Sisi tukilala wenzetu wako busy....ona hii

CAMARADERIE

JF-Expert Member
Mar 3, 2011
4,419
1,920
INFOMATION JUNE 3 2011


img019.png


img530.png


img529.png
 
Kwani nani anajali afya yako??

Kuna tatizo Tanzania!, huenda wameongeza hicho kipengele but hawasemi!.
 
Tanzania wakati huu bado tumelala na hata hakuna mtu anayefikiria hayo. Wote wanafikiria tu jinsi ya kuibia umma!!
 
Ukitaka kujua nchi isiyokuwa na malengo, angalia bar asubuhi saa 5 asubuhi unakuta watu wamejaa! saa 9 mchana watu wamejaa. Unajiuliza hawa watu wanapata wapi hela? Unasema labda wafanyabiashara, nako unashindwa kujiridhisha kwani gani muda wote mtu yuko bar.

Matatizo kibao, solutions tumefungia kwenye kabati na zingine tunatembea nazo kwenye magari, kazi yetu ni kupindisha sera na sheria ili tujitajirishe.
 
Ukitaka kujua nchi isiyokuwa na malengo, angalia bar asubuhi saa 5 asubuhi unakuta watu wamejaa! saa 9 mchana watu wamejaa. Unajiuliza hawa watu wanapata wapi hela? Unasema labda wafanyabiashara, nako unashindwa kujiridhisha kwani biashara ani muda wote mtu yuko bar.

Matatizo kibao, solutions tumefungia kwenye kabati na zingine tunatembea nazo kwenye magari, kazi yetu ni kupindisha sera na sheria ili tujitajirishe.
 
Sisi wa kwetu bongo lala wapo busy na kupamna na chadema, huku tunaletewa magari yenye radition
 
Wanakuwa busy na kuzidisha values za magari ilki wapate kodi nyingi
 
Camaraderie utaumiza kichwa bure.

Kama hata mtoto wa Rais Tz anaishi kimjini mjini unatazamia TBS watakumbuka afya ya mlaji.
Ni ujanja ujanja mwanzo mwisho, kwenye gari wanakimbilia kusoma seat belt ilikuwa manufactured lini ili watengeneze mazingira ya hongo.
 
in short most of us ni wavivu kwahyo ndo hivyo tena..wahenga walisema "kozi mwanamadanda,kulala njaa kupenda"...
 
Sisi wa kwetu bongo lala wapo busy na kupamna na chadema, huku tunaletewa magari yenye radition

Usiwe na wasiwasi.
Hilo jambo haliwezi kutokea.

Nani atakaye chukua gari lenye radioactive isotopes halafu alisafirishe mpaka bandarini kule japan, halafu mpaka lifike bongo? Hicho kitu hakipo na hamna haja ya kuwa na wasi wasi.
Nafikiri waganda wametumia ubunifu wa kuongeza ukusanyaji wa mapato kutoka kwa wanunuzi wa magari.
 


Usiwe na wasiwasi.
Hilo jambo haliwezi kutokea.

Nani atakaye chukua gari lenye radioactive isotopes halafu alisafirishe mpaka bandarini kule japan, halafu mpaka lifike bongo? Hicho kitu hakipo na hamna haja ya kuwa na wasi wasi.
Nafikiri waganda wametumia ubunifu wa kuongeza ukusanyaji wa mapato kutoka kwa wanunuzi wa magari.

Si kila binadamu ni muaminufu kama udhaniavyo....hata Japan kina Chenge wapo...au umesahau yale ya Cote D'Ivoire na taka za sumu?
 
Back
Top Bottom