Siri za kambi EL zafichuka

Siri za kambi EL zafichuka

Charlton

Member
Joined
Jan 31, 2014
Posts
6
Reaction score
3
Wamwandalia akutane na Mwenyeviti Chama nchi nzima kuanzia na Mbeya!
 

Attachments

  • 1391577369916.jpg
    1391577369916.jpg
    52.3 KB · Views: 2,513
Hiyo namba inasoma ni ya Malanyingi Matukuta message inakwenda kwa Bashe....

Je huyo Malanyingi ndio Bashe?? Na je 0762 047686 ni namba ya Bashe???
Kama Malanyingi sio Bashe na hii sio namba ya Bashe....hiyo meseji ilifikaje kwa Matukuta?.?

Isije kuwa ni sanaa tu inaendelea kunogesha mpambano ndani chama lao!!!!
 
Kura yangu kwa mzee mwenzangu Lowasa, hata asipopitiahwa na chama, nitampigia kama mgombea binafsi. Labda waicheleweshe katiba kwa makusudi haya.
 
Hiyo namba inasoma ni ya Malanyingi Matukuta message inakwenda kwa Bashe....

Je huyo Malanyingi ndio Bashe?? Na je 0762 047686 ni namba ya Bashe???
Kama Malanyingi sio Bashe na hii sio namba ya Bashe....hiyo meseji ilifikaje kwa Matukuta?.?

Isije kuwa ni sanaa tu inaendelea kunogesha mpambano ndani chama lao!!!!

Mkuu mbona kitu kiko wazi tu hapo au umejiandaa kuja kubisha tuu!!??Huyo Malanyingi Matukuta ndo anayejiita Junior Matukuta na jina lake limetokea kabisa hapo.Inaoinekana Bashe kamchuuza kijana wa watu.
 
Hiyo namba inasoma ni ya Malanyingi Matukuta message inakwenda kwa Bashe....

Je huyo Malanyingi ndio Bashe?? Na je 0762 047686 ni namba ya Bashe???
Kama Malanyingi sio Bashe na hii sio namba ya Bashe....hiyo meseji ilifikaje kwa Matukuta?.?

Isije kuwa ni sanaa tu inaendelea kunogesha mpambano ndani chama lao!!!!
sanaa za ccm hazibadiliki mkuu... tangu 70's ni full sanaa
 
Hiyo namba inasoma ni ya Malanyingi Matukuta message inakwenda kwa Bashe....

Je huyo Malanyingi ndio Bashe?? Na je 0762 047686 ni namba ya Bashe???
Kama Malanyingi sio Bashe na hii sio namba ya Bashe....hiyo meseji ilifikaje kwa Matukuta?.?

Isije kuwa ni sanaa tu inaendelea kunogesha mpambano ndani chama lao!!!!

Mkuu yawezekana ni yeye ama si yeye maana hakuna umakini ktk kusajiri simu. Kuna namba moja nilikuta imebandikwa mahali karibu na usalama Oystebay, kuwa kama wataka kujiunga na freemasons piga namba hiyo. Nikafanya utafiti nikakuta mwenye namba hiyo anaitwa Freemasons January lkn utafit zaidi uligundua kuwa hilo si jina lake halisi. Hivyo hata hilo waweza kukuta si jina lake halisi
 
sielewi kwanini hivi lakini, wakat taifa linaitaji mambo mengi ya msingi lakini..... umeme juu, chakula tabu, kodi nyingi juu, madawa ya kulevya yanakamatwa na kinachoniumiza zaidi ni dhaman ya pesa yetu kushuka yani sasa inakimbilia USD 1 To 1700 Tsh.... alaf mtu anamsabikia fisadi.
 
nimecheka eti na huyu dogo seif hamis guramali m/kiti wa uvccm tabora ameingia kwenye mkumbo wa mamvi, kweri ccm mizigo
 
Back
Top Bottom