Siri ya waraka wa Mwakyembe yafichuka; Kisa ni kifo cha ghafla cha mhudumu ofisini kwake

Taarifa yako haina uhusiano na subject. Labda ujaribu kueleza ulichokusudia sisi watanzania tuelewe kuhusu drama za msanii Dr. Harison Mwakyembe.
 
Mnafiki namba mmoja sitta kastaafu siasa
Mnafki namba mbili MWAKYEMBE bado yupo.VIHI NI KWA NINI MWAKYEMBE kwenye richmond ripoti alisema akiweka uwazi serikali itaanguka, alificha kitu gani?
 
Afrika ndivyo ilivyo, hata akifa Mandela watasema eti na yeye kawekewa sumu na Frederick de Clerk.


Haya ni moja ya madhara ya kutawaliwa na CCM. Yaani ukweli uko wazi hata mjinga anaona ila kwa makusudi mtu anabisha na kukubali uwongo kuwa ndiyo ukweli. CCM does the same, kila mwaka wa uchaguzi ahadi za kijinga nyingi ila hazitimizwi na wananchi vijijini bado wanaishupalia tu.
 
siku nyingi wapi wakati waathirika wapo?
Shikula..... Nilichomanisha ni kwamba hadithi ya Mwakyembe kulishwa sumu na mhudumu wake kufa ( RIP) ilishatoka .. sio habari mpya... Wakati huo Mwakyembe naibu waziri.. kaumwa katibiwa kapona na keshabadilishiwa kapewa wizara mara mbili sasa. Sijasema hakuna waathirika.. Read between lines?? na sijaelewa hoja yako...
 
Shikula..... Nilichomanisha ni kwamba hadithi ya Mwakyembe kulishwa sumu na mhudumu wake kufa ( RIP) ilishatoka .. sio habari mpya... Wakati huo Mwakyembe naibu waziri.. kaumwa katibiwa kapona na keshabadilishiwa kapewa wizara mara mbili sasa. Sijasema hakuna waathirika.. Read between lines?? na sijaelewa hoja yako...

Mh Mwakyembe amabaki ni mlemavu wa sumu aliyowekewa, mpaka sasa hana kucha mwili wake una magamba km Nyoka.
 
Tatizo letu kubwa hatulioni tatizo kama tatzo mpaka labda litukumbe sisi wenyewe. Ubinafsi gani huu! Leo ni yeye kesho ni wew au nduguyo.

Mtanzania staarabika basi! Ya nini kuishi kama mbwa mwitu porini.

Ustaarabu ni kuwa mwizi aadhibiwe kama mwizi. Muuaji aadhibiwe kama Muuaji na nk.

Mwenzio anapigwa sumu unaona kawaida?

Subiria akiwa rais uone wangap atawapga sumu, risas na mabomu. Time will tell
 
Hakuwa rais akawa anawa bugiza watu sumu. Madaraka yakiongezeka Kutakuwa na sumu, risas, mabomu na makombora. Mbona tutakoma

Hayo ndio mabadiliko ayasemayo. Tanzania haitokuwa hii tuijuayo
 
Ndio maana tunatakiwa tuwe wazalendo.. Mafisadi yanatumia kila mbinu kutimiza lengo lao ikiwamo kutoa roho za watu ili malengo yao yatimie.. Ajali ya Mwakyembe si ya bahati mbaya ilipangwa lakini Mungu akamnusuru.... Leo tunaonea huruma U.F.I.S.A.D.I.. Give me a break!
 
Back
Top Bottom