Wanao amini kwa Marekani imekataa kupeleka ground troops Iraq lakini inapeleka wanajeshi kupambana na Ebola Siera leon hiki ni kihekesho cha mwaka,
Wajinga ndio waliwao.Mimi adhani iko namna,lakini TIME WILL TELL. Maana sisi Waaafirika tumekuwa kama Majongoo,Hatuoni twendako mpaka tugonge ukuta.
We need to have a critical thinking ang fore sight.
Hivi unadhani hawa Majeshi hawawezi kupatwa na ebola?
Kwa nini asitume timu ya madaktari na washauri wa kiafya?
Kwa nini asipeleke zana za kitabibu na vifaa?
Wanajeshi 3000 ni wengi mno wanaweza hata kuipindua nchi na kuikalia kimabavu au kutengeneza boko haramu wengine.
Kwani Wamarekani kazi yao duniani ni kutengeneza resistant groups katika kila nchi na kuigawaia silaha na information za kukoleza propaganda .ili kuandaa mazingira ya vita na yeye auze silaha.
Vita vyote duniani vina tengenezwa kwa uchochezi nahatimae wao huuza silaha .
Hata Alshabab hupokea silaha kutoka kwao.
Wamarekani ni kama NGE (SCORPION) Hutafuna nyuma na mbele
Wake up Africans
Blind,
Pipets,
Lack of vision and mision