Deva
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 1,238
- 1,819
Kwa mantiki yako mkuu unamaanisha kuwa ili usichapiwe umeainisha mambo mawili.Wapi nimesema umridhishe mwanamke?
Mkuu mbona mada ipo wazi lakini unapuyanga tuu.
Nimesema ili usichapiwe kitu cha kwanza, shika amri na maagizo ya Mungu. Cha pili, Oa Bikra.
Sasa sijui hayo maneno umeyatoa wapi.
Msimamo wangu ni kwamba HAYATOSHI KUKUFANYA USICHAPIWE.