Siri ya 'upole' wa Rais Magufuli BOT

Siri ya 'upole' wa Rais Magufuli BOT

Yeah may be kuna Watu ambao hawapo na wanalipwa pesa huo ni upigaji na kuna Watu pia madeni yao yalikuwa ya Magumashi Sasa Kwa hali hii Magumashi zitapungua
Ila watu habari wameichukua tofauti kwa sababu wamekwisha-conclude tayari!
 
Labda ameona kua watu wamesema sana maana ilikua kima siku SERIKALI YA KUKURUOUKA MARA ANAFUKUZA BILA UTARATIBU. Sasa ameonyesha mara kadha faifa ya kukurupuka lakini ameacha hicho kitendawili cha kumuondoa mtu, Sasa bi sisi wananchi je tutasemaje leo....
 
kuwepo sio tatizo iwapo wana sifa na wameingia kwa utaratibu
Kwa mtazamo wako na hulka za binadamu wa kitanzania watakua wameingia kwa utaratibu kama mimi na wewe tunavyofanya utaratibu tunapotafuta kazi mahali....yaani kaona tangazo kwenye gazeti katuma maombi akaitwa usaili akapita...not in tanzania..sahau
 
Kuna jambo moja la msingi sana kaliongelea kuhusu kujaza wafanyakazi pale BOT, lakini tatizo hilo lipo kwenye taasisi nyingi za serikali na serikalini pia, leo nimetembelea mahakama moja na Ofisi moja ya Tanesco ni aibu tupu kwani wafanyakazio wengine hawana meza wala kiti ofisini then wanakuja kukaa nje kwenye benchi la wateja, hii ya kukagua CV na kupunguza watu wasio na ulazima inafaa ifanyike ktk mihimili yote, na sheria zetu pia inabidi tuziangalie kwani hakuna sababu wizara ikawa na maofisa 30 na madereva 30, masekretary 30
 
watu hawana jema akiwatimua on spot eti amewaonea akiwapa muda wajieleze ili awatumbue kawa mpole pale hapawezi ila kwa ninachojua Tanzania round hii tumepata Rais atawatumbua vilivyo ashasema target yake hata wakifika 2000 haoni shida
 
Tatizo TV hazp watu wanakurupuka kwa kuangalia picha et kwa upole?
 
Mi sidhani kama ni lazima kufukuza kila mara . Mambo mengine ni kurekebishana. Hata hivyo bado mapema kwani siyo lazima uamuzi utolewe hapo hapo. Wakati mwingine subira ki kitu cha kimkakati inapolazimika.
huo utawala ulisha expire. sasa hivi hapa ni kazi tu ukizingua huchekewi mara 2. ukicheka na nyani utavuna.......................
 
Mukubwa sitetei, lakini nimeambiwa wafanyakazi wengi wa BOT wamekuwa seconded sehemu mbalimbali wakiretain uajiri wao endapo watarudi baada ya kutumikia hizo sehemu nyingine. Ni utaratibu wa Central banks specificaly kama ilivyo "sabbatical leave" kwa vyuo vikuu.

Mfanyakazi huyo anaweza kuondolewa jina lake endapo ataamua yeye kuopt kuhamia moja kwa moja kwenye hiyo institution nyingine.

Utaratibu huu ni tofauti na taratibu za Utumishi wa Umma tunazozifahamu na mishahara yao inabaki kama ilivyo kwa ajili ya mafao ya kustaafu na siyo kwamba wanapewa hiyo mishahara kila mwezi ilhali huko walipo nako wanalipwa, au kuna wafanyakazi hewa kama inavotafsiriwa sasa mitaani. Ingekuwa hivyo ni kesi ya jinai na Rais asingesita kutumbua jipu.

Kwa kuzingatia hayo, ninachoona ni kwamba mkuu anataka utaratibu huo ubadilike kwani Benki Kuu yetu siyo "closed shop" au too special kuwa na taratibu tofauti kabisa na utumishi wa umma.
Kumbe wao si watumishi wa umma?
 
Mtu wa kutumbiliwa kwa sababu ya ajira hewa BoT sio 'Benno Ndullu' (sijawahi kuwa fan wa huyu bwana kutokana na sababu zingine za kazi zake) hila kwa majukumu yake ambayo for the most part ni kutumia akili kwenye maswala ya uchumi ni ngumu sana kutumia muda mwingi kufuatilia ya chini and everyday administration; sehemu zingine chairman/governor sawa anaweza wajibika lakini sio BoT.

Ukiangalia structure yao BoT kwa mgawanyo wa majukumu jipu ni bwana 'Julian Banzi Raphael' ambaye ndiyo Deputy Governor anayesimamia mambo ya Administration and Internal Controls (AIC), huko ndio kuna HRM and other teams responsible for systems of checks.

https://www.sadcbankers.org/Countries/Documents/Bank of Tanzania.pdf
 
Jana,Rais alikuwa mpole alipotembelea na kujionea madudu BOT. Kikubwa ni wafanyakazi hewa. Zilipofanyika ziara za kushtukiza TRA,Bandarini na Muhimbili wapo waliokwenda na maji. Waliwajibishwa. Gavana Ndulu amepewa nafasi aondoe madudu yake BOT.

Jana,hakuna hata mmoja aliyewajibishwa BOT kwa madudu ya pale. Unajua kwanini? Gavana wa BOT,Prof. Benno Ndulu,kama alivyo Rais,ni 'watoto wa kisiasa' wa Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa. Ni wamoja. Ni ndugu. Hawana muda wala sababu ya kuumbuana au kutumbuana.

Ana heri Prof. Ndulu ambaye si TeamLowassa. Angekiona cha mtemakuni jana! Akachinje kuku,tena wa kienyeji.

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Pengine anabadili gear...!pengine anabadili mbinu...pengine anabadili mkakati AU pengine ni hilo ulilosema
 
Mukubwa sitetei, lakini nimeambiwa wafanyakazi wengi wa BOT wamekuwa seconded sehemu mbalimbali wakiretain uajiri wao endapo watarudi baada ya kutumikia hizo sehemu nyingine. Ni utaratibu wa Central banks specificaly kama ilivyo "sabbatical leave" kwa vyuo vikuu.

Mfanyakazi huyo anaweza kuondolewa jina lake endapo ataamua yeye kuopt kuhamia moja kwa moja kwenye hiyo institution nyingine.

Utaratibu huu ni tofauti na taratibu za Utumishi wa Umma tunazozifahamu na mishahara yao inabaki kama ilivyo kwa ajili ya mafao ya kustaafu na siyo kwamba wanapewa hiyo mishahara kila mwezi ilhali huko walipo nako wanalipwa, au kuna wafanyakazi hewa kama inavotafsiriwa sasa mitaani. Ingekuwa hivyo ni kesi ya jinai na Rais asingesita kutumbua jipu.

Kwa kuzingatia hayo, ninachoona ni kwamba mkuu anataka utaratibu huo ubadilike kwani Benki Kuu yetu siyo "closed shop" au too special kuwa na taratibu tofauti kabisa na utumishi wa umma.
Hii system ipo hata vyuo vikuu.. especially university of dsm. Unakuta idara ina staff 60 ila wanaoonekana kazini ni 30 tu.. unakuta mtu amekua appointed ukatibu mkuu wizara over the past five years ago ila bado anatambulika staff wa udsm.. nafhani hili lapaswa kuangaliwa upya
 
Hii system ipo hata vyuo vikuu.. especially university of dsm. Unakuta idara ina staff 60 ila wanaoonekana kazini ni 30 tu.. unakuta mtu amekua appointed ukatibu mkuu wizara over the past five years ago ila bado anatambulika staff wa udsm.. nafhani hili lapaswa kuangaliwa upya
Kweli kabisa hili linapaswa kuangaliwa upya na Kwa umakini zaidi
 
Back
Top Bottom