Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,873
- Thread starter
- #21
Sasa zinafanywaje baada ya kujua ubora wa ivo viungo?
Tumelize Maji marefu
Sasa zinafanywaje baada ya kujua ubora wa ivo viungo?
yule ndessa pesa ana miliki pesa za halali siyo kama viongozi wa ccm biashara wanazofanya hazijulikani lakini ni mabilionea sasa kwa nini mauaji ya allbino yanaongezeka sana na uchaguzi mkuu viongozi wa ccm wanahusika kwa asimilia 100kama alivyo ndesapesa na mwenyekiti wa pipoz!
acha shutuma za hovyo! kila kitu kwenu siasa
mkuu huu utafiti umefanyika wapi mfupa wowote wa binadamu ukiuweka kwenye radio inazima au ni albino tuu.
ndo maana nimemuuliza muhusika ili nami nkafanye utafiti kidogo kugundua ukweli lakini utafiti sitakusudia kuuawa .Wewe tena unataka kuibua janga jingine...wauwawe weusi tutest siyo?
nguvu za polisi zipo kwa ajili ya kupambana na CHADEMA NA CUF tuu hawa wale majambazi ya mapango ya Angoni walishindwa kuwakamata .Polisi wa TZ wapo kwaajili ya kupambana na upinzani huko kwingine hakuwahusu
Sasa zinafanywaje baada ya kujua ubora wa ivo viungo?
Wanampelekea Prof. Maji Marefu na Yule Mwakilishi wa Waganga kwenye Bungee la Katiba Bw. Kingunge N. M. ili kwa pamoja waweze kuangalia namna ya kuikoa CCM mwezi October, maana hali ni tete!
Dawa ya hao wauaji wa albino ilishasemwa na Pinda siku nyingi sijui tunashindwa wapi kuitekeleza.
Mbavu zangu kamandaWanampelekea Prof. Maji Marefu na Yule Mwakilishi wa Waganga kwenye Bungee la Katiba Bw. Kingunge N. M. ili kwa pamoja waweze kuangalia namna ya kuikoa CCM mwezi October, maana hali ni tete!
Bora hamjataja bei, kuna watu wana roho mbaya sana
Pitia ripoti ya umoja was mataifa iliweka bei
Katibu wa Chama chakavu huvaa hirizi kubwa kiunoni inabidi kujua kama hiyo haina viungo vya ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi
Mtaa wapili nibalaaWanasiasa inawahusu wengi hii kesi maana wanaamini ushirikina....siyo wote lakini wengi wao
kama alivyo ndesapesa na mwenyekiti wa pipoz!
acha shutuma za hovyo! kila kitu kwenu siasa
Wanampelekea Prof. Maji Marefu na Yule Mwakilishi wa Waganga kwenye Bungee la Katiba Bw. Kingunge N. M. ili kwa pamoja waweze kuangalia namna ya kuikoa CCM mwezi October, maana hali ni tete!