Siri Ya Wanajeshi Wa Obama

Siri Ya Wanajeshi Wa Obama

Acha chuki za kipuuzi wewe. Kuna wanajeshi ambao pia ni wataalam wa afya so Obama amewapeleka pale ili kusaidia kuzuia Ebola kwa mbinu zote za ikiwa ni pamoja na za kijeshi. Mmarekani angekaa kimya mngeanza kulalamika kwamba hatoi msaada kwa sababu Liberia hakuna mafuta. Amejitolea timu ya kusaidia mnaanza kubwabwaja upuuzi. Ungeenda wewe basi kutoa msaada

We ndio wale vibaraka mnaotetea wapuuzi wanaotuletea maradhi ya kila aina.

We kwa akili zako zilivyo ndogo unategemea Wamarekani watatoa msaada wa kibinaadamu Bila LENGO maalum Kwa Faida yao?

Hebu subiri sasa uone nini kitatokea huko Liberia.
Eti Mjaluo Obama asingejitolea Tungelalamika, we ndo shoga kweli kweli.
Ni watu km wewe ndio wanaotegemea misaada kutoka kwa Wauwaji km Americans.
Hao mbwa wa kimarekania wakikaa mbali na Bara langu la Africa NiBORA KWANGU kuliko kusogeza makalio yao ya Kiliberali Kwenye Ardhi yetu.
Km na wewe uko km wao Nenda kajiunge nao wakuwowe kabisa.

Mnxsssssssssss
 
Mm Nilichojiuliza Ndo Nikaleta Huu Uz Ni Kwann Atumie Wanajesh,na Sio Madaktar hv Wanaosema Wanaenda Kujenga Hosptal Kwan Ebola Imebomoa Hosptal Na Zahanat?

Nijambo zuri kuwatuma Wanajeshi maama nchi za Afrika hawaaminiki, waweza vamiwa na Mashabaabi.
 
.........ni nani mwenye nguvu za kuangamiza ambaye Marekani anamzuia asiiangamize Dunia !? Cynic

Magonjwa ya milipuko/kuambikiza, aliens, asteroids, na vitu vingine kama hivyo vinavyoweza kiangamiza dunia. Jeshi siku zote liko stand by kukabili na mambo kama haya - wana wataalamu wa magonjwa ya milipuko, mitambo inayoangalia mienendo ya asteroids na makombora ya kulipua asteroids, etc. Philosophy ktk jeshi ni rahisi tu, kwao Usalama wa Dunia = Usalama wa Marekani, na maslahi ya Marekani yako kokote pale Duniani.
 
We ndio wale vibaraka mnaotetea wapuuzi wanaotuletea maradhi ya kila aina.

We kwa akili zako zilivyo ndogo unategemea Wamarekani watatoa msaada wa kibinaadamu Bila LENGO maalum Kwa Faida yao?

Hebu subiri sasa uone nini kitatokea huko Liberia.
Eti Mjaluo Obama asingejitolea Tungelalamika, we ndo shoga kweli kweli.
Ni watu km wewe ndio wanaotegemea misaada kutoka kwa Wauwaji km Americans.
Hao mbwa wa kimarekania wakikaa mbali na Bara langu la Africa NiBORA KWANGU kuliko kusogeza makalio yao ya Kiliberali Kwenye Ardhi yetu.
Km na wewe uko km wao Nenda kajiunge nao wakuwowe kabisa.

Mnxsssssssssss

Ndo hapo utashangaa kuna watu kila siku wako marekani, sijui hata wanafuata nini huko!
 
come on you 'Catholic' moron, facts are stubborn things .. hazibadilishwi kwa matusi

Morons are the one who Worshipped a Whiteman like yourself.

Huna adabu wala akili.
Wakoloni wanakutawala wewe na bibi yako kiakili mpaka kesho.
 
Nijambo zuri kuwatuma Wanajeshi maama nchi za Afrika hawaaminiki, waweza vamiwa na Mashabaabi.

Ungejua maana ya Shabaabi wala usingeandika hapa.

Shabaabi maana yake ni "Wanamme wa Shoka".

Sasa hapo unawasifu au unawakashifu?

Mbulumundu ni tatizo.
Halafu Ebola inahusiana nini na Al Shabab?

Kweli Ugalatia Mzigo.
 
Morons are the one who Worshipped a Whiteman like yourself.

Huna adabu wala akili.
Wakoloni wanakutawala wewe na bibi yako kiakili mpaka kesho.

Haya, lenzake hili, sijui limejijuaje!
 
Mm Nilichojiuliza Ndo Nikaleta Huu Uz Ni Kwann Atumie Wanajesh,na Sio Madaktar hv Wanaosema Wanaenda Kujenga Hosptal Kwan Ebola Imebomoa Hosptal Na Zahanat?
zillizopo hazitoshi na hazina usasa wa kuhimili ebola kali
 
Mnapenda siri aka conspirancy theory nyie, hadi mnatia huruma

tehe tehe tehe! wakati marais wa afrika kama akina kikwete wanakwenda kula bata marekani 2weeks badala ya kutafuta ufumbuzi wa matatizo yao!
 
Wanajeshi wa marekani sio kama wanajeshi wetu huku,hapo kuna kila taaluma japokuwa wapo pia planners wa kuhakikisha maslahi ya marekani humo humo. us hafai
 
Wanajeshi wa marekani sio kama wanajeshi wetu huku,hapo kuna kila taaluma japokuwa wapo pia planners wa kuhakikisha maslahi ya marekani humo humo. us hafai

waafrika kwa longo longo! sasa kwa nini hata tanzania hamjapeleka madaktari kuwasaidia waafrika wenzenu?
 
waafrika kwa longo longo! sasa kwa nini hata tanzania hamjapeleka madaktari kuwasaidia waafrika wenzenu?

Sisi wenyewe tuna uhaba wa madaktari,pia huo ugonjwa sisi ni prone area pia. si unafahamu uwiano wa daktari mmoja kwa wagonjwa huko marekani??
 
Tunatakiwa kujua kwamba majeshi ya Marekani yanapokita mizizi sehemu huendelea kutafuta uhalali wa kukaa milele kama ilivyo Iraq,Afghanistan,Saudia,Djibout,Uganda na hii imeishatokea sehemu nyingi ambazo wana majeshi yao.Tuliikataa Afcom kishujaa lakini inakuja kivingine nasi twafurahia,akili zetu hazina akili.Ni mpaka mtandao wa majeshi yao utakapozingira dunia nzima na kuanza kutoa au kupokea amri zao ndipo tutashtuka.Katika mwendelezo wao wa kutawala dunia huko Syria waliunda ISIS/ISIL/IS wao wenyewe na baada ya kutoonyesha mafanikio wanataka kumuondoa Bashar Al Assad kwa kisingizio cha kuiondoa ISIL.Marekani na NATO wataweka majeshi yao kila nchi na wakristu hujidanganya na kulewa propaganda kwamba hao ni wenzao kutokana na majina ya George,Richard bila kujua kwamba hao ni mayahudi na muda utakapofika wote tutaumia bila kujali nani aliwasapoti.Shame on us.
 
Sisi wenyewe tuna uhaba wa madaktari,pia huo ugonjwa sisi ni prone area pia. si unafahamu uwiano wa daktari mmoja kwa wagonjwa huko marekani??

tuna uhaba wa madaktari tu au pamoja na uhaba wa akili?
 
Back
Top Bottom