Sisi ndio wanaume bwana!

Sisi ndio wanaume bwana!

Hajambo, la sivyo nisingekuwa hapa. Ila anajisikia vibaya, waweza msaidia bibiyo?
Babu niko tayari ila itategemea ni msaada gani anahitaji!
Hebu nambie,km liko ndani ya uwezo wangu nilitekeleze fasta!
 
Mimi mzima dear
Mishe mishe kama kawaida
nashukuru kwa uzima wako
ila :focus: Babu asije kutukimbiza hapa
Haa haa haaa!
Kwan hujui huyu ndio champion wetu wa kuchakachua sred za watu,
Tizama tunachodiscuss naye utangundua,
Jasiri haachi asili lol!
Lete story akistukia tunapotezea ebo!
 
Haa haa haaa!
Kwan hujui huyu ndio champion wetu wa kuchakachua sred za watu,
Tizama tunachodiscuss naye utangundua,
Jasiri haachi asili lol!
Lete story akistukia tunapotezea ebo!

Ila na yeye kwa kuchakachua ni balaa
Ila akianzishaga topic yake anaweka angalizo kabisa atakayechakachua anapewa ban
 
Ila na yeye kwa kuchakachua ni balaa
Ila akianzishaga topic yake anaweka angalizo kabisa atakayechakachua anapewa ban
Km ni hivyo mie tayari nina ban siku nyingi lol!
Na sizan kuna mtu angepona maana popote utakapokutana naye kuchakachua hakukwepeki!
 
Sawa mkuu nakubaliana na wewe kukaa kimya ndio suluhisho
Ila moyoni mwako dhamira yako inakupeleka wapi
Kujua kuwa mkeo anatembea na wanaume wengine na wamemzalisha
Kuwa kuna siku ukigombana nae anakuambia ahhh kwani miongoni mwa wanaume na wewe upo
Na akueleze wazi kuwa hata hao watoto sio wako
Na hawara nae anakuambia kwani wewe nawe ni mwanaume
Unaniachiaga uchafu tuu huna kitu wewe wapo wanaoweza kunizalisha
Inauma sana aisee!
 
Kuna binti alikuwa anamsifia jamaa yake kinoma. Walipoachana baada ya jamaa kuchacha alikuja na mpya: "Nilimvumilia sana jamaa yenu, kwanza kadude kenyewe kadunju nikikohoa kanatoka" Khaaa! Eti "Akipanda kwenye kikojoleo anamwaga mkojo mnene hata kabla kabamia hakajagusa shavu, avadhali ya jogoo"

khaaaa babu

 
hahaaaaaaa Bishanga nimependa utunzi wako................

wanaume huwa tunajitia undava sana eti tunamiliki kumbe tunawapendezeshea wajanja wa mtaani,oooh mi mwanume bana....kumbe chai unapika wenzio wanywe ....oh 6x6 namtosheleza kumbe unampapasa tu,wenye mitalimbo ya kiukweli ndo wanamalizia shughuli...kha!
 
wanaume huwa tunajitia undava sana eti tunamiliki kumbe tunawapendezeshea wajanja wa mtaani,oooh mi mwanume bana....kumbe chai unapika wenzio wanywe ....oh 6x6 namtosheleza kumbe unampapasa tu,wenye mitalimbo ya kiukweli ndo wanamalizia shughuli...kha!

Mkuu duh balaa hilo
Bado uzi unaendelea
 
Aspirin kila akiingia hapa lazima nirudi nimpe za uso mpaka atangaze kuweka silaha chini!

Ndo maana mimi nasema wote tupo hapa kuwekana sawa
Sidhani kuna mmoja atakayenyanyuka aseme mimi niko 100% perfect na sihitaji marekebisho tena mbele ya wife wake
Wote watakimbilia kuficha nyuso
Tukubali tuu tuna mambo ambayo japo kwetu tunayaona kama sio kero ila yanawakera wenzetu kiaina
 
Ndo maana mimi nasema wote tupo hapa kuwekana sawa
Sidhani kuna mmoja atakayenyanyuka aseme mimi niko 100% perfect na sihitaji marekebisho tena mbele ya wife wake
Wote watakimbilia kuficha nyuso
Tukubali tuu tuna mambo ambayo japo kwetu tunayaona kama sio kero ila yanawakera wenzetu kiaina
that should be the best conclusion ya kufungia uzi huu,mimi nimeikubali mwambie fisadi wa ngono naye akubali basi yaishe!
By the way uzi wa The Boss(on nyumba ndogo) kuna mtu kauopi na kuu paste michuzi blog na kibaya haku acknowledge source ,si tabia nzuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom