Memo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 2,157
- 760
Umenifanya nitafakari..........YOTE Ni porojo .. Mwanaume ni PESA..
wanawake wa siku hizi................kulaleki!!!
Umenifanya nitafakari..........YOTE Ni porojo .. Mwanaume ni PESA..
Nalipika chai
Ndani ya birika
Nikidhani yangu
kumbe ya shirika.......
Tafakari......chukua hatua!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hahahaha......... amefunguka huyo!Umenifanya nitafakari..........
wanawake wa siku hizi................kulaleki!!!
YOTE Ni porojo .. Mwanaume ni PESA..
Hahahaha......... amefunguka huyo!
Mwanaume ni Pesa! Money!
Ukiwa na Pesa:
Utakuwa handsome
Utaperfom vizuri kwenye sita kwa sita (hata kwa kuongopewa)
Utakuwa na dudu kubwa na zuri (hata kama ni kibamia kisichotahiriwa)
Utakuwa na mabonge ya six packs hata kama una minyama uzembe na mtambi kama wa Komba...
Achana na kitu pesa bana!!!
Kuna binti alikuwa anamsifia jamaa yake kinoma. Walipoachana baada ya jamaa kuchacha alikuja na mpya: "Nilimvumilia sana jamaa yenu, kwanza kadude kenyewe kadunju nikikohoa kanatoka" Khaaa! Eti "Akipanda kwenye kikojoleo anamwaga mkojo mnene hata kabla kabamia hakajagusa shavu, avadhali ya jogoo"Duh Babu hili balaa sasa
Eti una kibamia unaambiwa una dudufu
Kuna binti alikuwa anamsifia jamaa yake kinoma. Walipoachana baada ya jamaa kuchacha alikuja na mpya: "Nilimvumilia sana jamaa yenu, kwanza kadude kenyewe kadunju nikikohoa kanatoka" Khaaa! Eti "Akipanda kwenye kikojoleo anamwaga mkojo mnene hata kabla kabamia hakajagusa shavu, avadhali ya jogoo"
Hahahaha! Hawa watu akili zao wanazijua wenyewe........ we unaweza fikiri unamfikisha mtu kunako kumbe mwenzio anataka umalize haraka maupupu yake ili apate muda wa kumpelekea ODM wake.Babu hawa viumbe wanaoitwa wanawake achana nao kabisa
Na inawezekana hapo alikuwa anapiga makelele mbaya akiwa na jamaa
Kumbe jamaa anaibiwa bila kujijua:lol::sorry: kwa mshkaji
Hahahaha! Hawa watu akili zao wanazijua wenyewe........ we unaweza fikiri unamfikisha mtu kunako kumbe mwenzio anataka umalize haraka maupupu yake ili apate muda wa kumpelekea ODM wake.
Hatari kama malaria hii!
Mmmmmh!Kuna binti alikuwa anamsifia jamaa yake kinoma. Walipoachana baada ya jamaa kuchacha alikuja na mpya: "Nilimvumilia sana jamaa yenu, kwanza kadude kenyewe kadunju nikikohoa kanatoka" Khaaa! Eti "Akipanda kwenye kikojoleo anamwaga mkojo mnene hata kabla kabamia hakajagusa shavu, avadhali ya jogoo"
Mmmmmh!
Shikamoo babu!
Hujawahi kupata hii skendo?Haya mambo ni magumu sana mkuu
Wakati unafikiria kufanya hili mwenzako kashawaza mbali kuliko wewe na usije ukajitapa wewe kijogoo sehem wakati huko nje unanukishwa mbaya
Bora kula na kunyamaza kimya wala usijisifie wakusifie wenyewe
Maana unaweza kusema hili kumbe ushanukishwa mbaya halafu unaona washkaji wanachekea pembeni kimya kimya
Hujawahi kupata hii skendo?
Jamaa kapakaziwa na kanyumba ndogo kake kuwa ana ujauzito wake. Kwenda kupima akaambiwa hata mbingu zishuke hana uwezo wa kumpa hata kuku mimba, sembuse mwanamke binadamu? Yaani jamaa alikuwa hana mbegu za uzazi kwa asilimia zote!
Jamaa akapigwa na butwaa, na kujiuliza kimoyomoyo wale watoto watatu aliozaa na mke wake walishushwa na Roho Mtakatifu auHii maana yake ni kuwa:
Kuna wanaume wanamgongea mke wake
Na wengine wanamgongea nyumba ndogo yake.......
Kulaaaaleki walahi!
Maaanina!
Niko poa Mr Rocky,Cantalisia mambo yako
Mzima wewe
Nimekumiss:lol:
Hahahaha.......busara ya kawaida yakupasa ujifanye hujui. Ukilipua ukweli dunia nzima itajua afu utaumbuka wewe zaidi kuliko mkeo. Unatakiwa uwe na moyo wa jiwe!Na she act so respectful to him as her husband
Yaani mkuu haya mambo ni kumshukuru Mungu wakakti unapopata mtu au mwanamke ambaye ana roho na hofu ya Mungu ndani mwake
Maana at the end unaweza pata ugonjwa wa moyo na sio ugonjwa tuu hata kuua unaweza kuua ukifikiria hayo
Imagine jamaa hiyo hasira aliyotoka nayo hapo kwa mke wako na kwa nyumba ndogo yake atafanya nini
Dah babu,Marahabaaa mjukuu, hebu nambie leo unaninyima nini na unanipa nini?
Hahahaha.......busara ya kawaida yakupasa ujifanye hujui. Ukilipua ukweli dunia nzima itajua afu utaumbuka wewe zaidi kuliko mkeo. Unatakiwa uwe na moyo wa jiwe!
Kulaaleki!