Mnzajila GairoTz
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 562
- 153
Watu kama hao kuwaweka mahakamani ni kuongeza msongamano na jam ya kesi tu.
wananchi tuchukue hatua
Inaelekea ni biashara nzuri sana na inalipa, ndiyo maana haikomi! Pamoja na kuwa watuhumiwa wanakamatwa live na vidhibiti wakipelekwa mahakamani eti inatakikana vidhibiti hivyo vipelekwe kwa mkemia mkuu wa Serikali akathibitishe, akishathibitisha achakachue ripoti na washtakiwa huachiwa huru kwa siri! Ushahidi wa mazingira unaonesha kuwa wahusika wakuu wa mauaji haya ni wanasiasa wanaosaka madaraka na hasa wenye chama kinachomiliki dola, mahakimu pamoja na watendaji wa serikali wanaomiliki chama chetu kwa minajili ya kusaka vyeo! Vita hii haiwezi kukoma kwakuwa wauaji wanafahamika ila wamebatizwa jina wanaitwa "WATU WASIOJULIKANA" lakini kiukweli wanajulikana