naongeza na mimi hapa....
6.MWANAUME kuheshimiwa na kukubaliwa na wanaume wenzako ni muhimu kama ilivyo umuhimu
wa 'dhamana' unapoenda benki kukopa,kwani mambo yakiku chachia watakaokusaidia mostly ni wanaume wenzio
so sifa kwa kina mama tafuta lakini 'heshima' kwa wanaume wenzio usivunje...
7.Jua 'limitations zako ' kwa kila unachokifanya iwe 'kukimbiza wanawake' kunywa pombe na kadhalika
hakuna mjanja wa kila kitu,jua mwisho wa ujanja wako,ujiepushe na 'mitego' ya wajanja zaidi yako..
8. Unaposifiwa sana 'stuka' baadhi ya sifa ni 'mitego lol
9.Usimuamini mwanamke kwa asilimia 100 hata mama yako mzazi....lakini wapende na kuwaheshimu wanawake na haki zao uwape..
10. tofautisha mambo ya 'msingi' na ya 'ziada' katika maisha yako....l.
ya msingi kwanza,ya ziada ndo yanafuata....
Mhh aisee namba tisa vere vere
hahahaaaa lol....bi dada umenichekesha
ongea na sisi basi hao wapotezee (hivi hapa si ni chit chat?...kwamba waweza sema tu chochote)
Tafadhali usitutoe nje ya mada!
Hahaha! Aisee umenikumbusha Uhuru shule ya msingi.. Lol. Hivi huwa zipo tena?..afu wanatengeneza na sukari guru au? Mate ya utamu wa kutafuna ngubiti yamenijaa mdomoni.ooooooh asante mpendwa sirudii kuchakachua
ila nina hamu na ngubiti na mabumunda aisee? unazijua ngubiti wewe?
Hamna vigezo mkuu!
Dowery is a business of "buy as it is". Mahari kufika 10M+ ni non-refundable deposit/security. Sio tena unaoa ukisha kuonja unadai urejeshewe mahari. Mweeee!
Atampata nani?unajua huyo ni kirusi. Kuna sehemu nyingne nimeona kaandika hvyo hvyo.
Wacha nilete vifungu....:eyebrows:
(sijui ntavitoa wapi)
9.Usimuamini mwanamke kwa asilimia 100 hata mama yako mzazi....lakini wapende na kuwaheshimu wanawake na haki zao uwape..
Hamna vigezo mkuu!
Dowery is a business of "buy as it is". Mahari kufika 10M+ ni non-refundable deposit/security. Sio tena unaoa ukisha kuonja unadai urejeshewe mahari. Mweeee!
Atampata nani?
Mzima weye swahiba?
hehehe! Chochote, ukiwa unapotea uwe unaniaga eeh. Nachoka kukumiss mwenzio.
Hahaha! Aisee umenikumbusha Uhuru shule ya msingi.. Lol. Hivi huwa zipo tena?..afu wanatengeneza na sukari guru au? Mate ya utamu wa kutafuna ngubiti yamenijaa mdomoni.
Haya wanaume wkend njema ila sisi ndio mama zenu.....
Khaaa! Uongo mtakatifu huu!Hii inanikumbusha dada mmoja aliniibia condom akadhani pesa
Shikamoo mbona leo mapema shangazi? Au mnamtoko na mpwa?
Shikamoo mbona leo mapema shangazi? Au mnamtoko na mpwa?