Siri ya Kuuwawa Zitto - UWONGO


Yeye mwenyewe...
 

Juliana na kundi lako umesikia wosia wa Zitto kabwe? maana nyie kutwa nzima mpo JK kuchafua hali ya hewa hivi mnapata muda hata wa kupitia ilani yenu ya CCM na kuielewa? hivi hiyo mlivyofundishwa kwamba kwenye siasa mchafue mwenzako? tumewachoka.

Yaani ni sawa Unampa taraka mkeo au mumeo lakini kutwa kucha unaongelea ubaya wake, mwenye akili timamu lazima atagundua kuwa wewe u zuzu.

Asante Zitto kutuweka sawa kwa hili, ila umeniacha njia panda kwenye sentensi hii "
Matendo ya mtu mmoja yasifanyiwe propaganda kama ni malengo ya taasisi." nitaomba ufafanuzi wako kama una muda.

Otherwise nakubaliana na wewe kwamba
CDM kipo imara na kitavuka hiki kikwazo cha mwisho kuelekea ukombozi wa kweli wa taifa hili.


 
Kitu inayo wasumbua baadhi ya viongozi wa CDM ni kuona Zitto anakubalika pande zote, CCM na CDM. Na hii ndio inawafanya wale roho zao. Wamechemsha zaidi pale walipo mteua Ben achuane na Zitto.
 
Mkuu,
Samahani, lakini kumfananisha Zitto na Ben ni kumshushia heshima Zitto. Ben maishani mwake anaota kuwa siku moja akutane na Zitto ili ajisikie na yeye yumo! Hawa ni watu wa caliber tofauti kabisa ni sawa na kulinganisha capillary na aorta.
Acheni kuzunguka zunguka. Jibuni thread ya zitto. Nyie ndio kila siku mnaeneza propaganda kuwa Dr. Slaa alitaka kumuua zitto. Sasa mwenyewe amekana na aibu imewakumba. Narabuuk!
 
Lakini tuwe critical kidogo zito ni kichwa sana, angekaa kimya katika hili tungemshangaa kwani akiwa anapinga ushiriki wake katika kikao cha kuhujumu chadema alisema hajawahi kukaa na mtu anaye itwa Ben saanane, bila hizi contradiction angeweza kukaa kimya iwapo ana nia mbaya na chama
 
"Matendo ya mtu mmoja yasifanyiwe propaganda kama ni malengo ya taasisi[/COLOR]."

Asante sana mheshimiwa Zitto kwa kutoa ufafanuzi mzuri kwa hawa wanafiki na wazandiki na wenye propaganda chafu dhidi ya CHADMA. Umesomeka vizuri sana na tumekuelewa. Naomba tu utufafanulie una maana gani hapo kwenye red kamanda wangu. Maana usipofafanua pale maadui wako na CHADEMA watapatia pa kushika na kuendeleza uzandiki na fitina zao.

Mungu akubariki sana.
 
Mkuu,
Samahani, lakini kumfananisha Zitto na Ben ni kumshushia heshima Zitto. Ben maishani mwake anaota kuwa siku moja akutane na Zitto ili ajisikie na yeye yumo! Hawa ni watu wa caliber tofauti kabisa ni sawa na kulinganisha capillary na aorta.

BEN SANANE MCHUMIA TUMBO.LUDOVICK ATAMTAJA KIJANA HUYU KUHUSIKA NA MICHEZO YA UJANGILIWA ROHO ZA WATU.
CC.Molemo,Tumain makene,SABULA
 
Mkuu,
Samahani, lakini kumfananisha Zitto na Ben ni kumshushia heshima Zitto. Ben maishani mwake anaota kuwa siku moja akutane na Zitto ili ajisikie na yeye yumo! Hawa ni watu wa caliber tofauti kabisa ni sawa na kulinganisha capillary na aorta.

Umempeleka mbali sana kumwekea msamiati wa kisayansi, alifeli somo la biolojia na kuchora Zombi huyo! Kama huamini angalia posts zake kwenye profile yake!
 
Nashukuru kuwa magazeti ya propaganda na mafisadi hayataandika tena hadithi za kutunga kuhusu maisha ya mtu aliye hai bali watafanya utafiti wa kutosha.
Hili gazeti la RA limepoteza credibility kwa kiasi kikubwa mno
 
kuna haja sasa rasmi ya kushtaki hicho kijarida
 
Mimi niwaambia Ben sio level ya Zitto pamoja na kwamba anapata support ya 1st lady kivuli, sasa ajitokeze Josephine arudie yale maneno aliyo kuwa akiropoka humu JF
huyo mama mkurupukaji tu wala asikuumize kichwa.yes ZZK umbea wa mtu mmoja(ben) usiwe ndio msimamo wa chama.huo ujumbe kaupata kisawasawa huyo dogo mapepe!
 
Juzi kati hapa baada ya kukamatwa lwakatare, ben saanane alipendekeza zitto naye akamatwe ahojiwe, imekaaje hii
 

Hiyo kauli imekaa ki-JKT zaidi mkuu, isikupe shida kuichambua...
 
Kitu inayo wasumbua baadhi ya viongozi wa CDM ni kuona Zitto anakubalika pande zote, CCM na CDM. Na hii ndio inawafanya wale roho zao. Wamechemsha zaidi pale walipo mteua Ben achuane na Zitto.

Umegusa pale pale.Hilo ndilo chama cha magaidi wanaumia Kuona Zitto aakubalika sehemu zote.
Ben saanane weka mbali na sumu
 
Kitu inayo wasumbua baadhi ya viongozi wa CDM ni kuona Zitto anakubalika pande zote, CCM na CDM. Na hii ndio inawafanya wale roho zao. Wamechemsha zaidi pale walipo mteua Ben achuane na Zitto.
Na nyie mliokuwa mnadai Dr. Slaa alitaka kumuua zitto. Na kwamba Ben Saanane ndio alikamatwa na hiyo sumu pale lunch time hotel, habari hizo mlizipata wapi? Mwenyewe mbona anakana.
 
Last edited by a moderator:
Tanzania ya kweli itajengwa na wazalendo. Zitto Usiishie hapa bali huu ndiyo utaratibu na kupitia

kwako, Dr Slaa, Mbowe na wengineo, watanzania kupitia chadema tutaimarika zaidi na kuwashinda maaduwi wanaolenga

kukichafua chama kupitia hujuma za uchawi, mauwaji, udini, ukanda na ukabila.

na viongozi wake kwa kuwagawa na kutugawa kupitia mbinu mbalimbali.

Tafadhali jitahidi mara kwa mara kuwa mwepesi wa kujibu na kutoa ufafanuzi kwa haraka ili kukabiliana na maadui pia

kutufanya wanachdema nchi nzima kuwa kitu kimoja na hivyo kukijengea chama uhalali na kukubalika miongoni mwa

watanzania na kuwa chama cha kupigiwa mfano.

Kwahili umetufurahisha na tunaamini kupitia uzalendo wako wa kweli wengi wataimarika na kujenga imani na

kukiamini zaidi na zaidi chama.
 
Last edited by a moderator:

Kwa maneno haya ya Mh. Zitto, anataka kutuambia huyu jamaa anayeitwa Ben Saanane ni MUONGO na anafaa KUPUUZWA pale anapokuja na STATEMENT kama hii.

OTHERWISE, who is telling the TRUTH?.
 
acheni kuzunguka zunguka. Jibuni thread ya zitto. Nyie ndio kila siku mnaeneza propaganda kuwa dr. Slaa alitaka kumuua zitto. Sasa mwenyewe amekana na aibu imewakumba. Narabuuk!

soma post mara tatu,kunasehemu zitto kakana kunpewa sumu?
Acha kupindisha mambo wewe..zitto anasema "vitendo vya mtu mmoja visigeuzwe propaganda kwa taasisi nzima"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…