Sisi ndio wanaume bwana!

Sisi ndio wanaume bwana!

Ushemeji wetu hauna uhusiano na taa...........😛hoto:

ya kwako ni one side story ngoja aje mwenyewe hapa aseme
Au ni katika kuonyesha msisitizo kuwa wewe ni mwanaume
:tea:ngoja nikae zangu hapa niwaangalie tuu
 
ya kwako ni one side story ngoja aje mwenyewe hapa aseme
Au ni katika kuonyesha msisitizo kuwa wewe ni mwanaume
:tea:ngoja nikae zangu hapa niwaangalie tuu
Orayt......ngoja tumsubiri mwenyewe hapa........:focus:
 
Asa mkifa si wapo wengine jaman babu,
Ili mradi kiapo kinasema ni mpaka kifo kitutenganishe,
Ukifa basi usajili unaendelea heee heeee!


Aise si tunapendana
Mi naona tuweke kiapo kuwa tufe sote siku moja
Yaani hakuna cha kifo kututenganisha ila tunaondoka siku moja
 
Asa mkifa si wapo wengine jaman babu,
Ili mradi kiapo kinasema ni mpaka kifo kitutenganishe,
Ukifa basi usajili unaendelea heee heeee!
Am in love with your avatar......:eyebrows::eyebrows:😛oa
 
Aise si tunapendana
Mi naona tuweke kiapo kuwa tufe sote siku moja
Yaani hakuna cha kifo kututenganisha ila tunaondoka siku moja
Haaa haaa habari yako Mr Rocky,
Hiyo itabidi muandike propozo kwa mungu,
Ili hata kiapo kikiandikwa upya mungu awezeshe watu kufa pamoja,
Si muwahi kurudi hm ili msife mapema lol!
 
Mwanaume halisi
Bado msimamo uko pale pale
Ewaaaaa! Ndio sisi, ndiyo zetu!

Haaa haaa habari yako Mr Rocky,
Hiyo itabidi muandike propozo kwa mungu,
Ili hata kiapo kikiandikwa upya mungu awezeshe watu kufa pamoja,
Si muwahi kurudi hm ili msife mapema lol!
Mngejua baada ya kifo nini kinatokea, mngeomba mnywe sumu muwahi kufa.......:nerd::hatari:
 
Haaa haaa habari yako Mr Rocky,
Hiyo itabidi muandike propozo kwa mungu,
Ili hata kiapo kikiandikwa upya mungu awezeshe watu kufa pamoja,
Si muwahi kurudi hm ili msife mapema lol!

habari zangu nzuri kabisa aise
hii ndo nataka tuandike kabisa au siku ya siku kwenye kiapo namwambia padri au mchungaji aise kwenye kile kiapo weka kuwa tutakufa pamoja
 
Ewaaaaa! Ndio sisi, ndiyo zetu!

Mngejua baada ya kifo nini kinatokea, mngeomba mnywe sumu muwahi kufa.......:nerd::hatari:

ODM huko hatutaki kujua ni nini kinatoke ila tunaamini kuna mambo mazuri huko
Mbona wote walioenda hawarudi huku duniani kwenye tabu na ufisadi na ucameron na uvulana badala ya uanaume
 
Ewaaaaa! Ndio sisi, ndiyo zetu!

Mngejua baada ya kifo nini kinatokea, mngeomba mnywe sumu muwahi kufa.......:nerd::hatari:
Nani anywe sumu,
Wanaipata hayo maumivu ni waliokuwa tegemezi,
Kwa vile hamfi wanaume wote,km umri bado unakuwa unaruhusu,
Ni kusajili mzee mwenzangu na maisha yanaendelea tu babu.
 
Usiombe kuitwa mwanaume.mpaka kichwa kinagonga kama umepiga kitu nyagi. Me uanaume umenishinda.
 
Am in love with your avatar......:eyebrows::eyebrows:😛oa
Haaa haa!'
Asante babu,
Hivi hiyo ya kwako hapo kwa kwa mfano hako ka laptop kakiondolea itakuwaje lol!
Sijui ulifikiria nn wakati unaichagu alafu ww ni mbabu dah!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom