assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
- Thread starter
- #21
Wewe ndiye unayetakiwa kutuliza bongo, mleta mada kakupa source unataka hadi akununulie gazeti?
u nailed it!
Wewe ndiye unayetakiwa kutuliza bongo, mleta mada kakupa source unataka hadi akununulie gazeti?
Wewe mwenyewe umeshikwa akili sasa hii aixee ni uandishi gani kama siyo uzuzu?na wewe ni wa hovyohovyo!watanzania bdo tunashikwa akili cjui lini tutaamka aixee yan kuna vitu vya hovyoo mpk vinatia hasira.Hili suala halipo ni mbinu tu za kutaka kutuaminisha kua mkuu hana masihara kazin mpk wengine wanamuogopa huu ni uzuzu uliopitiliza
Wewe mwenyewe umeshikwa akili sasa hii aixee ni uandishi gani kama siyo uzuzu?na wewe ni wa hovyohovyo!
Look here!! This country is in a total mess and the president is trying to do something! If you are not happy, you can aswell migrate to Uganda or Kenya...mm ni mzalendo I don't believe on cheap politics
magufuli haya hakuyasema kwenye press. Leo gazeti la Zanzibar Leo limeripoti kuwa waliteuliwa wakakataa.
mytake.
who can work with magufuli? hasira,ubabe,vitisho vingi let us see
kalipe kodi kwanza wewe..nyie ndio fisadi mnajikinga na kivuli cha uhuru wa mahakama demokrasia. tingatinga ndio kiboko yenu. kwa nini uconclude kama ni ubabe wa jpm na sio wema wa watu hao kukubali hawawezi au hawastahili uteuzi huo kwa sababu ie afya maadili etc. hebu fanya heshima bana sio kuzuka tu.magufuli haya hakuyasema kwenye press. Leo gazeti la Zanzibar Leo limeripoti kuwa waliteuliwa wakakataa.
mytake.
who can work with magufuli? hasira,ubabe,vitisho vingi let us see
magufuli haya hakuyasema kwenye press. Leo gazeti la Zanzibar Leo limeripoti kuwa waliteuliwa wakakataa.
mytake.
who can work with magufuli? hasira,ubabe,vitisho vingi let us see
Leta ushahidi hapa. Kipande cha gazeti husika.magufuli haya hakuyasema kwenye press. Leo gazeti la Zanzibar Leo limeripoti kuwa waliteuliwa wakakataa.
mytake.
who can work with magufuli? Letahasira,ubabe,vitisho vingi let us see