Siri ya Kuuwawa Zitto - UWONGO

wewe unashadadia nini kalale au kakunwe kama umechoka jamvini

Kamanda umepanic,ila nshakusoma wewe nani mbona unapanic hiv.utajitaja muda si mrefu shauri yako.
 

Na hili ndilo tatizo tulilo nalo waafrika: chuki na mtimanyongo na ubinafsi pale unapoona mwenzako amebarikiwa kipawa zaidi yako. Matokeo yake tunapigana sisi kwa sisi na kuendelea kuwa maskini.

Nilitegemea CHADEMA wangefurahi kuwa na kiongozi kama Zitto ambaye mfano wa utendaji wake huwezi kuulinganisha na wengi ndani ya CHADEMA.

Unfortunately, ubinafsi unawatia wengi upofu na kujifanya hawayaoni mazuri aliyoyafanya Zitto ndani ya chama.

Badala yake they capitalize on the human weaknesses ambazo kila binadamu anazo.

Matokeo yake, CHADEMA nayo itavurugika baadae waje kutoa visingizo visivyokuwa na msing ilhali wamejiua wenyewe.

Inakatisha tamaa ukifuatilia mwenendo wa siasa za Tanzania, hujui ni nani wa kumuamini. Its sad!
 
watu kama nyie ni wanafiki wakubwa,pretenders are worse than devils,kwanini hukutoa taarifa police.
 
Zitto hawezi pelekwa mahakamani na wanachadema ,mahakama ya zitto ni wananchi credibility yake zero hana nyimbo huyo anabebwa na CCM kwa sasa ndio alikoegemea
Mkuu, mimi naona kama umeamua kusema tu bila hata vipimo. Credibility gani hiyo ya Mh. Zitto unayodai imeanguka wakati thread yake hii ina mistari 20 ya sentensi lakini mpaka sasa inachunguliwa na watu karibia 1000.

Hata hivyo, kwa madai yako haya, kwa nini CHADEMA kiendelee kukaa na mzigo usiokuwa na manufaa sana sana unazidi kukiumiza kisiasa. Kwa nini wasimfukuze ili tujue moja. Kama kweli yeye ni debe tupu.

I'm sorry, Makelele yako hapa nafikiri hayasaidii wala kubadilisha lolote.
 
Ufafanuzi na maelezo makini kutoka kwa kamanda Zitto. Hawa waandishi wa mtanzania wamekuwa wapuuzi sana kadri siku zinavyokwenda.
Badala ya kujikita kuihoji serikali juuu ya kutekwa na kuteswa kwa mhariri wao Kibanda wao wamekalia kueneza udaku.
Wanachadema tusikubali kugawanywa na hizi propaganda nyepesi za waganga njaa wa habari corporation.
 
Last edited by a moderator:
zitto ni kiongozi na mwana siasa alie komaa...
 

Maajabu 7 ya dunia...
 


Cheers!!.... waache wanaofikiria 'Mchemba-mchemba style' na kung'a kucha na meno ya wenye mioyo safi...waendelee hukohuko, wasizinduke kamwe...come 2015 CDM itakamata 'jukumu'...watasaga meno!
 
Mmmh!haya ndiyo maneno ya muumini au shabiki.na kwa maneno haya unajenga chama au unakibomoa chama?
 
Wakuu mkitaka kumhukumu zito soma Paragrafu yote hii,nachukulia mawazo yake chanya! Usichulie tungo ya Mwisho tu hutatenda haki . Nadhani kaeleza vyema! Kuna watu wanachukua mstari wa mwisho tu!
 
Wewe ndio Ben nini umekuja na ID hiyo uliyoambiwa uje nayo? Bado you need to prove your allegations kwa sababu mwingine anaweza kuja na kusema mwongo ni Ben!

Bottomline: Viongozi wa CHADEMA ni waongo?
hahaha..naona mkuu umeshitukia deal..hawa jamaa ben na zito wanapersonal bifu,au huyu ben ni proxy.yaani there is someone behind this guy and he is pulling strings.
 

Mkuu Bocho nadhani wewe ndo unachanganya mambo, siyo kwamba Zitto leo anapewa sifa za kinafiki, la hasha, leo kafanya vyema kwa kutoa maelezo yaliyo ondoa mkanganyiko ulio kuwepo na ndo maana kapewa stahiki yake ya pongezi.

Lakini pia pale anapokosea ni stahiki yake pia kukosolewa na kulaumiwa ili kusudi arejee kwenye msitari. Kwa hili tunampongeza lakini pia anapobugi hatutasita kumkosoa
 
Mmmh!haya ndiyo maneno ya muumini au shabiki.na kwa maneno haya unajenga chama au unakibomoa chama?

Nikibome chama kwani nyundo na sururu umenipa saa ngapi?!

Yet Ingnored...............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…