Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,336
- 10,895
- Thread starter
- #121
Ukiwa unajiweza kimaisha na kila kitu anachohitaji mkeo unacho na unakubali kumpatia, kuchapiwa NI nadra sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuchapiwa ni Ishu ya uasi dhidi ya sheria za Mungu Mkuu. haijalishi unapesa au hauna. Na bahati mbaya ni kuwa huwezi kuwa na pesa kuliko watu wote duniani. Hivyo kama kigezo ni mahitaji basi wapo wenye uwezo wa kumhudumia mkeo zaidi yako. Wewe Ukimnunulia Harrier Modern wenzako watamlaghai kwa BMW. Ishu hapa ni maadili ya kidini Mkuu