wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
Kumbe yale majenereta ya iptl yamewashwa huku gharama za kuyaendesha zikiongezeka kwa mafuta ya kuyaendehsa yale ni ghali mno
sasa msijiongopee yamewashwa kwa sababu ya mfungo
yamewashwa ilikuwasahaulisha makali ya giza lililotanda
yamewashwa lakini nyeti zinasema yatazimwa na you will go back to normal (3 days bila umeme ) baada ya bajeti ya wizara ya madini kupitishwa
habari ndio hiyo
sasa msijiongopee yamewashwa kwa sababu ya mfungo
yamewashwa ilikuwasahaulisha makali ya giza lililotanda
yamewashwa lakini nyeti zinasema yatazimwa na you will go back to normal (3 days bila umeme ) baada ya bajeti ya wizara ya madini kupitishwa
habari ndio hiyo