engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
Dr Magufuri akitaka kufanya kazi yake mnalalamika,wakati huohuo mnataka barabara nzuri
watanzania bwana si lolote si chochote
mwacheni magufuri afanye kazi yake naimani tutafika pale tunapo pataka la sivyo tutalalama sana.
alianza bomoa bomoa mkaja juuu kwelikweli,leo hii mnaanza tena kupiga kelele
watanzania bwana si lolote si chochote
mwacheni magufuri afanye kazi yake naimani tutafika pale tunapo pataka la sivyo tutalalama sana.
alianza bomoa bomoa mkaja juuu kwelikweli,leo hii mnaanza tena kupiga kelele