Hawa waganga wa kienyeji ni waongo kama baba ya shetani alivyo muongo ni matapeli tu waganga njaa wenye kutumia ujanja ujanja kupata mkate wa kila siku, ukiangalia magazeti ya udaku kuna mengine page mbili yamejaa matangazo yao. Kuna kijana mwanafunzi yalimkuta ya kumkuta, uwezo wake darasani haukua wa kutisha, demand ya his performance iko kubwa, si akakutana na kipeperushi eti mganga sijui toka sumbawanga ana dawa ya kuongeza akili ya darasani. Dogo kaenda kajieleza mwisho wa siku mganga anamueleza dawa itaingizwa kwa njia ya haja kubwa, kijana akaingizwa dawa zaidi ya mara 4 siku tofauti, mwisho wa siku kawa shoga akaaanza kuwarubuni wenzake shule, walipokamatwa na kuhojiwa dogo akasema alivyoanza. Walimu ikabidi wawaite wazee wote wa watoto husika na kuwaeleza kilichojiri.