Hujasikia kuwa madaktari wanakufa huko mzee? Pia niliwahi sikia kuna madaktari wamegoma kwenda!
kama madaktari wa kiafrica wanagoma kwenda kuwatibu ndugu zao kwa nini wamulaumu obama kwa kuwasaidia?
Hujasikia kuwa madaktari wanakufa huko mzee? Pia niliwahi sikia kuna madaktari wamegoma kwenda!
waafrika kwa longo longo! sasa kwa nini hata tanzania hamjapeleka madaktari kuwasaidia waafrika wenzenu?
tuna uhaba wa madaktari tu au pamoja na uhaba wa akili?
kama madaktari wa kiafrica wanagoma kwenda kuwatibu ndugu zao kwa nini wamulaumu obama kwa kuwasaidia?
Mm Nilichojiuliza Ndo Nikaleta Huu Uz Ni Kwann Atumie Wanajesh,na Sio Madaktar hv Wanaosema Wanaenda Kujenga Hosptal Kwan Ebola Imebomoa Hosptal Na Zahanat?
Kumtoa daktari marekani na mafundi ujenzi kwenda kurisk maisha yao huko ni gharama kubwa sana sio rahisi kuwapata, lakini jeshi ambalo limesheheni taaluma mbalimbali ni rahisi na sio gharama sana, kule jeshini ni kupangiwa kazi tu (kuamrishwa) hakuna mambo ya kuelewana bei
malumbano yote kuhusu wanajeshi wa marekani kwenda kupambana na na ebola ni kutojuajua mfumo wa kijeshi! jeshi lo lote lina idara zote, idadi kubwa kwa hali kama hiyo huwa madaktari, kwenye mafuriko miundombinu ikiharibiwa wanaokuwepo kwa wingi ni wahandisi, nk, nk, mpo?
Mm Nilichojiuliza Ndo Nikaleta Huu Uz Ni Kwann Atumie Wanajesh,na Sio Madaktar hv Wanaosema Wanaenda Kujenga Hosptal Kwan Ebola Imebomoa Hosptal Na Zahanat?
kama madaktari wa kiafrica wanagoma kwenda kuwatibu ndugu zao kwa nini wamulaumu obama kwa kuwasaidia?
Wanao amini kwa Marekani imekataa kupeleka ground troops Iraq lakini inapeleka wanajeshi kupambana na Ebola Siera leon hiki ni kihekesho cha mwaka,
Wajinga ndio waliwao.Mimi adhani iko namna,lakini TIME WILL TELL. Maana sisi Waaafirika tumekuwa kama Majongoo,Hatuoni twendako mpaka tugonge ukuta.
We need to have a critical thinking ang fore sight.
Hivi unadhani hawa Majeshi hawawezi kupatwa na ebola?
Kwa nini asitume timu ya madaktari na washauri wa kiafya?
Kwa nini asipeleke zana za kitabibu na vifaa?
Wanajeshi 3000 ni wengi mno wanaweza hata kuipindua nchi na kuikalia kimabavu au kutengeneza boko haramu wengine.
Kwani Wamarekani kazi yao duniani ni kutengeneza resistant groups katika kila nchi na kuigawaia silaha na information za kukoleza propaganda .ili kuandaa mazingira ya vita na yeye auze silaha.
Vita vyote duniani vina tengenezwa kwa uchochezi nahatimae wao huuza silaha .
Hata Alshabab hupokea silaha kutoka kwao.
Wamarekani ni kama NGE (SCORPION) Hutafuna nyuma na mbele
Wake up Africans
Blind,
Pipets,
Lack of vision and mision