Sisi ndio wanaume bwana!

Sisi ndio wanaume bwana!

mtoa mada bwana!! as if mtu amebisha, mbona kila mtu anajua dunia hii ina jinsia mbili tuu ke ma me, sasa cha kutunisha misuli ni nini? zaidi sana pointi uloyoisisitiza ni kuwa na mpango pembeni ambao si kila dume anaufagilia usijikute unalazimisha watu vitu ambavyo wala hawavifagilii eti kisa ni mwanaume lol!
 
Aisee........
AshaDii Hebu itafute na ile ya Bishanga itakuwa bomba sana
Nakumbuka hii siku palichimbika humu ....!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Hii thread y ukweli mnoo ila naona ka vle mi cjui ni kijana manake cku hizi nakamua hawa mademu wa mkodisho tu,napanda shop nawapiga huyoooo nakula kona home cna haja na sistaduu
 
Hii thread y ukweli mnoo ila naona ka vle mi cjui ni kijana manake cku hizi nakamua hawa mademu wa mkodisho tu,napanda shop nawapiga huyoooo nakula kona home cna haja na sistaduu

Subiri ukikua utajua tu.:flame::flame::flame:
 
hahahahaha,kuwa kidume raha sana.kale ka wimbo ka msondo huwa kananipa moyo sana...wanaume tumeumbwa matesooo matesooo kuangaika
 
hv inakuwaj mwanaume anakuw na mausiano na mschana ata muda au mienz aija pita anataka wakutane kimwl na mwanamke wk hv kama umempend mchumba wko kwann mcvumiliane na mka kaaa kwny maucano yenu kwa mda mlef maana unawez ukawa na mvulan unampend na yeye anakupend lakn k2 kimmja 2 nd kinawez kikafany mkakaa kwny maucano ynu mapenz na kama mwanamk ayko tayar kwa wakt au kipnd hcho labda anatak wakae mda mlefu ili wajuane kitabia lakn mwanaume anakuw m2 wa kwanz kuwa mgumu kuelew hisia za mwezk na mwsh w cku huishia kuwachezea wachana wao na kuwananga kwa ubay eti n malaya awajatulia na mengney .badiliken jaman ilimuwez. kudum na wapenz w2.
 
^^
Japo mwandiko umenitatiza, lakini naomba kuchangia kidogo kuwa, mazingira ya kukubali ama kukataa yapo mikononi mwenu. Ni namna tu unavomjenga mwanaume wako akuelewe.
^^
 
Sasa naww usitake hela zake refer kauli ya mr presidenti kama unakula basi naww lazima kuliwa
 
Hamkawii kula kula vijisent vya watu na kusepa nyinyi mna njaa kwel. Na kama wewe unampenda huyo mwanaume kwanini inashindikana kuumpa anachotaka kama kweli umempenda na wewe
 
mwingine hujala hata sent moja lakini ile mmekutana tu anaanza kutaka gemu hiv unawezaje kulala na mtu hata hamjazoeana? it's strange
Hamkawii kula kula vijisent vya watu na kusepa nyinyi mna njaa kwel. Na kama wewe unampenda huyo mwanaume kwanini inashindikana kuumpa anachotaka kama kweli umempenda na wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom