Zitto anasema
"matendo ya mtu mmoja yasiguzwe taasisi"
Asante Mkuu.
Naomba kama unaamini uliyoyasema humu usiishie hapo.Kuna haja ya kulitaka Gazeti la Mtanzania kukanusha habari hizi kwenye Ukurasa ule ule waliotumia kuandika.Uzushi wa namna hii kwenye jamii iliyojaa matatizo, watu wasiofikiri sawa tayari wamehitimisha na kuamini kilichoandikwa ndiyo ukweli wenyewe.Lakini haitoshi hata wale wanaozusha uongo huu kwa sasa wanatumia Gazeti hilo kama ndiyo ukweli wenyewe.
Naomba sana kwa faida ya ukweli na kuitendea Chama chako haki chukua hatua.
Mmeona mafunzo ya JKT yalivyo na manufaa?
Kijana fresh from JKT huyo...
Ila aisee binadamu ni kiumbe wa ajabu sana tena hatabiriki kwasababu yuko at cross roads and is expected to change at any time.
Wewe umelewa nini? Zitto amuogope Ben? Bila shaka Ben yuko anatetemeka baada ya kuona huu uzi.Zitto anaonekana kumuogopa sana ben sanane au anakwepa kukiingiza chama kwenye matatizo.
Naona unahaha bibie. Huku simu, huku tablet, huku laptop kadhaa. Mwisho unajichanganya kwenye ID zako zaidi ya 20. Ila naona mnafaidi pesa la lumumba.Zitto anaonekana kumuogopa sana ben sanane au anakwepa kukiingiza chama kwenye matatizo.
Hiyo ni mada nyingine. Ifungulie thread yake na tutakuja huko kuijadili. Thread hii inahusu kanusho la zitto kuhusu mipango ya kutaka kuuawa kwa sumu.
Kila mara Mh. Zitto anapotoa Press Release, badala ya kujibu tu swala lililoko mezani, anakuja na mjadala mwingine.
Kwangu mimi, nimedonoa hii sentensi ambayo ni fupi lakini ina ujumbe mzito sana.
Ningependa kufahamu huyu MMOJA anayemwongelea katika matendo yake ambayo jamii isiyaone ndiyo matendo ya chama.
soma post mara tatu,kunasehemu zitto kakana kunpewa sumu?
Acha kupindisha mambo wewe..zitto anasema "vitendo vya mtu mmoja visigeuzwe propaganda kwa taasisi nzima"
Huyo Mtikila naye hajakoma alivyopopolewa mawe kule tarime kwa ajili ya upuuzi wake huo huo. Damu chapa chapa.