Hakuna lolote, kuna jamaa wamewaoa mabikira na bado wanararuliwa sana kitaa
Huku KIBAIGWA asije. Hakuna hiyo bidhaa. Labda Buguruni.Bikra labda uende kibaigwa kijijini ndani ndani huko ndo utapata bikra..
Ila ni kweli kuwa na mahusiano na demu ambaye umemtoa bikra wewe mwenyewe ina make sense,demu anakuwa anakufeel kinoma kama utamjali
Sent using Jamii Forums mobile app
Kibaigwa anakosa mkuu??..not so sure..buguruni si atakutana na maajabu ya dunia..breki nani!!
mtoa mada ni vyema ukaelewa kuwa dini ni imani hiyo sababu yako ya kushika amri za mungu ni kwa imani yako ww ndio itafanya mwanamke asitoke nje ya ndio sio sahihi kuna wake wa wachungaji wengi na watu wengi wana shika amri za mungu na bado wake zao wanatoka nje ya ndoa.
na kuhusu kuoa mwanamke bikra-nayo haina mashiko na ingekuwa na mashiko basi karibu ndoa zote duniani z ingekuwa zimisha vunjika maana katika watu 1000 wanaoa kwa mwaka basi anayeoa bikra labda ni moja au hakuna kabisa.
Usijisumbue utakufa bure.mwanamke hajui n kipi anataka.anytime anywhere unachapiwa hata kama umemnnunulia dege la kivita.
Sent using Jamii Forums mobile app
TuombeJamani bikra ndio tunda gani hilo?
Na tunda hilo linapatikana wapi?
Ni matumizi mabaya ya fikra kudhani kuwa waweza mridhisha mwanamke maisha yake yote, hata kama ni bikira, mwanamke huwa hajui ni nini anahitaji, hata vitabu vitukufu vimesema tuishi nao kwa akili.Elimu ndivyo inavyowasaidia vijana wetu kwa namna hii
Ni matumizi mabaya ya fikra kudhani kuwa waweza mridhisha mwanamke maisha yake yote, hata kama ni bikira, mwanamke huwa hajui ni nini anahitaji, hata vitabu vitukufu vimesema tuishi nao kwa akili.
NB: Hata walio katika uchangudoa kwa sasa wengi wao walikuwa na bikra, na wengine walitoka kwenye familia zenye heshima sana.
Mwanamke haeleweki, ukijaribu kumridhisha unapoteza muelekeo.