Siri Ya Wanajeshi Wa Obama

Siri Ya Wanajeshi Wa Obama

Hujasikia kuwa madaktari wanakufa huko mzee? Pia niliwahi sikia kuna madaktari wamegoma kwenda!

kama madaktari wa kiafrica wanagoma kwenda kuwatibu ndugu zao kwa nini wamulaumu obama kwa kuwasaidia?
 
waafrika kwa longo longo! sasa kwa nini hata tanzania hamjapeleka madaktari kuwasaidia waafrika wenzenu?

Wacha kuweweseka km mke aliyepewa talaka asie na pakwenda wewe!
Unawasifu wazungu kwa sababu wamekuoa?
Haya maliberali ya kiafrika nuksi sana.

Obama eee! Obama oooo! Peleka basi hayo makalio yako yenye upele kwa hao wanajeshi wake wakapunguze Manyege yao.

Nyambafff mmoja.
 
tuna uhaba wa madaktari tu au pamoja na uhaba wa akili?

Uhaba wa akili anao mzee wako wa kihutu.

Watanzani tuko fiti vibaya mno.
Linapotokea tatizo km hili Nchi kwetu huwa hatulilii wazungu km hao mama zako wa Liberia.

Km vipi urudi kwenu kwa Banyamulenge.
Nyambaf usie na shukran wewe!

Tumekuhifadhia mamako bure hapa Tz, leo unatuona hatuna Akili.

Nyamaff ni Nyamaff tu.
 
kama madaktari wa kiafrica wanagoma kwenda kuwatibu ndugu zao kwa nini wamulaumu obama kwa kuwasaidia?

Obama HASAIDII MTU WEWE!
Yeye mwenyeww anatafuta msaada wa kumridhisha mkewe! Saa ngapi ataweza kusaidia wengine?

Wakoloni wanapanga mambo yao ya kuzidi kumnyonya mtu mweusi, wewe umefunga kanga kiunoni unacheza mdundiko wa kuwasifia.

We nyonga kiuno mpaka asubuhi lkn Hupati bwana wa Ki TZ akatamani mwili mbovu wa Banyamulenge.
 
Wameenda kujenga vituo vya afya ila nadhan na maslahi binafsi lazima yahusike.
 
Mm Nilichojiuliza Ndo Nikaleta Huu Uz Ni Kwann Atumie Wanajesh,na Sio Madaktar hv Wanaosema Wanaenda Kujenga Hosptal Kwan Ebola Imebomoa Hosptal Na Zahanat?

ujue ebora ni ugonjwa ambao unahitaji wagonjwa wake kutengwa,sasa hosptl na vituo vingine vya afya vilivopo havtoshelez ndo maana wanataka kujenga vituo mahisusi kukabiliana na gonjwa hilo.
 
Kumtoa daktari marekani na mafundi ujenzi kwenda kurisk maisha yao huko ni gharama kubwa sana sio rahisi kuwapata, lakini jeshi ambalo limesheheni taaluma mbalimbali ni rahisi na sio gharama sana, kule jeshini ni kupangiwa kazi tu (kuamrishwa) hakuna mambo ya kuelewana bei

hebu nisaidie kumuelimisha, ndo maana serkali yako hutumia jeshi kwenye majanga,hupati shida kuwatafuta wala hutangazi tenda wao wakifika kazi inaanza
 
malumbano yote kuhusu wanajeshi wa marekani kwenda kupambana na na ebola ni kutojuajua mfumo wa kijeshi! jeshi lo lote lina idara zote, idadi kubwa kwa hali kama hiyo huwa madaktari, kwenye mafuriko miundombinu ikiharibiwa wanaokuwepo kwa wingi ni wahandisi, nk, nk, mpo?

naunga mkono mkuu,ndani ya jeshi kuna kila idara ni kama nchi iliokamilika.kuna hosptl,zahanati,police,usalama,idara ya anga,navy,shule,wahandisi wa kila nyanja(wapo wengine wanajenga bomba la gesi mtwara), vyuo,zimamoto,mahakama,wanasheria,fundi umeme,bomba,wajenzi n.k
 
Minadhani kwakuhofia mapnduz amepeleka kumlinda Yule mama kwakuhofia wale mawaziri wake waliotokomea Na kulowea nje wasje wakalianzsha
 
Mm Nilichojiuliza Ndo Nikaleta Huu Uz Ni Kwann Atumie Wanajesh,na Sio Madaktar hv Wanaosema Wanaenda Kujenga Hosptal Kwan Ebola Imebomoa Hosptal Na Zahanat?

ni kawaida katika majanga yoyote dunian wanaotumwa mara nyinyi ni wanajesh, ata china walituma madaktar wa jesh..Kati ya hao 3000 kuna madaktar,mainjinia na wataalam mbalmbal kwa ajil ya kutoa huduma na kujenga hospital
 
Wanao amini kwa Marekani imekataa kupeleka ground troops Iraq lakini inapeleka wanajeshi kupambana na Ebola Siera leon hiki ni kihekesho cha mwaka,
Wajinga ndio waliwao.Mimi adhani iko namna,lakini TIME WILL TELL. Maana sisi Waaafirika tumekuwa kama Majongoo,Hatuoni twendako mpaka tugonge ukuta.
We need to have a critical thinking ang fore sight.
Hivi unadhani hawa Majeshi hawawezi kupatwa na ebola?
Kwa nini asitume timu ya madaktari na washauri wa kiafya?
Kwa nini asipeleke zana za kitabibu na vifaa?
Wanajeshi 3000 ni wengi mno wanaweza hata kuipindua nchi na kuikalia kimabavu au kutengeneza boko haramu wengine.
Kwani Wamarekani kazi yao duniani ni kutengeneza resistant groups katika kila nchi na kuigawaia silaha na information za kukoleza propaganda .ili kuandaa mazingira ya vita na yeye auze silaha.
Vita vyote duniani vina tengenezwa kwa uchochezi nahatimae wao huuza silaha .
Hata Alshabab hupokea silaha kutoka kwao.
Wamarekani ni kama NGE (SCORPION) Hutafuna nyuma na mbele
Wake up Africans
Blind,
Pipets,
Lack of vision and mision

Mkuu ndani ya jeshi kuna watu wa proffesion zote,kuna wanajeshi madaktari,wanasheria,mainjinia,walimu,so may be hao wanajeshi ni madaktari,kujisaidia wenyewe waafrika tumeshindwa,acheni waje wenye uwezo wa kutusaidia,waafrika hatuna jema,kama tuna uwezo basi tuyngane nchi za kiafrika tukapambane na hiyo ebola,in short haiwezekani coz kila mtu ni.mbinafsi,sasa tumwachie mmarekani akapambane na akishapambana ataondoka na diamond za kutosha tu kama ujira wake
 
Back
Top Bottom