Siri ya mchezo

Siri ya mchezo

Binadamu anapokuwa na hasira, furaha kupita kiasi, huzuni, maumivu makali mwilini/moyoni au kilevi kichwani kiujumla akili yake inakuwa haipo sawa(haijatimia)

hivyo basi anaweza kufanya maamuzi ambayo sio sahihi kwa wakati (maamuzi ya ajabu) tofauti na maamuzi anapokuwa katika hali ya kawaida

Jawabu la upole hupunguza ghadhabu, neno liumizalo huchochea hasira ipande, ila ulimi wa watu wenye hekima huleta maarifa
 
Wote mnao Coments humu mshana atawajia usiku shauri zenu mimi ntalala na Maji ya baraka na Rozari atakuja na sura ya kutisha sana
 
Wote mnao Coments humu mshana atawajia usiku shauri zenu mimi ntalala na Maji ya baraka na Rozari atakuja na sura ya kutisha sana

ab4f4401069a7c168ed5bbf59d838e64.jpg
 
Asante sana. Leo umenisaidia siku yangu itakuwa nzuri. Kuna mtu alinikwaza sana, niko macho toka saa 9 nikiwaza nimfanye nini ili moyo wangu ufarijike, maamuzi yalikuwa si mazuri. Asante sana endelea kuelimisha mambo kama haya yanayojenga roho. Ubarikiwe sana
 
Asante sana. Leo umenisaidia siku yangu itakuwa nzuri. Kuna mtu alinikwaza sana, niko macho toka saa 9 nikiwaza nimfanye nini ili moyo wangu ufarijike, maamuzi yalikuwa si mazuri. Asante sana endelea kuelimisha mambo kama haya yanayojenga roho. Ubarikiwe sana
Imagine aliyekukwaza alikuwa kalala usingizi wake mnono wewe uko macho ukijitesa na mawazo na fikra za mipango mibaya yenye madhara ya kulipa kisasi
Unajua kisasi kina tabia moja ya kuzalisha na kukuza roho za visasi... ukisamehe ni sawa na kufanya abortion hakuna kitakachozaliwa na hivyo kumaliza tatizo
Kanuni moja ya kusamehe ni kwamba yule aliyekukosea ndio anabaki na roho ya kuhukumiwa na hata kuna wakati hudhurika kwa njia tofauti lakini chanzo kikiwa ni yale aliyokutendea nawe ukasamehe. ..msamaha wa kweli una nguvu ya ajabu mno
 
Imagine aliyekukwaza alikuwa kalala usingizi wake mnono wewe uko macho ukijitesa na mawazo na fikra za mipango mibaya yenye madhara ya kulipa kisasi
Unajua kisasi kina tabia moja ya kuzalisha na kukuza roho za visasi... ukisamehe ni sawa na kufanya abortion hakuna kitakachozaliwa na hivyo kumaliza tatizo
Kanuni moja ya kusamehe ni kwamba yule aliyekukosea ndio anabaki na roho ya kuhukumiwa na hata kuna wakati hudhurika kwa njia tofauti lakini chanzo kikiwa ni yale aliyokutendea nawe ukasamehe. ..msamaha wa kweli una nguvu ya ajabu mno
Huo ni ukweli usiopingika ukiwa na hasira unatumia muda mwingi kuwaza mabaya, pia hasira zinakutoa ktk mudi kabisa na kufanya ushindwe kufanya mambo yako ya kawaida,
 
Asante sana. Leo umenisaidia siku yangu itakuwa nzuri. Kuna mtu alinikwaza sana, niko macho toka saa 9 nikiwaza nimfanye nini ili moyo wangu ufarijike, maamuzi yalikuwa si mazuri. Asante sana endelea kuelimisha mambo kama haya yanayojenga roho. Ubarikiwe sana
Mwambie Mshana amroge huyo mtu aliekukwaza ageuke bata
 
Haa haa, mi sidhani kama Mshana Jr analoga watu, naona anatoa tu elimu ya mambo mbali mbali kwa kuwa ana uelewa wa hayo mambo
Anajua na uganga huyo kuna siku aliniambia boss wangu mchawimchawi na kweli huyo jamaa mganga huyo mshana
 
TOA msaada kwangu... nikiwa na hasira nifanyeje ili niweze kusamehe bila kulipiza kisasa maana sijui how kusamehe. yaani unaanzaje au unafanyaje ndo uwe umwmsamehe mtu aliyekukosea.?
 
TOA msaada kwangu... nikiwa na hasira nifanyeje ili niweze kusamehe bila kulipiza kisasa maana sijui how kusamehe. yaani unaanzaje au unafanyaje ndo uwe umwmsamehe mtu aliyekukosea.?
Vuta pumzi tatu ndefu kisha ahirisha maamuzi unayotaka kuchukua siku hiyo ya visasi, fanya hivyo kwa siku tatu mfululizo, ikishindikana fanya kwa siku saba
80397e1e27332ea31b3a49bd9dffdb4d.gif
 
Back
Top Bottom