Tulianza mbio wote na sasa wenzetu wako mbali , ni hapa jirani tu, ukiondoka saa kumi na mbili saa mbili umeingia, Mombasa ndio usiseme kabisa , wanajenga port nyngine kubwa na Nairobi nimekuta JK (JOMO kENYATA SIO JAKAYA KIKWETE) wanajenga Terminal ya nne, sisi tuna tuwili tena kamoja ni kama hakatumikiYaani kenya hii hii!
ulllleeeee ussseeeemmmmiii maarrruffuuu wa tutaishia kunawa
Kipaumbele ni kuongeza magari ya ving'ora kwenye misafara ili kufisha foleniKazi yetu KUBWA KWA SASA ni kuandaa magari ya FFU pale Field Force Kwa Mromboo, ili yawatandike vizuri wanaArumeru watakaochagua CDM!
Huo ndio mpamgo-Mkakati na mpango mahsusi wa muda mrefu unaolenga kudumisha amani yetu!
Tanzania bila Wapinzani inawezekana!
Wazo la Ujenzi wa Fly Over Ubungo lilikua tangu mwaka 1976, hadi leo hii ni kitendawili, wenzetu wanakimbia sisi bado tunatembeaView attachment 49208