Siri ya Kuchapiwa hii hapa

Siri ya Kuchapiwa hii hapa

mtoa mada ni vyema ukaelewa kuwa dini ni imani hiyo sababu yako ya kushika amri za mungu ni kwa imani yako ww ndio itafanya mwanamke asitoke nje ya ndio sio sahihi kuna wake wa wachungaji wengi na watu wengi wana shika amri za mungu na bado wake zao wanatoka nje ya ndoa.
na kuhusu kuoa mwanamke bikra-nayo haina mashiko na ingekuwa na mashiko basi karibu ndoa zote duniani z ingekuwa zimisha vunjika maana katika watu 1000 wanaoa kwa mwaka basi anayeoa bikra labda ni moja au hakuna kabisa.
Mkuu ndoa kuvunjika sio mpaka watu watengane ...yan hata ile tuu mko kwenye ndoa then mmoja wenu akaanza kuchepuka.bhas hiyo ndoa ishavunjika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ndoa kuvunjika sio mpaka watu watengane ...yan hata ile tuu mko kwenye ndoa then mmoja wenu akaanza kuchepuka.bhas hiyo ndoa ishavunjika

Sent using Jamii Forums mobile app


Mkuu wewe Muulize kuwa mchungaji ndio kumcha Mungu au kushika sheria za Mungu? Jamaa hajui kuwa uchungaji mbali na kuwa karama lakini pia ni Taaluma yenye madaraja tofauti tofauti
 
Hilo LA kwanza ndilo lenye ukweli zaidi na umuhimu ktk maisha yetu ya Leo.Ukiwa mwana wa Mungu kwelikweli basi Mungu wakweli atakuwa kielelezo ktk maisha yako yooote na sio mke pekee Bali yooote.Turudini ktk maadili na sheria za Mungu wakweli.Nasisitiza Mungu wa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app


Kweli Mkuu
 
Wachungaji tu wanachapiwa mkuu.....kushika amri wakati mkeo hajazishika haimfanyi asichepuke

Sent using Jamii Forums mobile app


Mkuu nina wasiwasi na elimu yako. Hujui uchungaji mbali na kuwa ni karama lakini pia ni Taaluma ya kusomea kabisa. Wenye Karama na wito wa uchungaji ni wachache sana ambao hao ndio wanamcha Mungu
 
Suala la bikra halina nafasi sana kwa Dunia ya leo kwa sababu mabinti wa siku hizi wengine wanabikiriwa na miaka 4,5,6. Labda hilo la kwanza!
 
Pamoja na kwamba mizania ya uwajibikaji kifamilia inamuelemea mwanaume sio kigezo cha kufanya niwe na uchungu sana kwa mwanamke niliyeoa akiliwa outside..Hata mm nakula nje nao wala ndo wake za watu au wake watarajiwa etc so wangu akiliwa na infact analiwa I don't care ila tu nisijue ili tusivuruge watoto na huwa namwambia ajifiche nisijue na akumbuke kutumia kinga akiona hawezi kujiheshimu na kuniheshimu full stop.
Mlio oa mabikra kuweni makini na za kuambiwa maana mnaweza jinyonga yakiwakuta
 
mleta mada naona we bado hujaiva vizuri au unakosa taarifa za kina, kwa hoja nyepesi kama hizo lazma utakuja kujitoa uhai utakapobaini mwenye kila hizo sifa na bado anafanya mambo nnje ya upeo wako wa macho.

kwa ufupi mwanamke anaweza kutengeneza uhalisia wote ulioutaja kukufurahisha wewe unaetaka awe vile.

kubali ukatae ni mwanamke pekee anaweza penda mabwana wawili kwa kiwango kile kile, sie wanaume hatuwezi huo mchezo tunakamatwa mda mfupi tu.
 
Suala la bikra halina nafasi sana kwa Dunia ya leo kwa sababu mabinti wa siku hizi wengine wanabikiriwa na miaka 4,5,6. Labda hilo la kwanza!

Tafsiri yake ni kuwa suala la uaminifu kwenye ndoa halina nafasi kwa dunia ya leo
 
Pamoja na kwamba mizania ya uwajibikaji kifamilia inamuelemea mwanaume sio kigezo cha kufanya niwe na uchungu sana kwa mwanamke niliyeoa akiliwa outside..Hata mm nakula nje nao wala ndo wake za watu au wake watarajiwa etc so wangu akiliwa na infact analiwa I don't care ila tu nisijue ili tusivuruge watoto na huwa namwambia ajifiche nisijue na akumbuke kutumia kinga akiona hawezi kujiheshimu na kuniheshimu full stop.
Mlio oa mabikra kuweni makini na za kuambiwa maana mnaweza jinyonga yakiwakuta


Mkuu unajua kujipa moyo, kosa moja halimfukuzi Mke mkuu. kama ulioa bikra lakini badae ukamfumania unaweza kumsamehe kwa kigezo kwamba ameteleza coz bikra uliikuta. haya kama hakuwa bikra tafsiri ya yeye kuteleza haina mashiko tena
 
mleta mada naona we bado hujaiva vizuri au unakosa taarifa za kina, kwa hoja nyepesi kama hizo lazma utakuja kujitoa uhai utakapobaini mwenye kila hizo sifa na bado anafanya mambo nnje ya upeo wako wa macho.

kwa ufupi mwanamke anaweza kutengeneza uhalisia wote ulioutaja kukufurahisha wewe unaetaka awe vile.

kubali ukatae ni mwanamke pekee anaweza penda mabwana wawili kwa kiwango kile kile, sie wanaume hatuwezi huo mchezo tunakamatwa mda mfupi tu.


Hakuna Mwanamke wa hivyo Mkuu. "Mtu hawezi kuwapenda mabwana wawili" wenye hekima wanajua hilo. lakini kama akili yako haifikirii mbali na huna uzoefu na hao viumbe utapingana na hili.

Tukija kwenye suala la ikitokea mke aliyeolewa bikra akachepuka. Hapa jibu ni kuwa huenda kateleza kwani haikuwa tabia yake. kitu gani kinathibitisha haikuwa tabia yake. Hakuma zaidi ya Bikra uliyoikuta kwake. Hivyo unaouwezo wa kumsamehe ukipenda lau kama hutaki unaweza mpa talaka. Ikumbukwe kwamba Kosa moja halifukuzi Mke. Lakini Jianamke umelioa bila bikra alafu umelifumania linakuambia nimeteleza na wewe ukakubali. Yeye mwenyewe atakuona wewe ni chizi na hata akikaa na mashoga zake watakuona Lofa. Hakuna mtu aliyesifiwa kwa kumsamehe Malaya ndani ya nyumba. Hata Mungu mwenyewe atakuona ni wewe ni boya. Lakini kwa aliyeolewa bikra unaweza ukamtetea huenda kweli aliteleza. hata kwa Mungu inaweza ikaonekana ni kweli aliteleza. Kurudia kosa ni uhalifu mkuu
 
Usijisumbue utakufa bure.mwanamke hajui n kipi anataka.anytime anywhere unachapiwa hata kama umemnnunulia dege la kivita.


Sent using Jamii Forums mobile app
aliwe asiliwe, achepuke asichepuke kimpango wake, BP na kufa mapema sitaki mie, na huwezi kumchunga mwanamke ukimfuatilia utapata taabu saaaaana
 
aliwe asiliwe, achepuke asichepuke kimpango wake, BP na kufa mapema sitaki mie, na huwezi kumchunga mwanamke ukimfuatilia utapata taabu saaaaana


Hii ni kauli ya wanaume wavivu wa mambo madogo. Watu wanafuatilia mienendo ya taifa nzima. Huko marekani wanahangaika kutafuta teknolojia ya kuchunguza miendendo na mawazo ya watu. Wamegundua Chip, wewe unashindwa kumfuatilia mtu mmoja tuu. Tena mke wako. Alafu ukiletewa UKIMWI unaanza kulia lia kwa Mungu. Ukiletewa watoto wa nje unalia lia na kuona wanawake wabaya. Ukijakujua mwanamke kajenga kwao, unanuna. Ukija kugundua mke wako anahonga Ex wake unalia. Wanaume wajinga ni mzigo. sana kwa taifa na ulimwengu kwa ujumla. Hata hujui maana ya " muishi nao kwa akili" kauli yako imewakilisha wanaume wengi wajinga na wanaokimbia majukumu yao. Sasa pima nani anayepata tabu kati ya mtu anayemfuatilia Mke/mume wake na asiyemfuatilia.
 
Hii ni kauli ya wanaume wavivu wa mambo madogo. Watu wanafuatilia mienendo ya taifa nzima. Huko marekani wanahangaika kutafuta teknolojia ya kuchunguza miendendo na mawazo ya watu. Wamegundua Chip, wewe unashindwa kumfuatilia mtu mmoja tuu. Tena mke wako. Alafu ukiletewa UKIMWI unaanza kulia lia kwa Mungu. Ukiletewa watoto wa nje unalia lia na kuona wanawake wabaya. Ukijakujua mwanamke kajenga kwao, unanuna. Ukija kugundua mke wako anahonga Ex wake unalia. Wanaume wajinga ni mzigo. sana kwa taifa na ulimwengu kwa ujumla. Hata hujui maana ya " muishi nao kwa akili" kauli yako imewakilisha wanaume wengi wajinga na wanaokimbia majukumu yao. Sasa pima nani anayepata tabu kati ya mtu anayemfuatilia Mke/mume wake na asiyemfuatilia.
we unafikili wagunduzi wa Chip wanafuatilia wanawake, ndiyo maana hatuendelee kwa wivu wa kitoto, mwamini mtu/mkeo sasa wewe akitoka kidogo tu unawaza anaenda kuchepuka
 
we unafikili wagunduzi wa Chip wanafuatilia wanawake, ndiyo maana hatuendelee kwa wivu wa kitoto, mwamini mtu/mkeo sasa wewe akitoka kidogo tu unawaza anaenda kuchepuka


Mkuu bado unadhirisha ujinga wako tuu. Hakuna sheria au andiko lolote linalomtaka mtu amuamini mtu mwingine. Sheria ni kumpenda Mke wako. Anayeaminiwa ni Mungu pekee. Kabla ya kupost maoni yako nakushauri uwe na elimu ya kile unachotaka kukisema.

Yaani nimesoma komenti yako nikabaki kukushangaa. Kuna mambo ya kifamilia, kijamii, kitaifa na kiulimwengu. Suala la ndoa ni suala la kifamilia na kijamii. Ishu ya watu wanaofuatiliwa ni jinsia zote bila kujali ni mwanamke au mwanaume.

kuchunguza kitu kuna manufaa kuliko kutokukichunguza. Acha uzembe wa kufikiri Braza.
 
Back
Top Bottom