisa mipango kazi kufukuzia wake za watu.
 
Wewe unategema nini, Sisi tuko bize kupambana na CDM na wabunge wake tutakumbuka mambo hayo lini?
this is tanzania bwana
 
Back
Top Bottom