stanlthecreator
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 1,947
- 648
Chadema bila zito watasubiri sana.
hoja yako ni nini hasa hapa?mbona hueleweki?au ACT-TANZANIA imewashinda kunadi sasa mnaomba huruma tena kwa CHADEMA?eleweka mkuu mtoa mada
Hoja nyepesi sana hii dogo jipange tena.
Mbona kila mwenye kujua katiba anafahamu kuwa Zitto mwakani Umri hautamruhusu kugombea Urais?
Huyo Informer wako asijekuwa ni Lusinde, mbunge wa Wagogo.
Ndoto za KimweriChama Cha Democrasia na Maendelea CHADEMA kilingia mkenge baada ya kutaka kumtimua Zitto bila kufanya utafiti wa kutosha kama kweli jamaa ana hatia. Zitto ni kijana mwenye kipaji cha pekee hilo baadhi yenu mnalijua ila CCM kwa kumuogopa Zitto kama kiongozi mahili na mwenye uzalendo wa kweli kwa Taifa hata kama ana mapungufu ya kibinadamu kama mimi na wewe wakatumia nafasi ya kumchonganisha na chama chake kwa kusudi la kuogopa kuwa kijana huyu kuna mambo mingi anajua, hoja zake kuwa na mashiko kwa makundi yote wakatengeneza walaka wa siri licha ya ule wa Kitila, CCM ilifitinisha Zitto kwa hofu ya kijana huyu kuwa kiongozi kwa chama kwa maana wanaamini kuwa Zitto ndiye angekuwa mwiba kwao na hivyo kushindwa kwenye chaguzi, hivyo basi CHADEMA ikaingia mkenge na kumchafua na kushindwa kugundua njama za CCM kauli ya Tyaison inatabili kutokuwepo kwa kijana huyu kuwa wanaweza kukishinda chama. HABARI hizi nimezipata kwa kiongozi mmoja kutoka CCM baada kutaka kujua kauli kuwa ZITTO ndiye Rais 2015 kupitia ACT - TZ
Hoja nyepesi sana hii dogo jipange tena.
Kuna watu tujieshimu kidogo kama vijana tafadhali nakuomba unapochangia usinitukane wala kuniita majina tofati na hayo ninayo yatumia, hizi ni taarifa zaweza kuwa kweli au la! sasa changia kwa hekima na kama huna tafadhali heshimu uhuru wangu wa kujieleza usinilishe maneno siasa za matusi acha sipendi kumradhi kwa usumbufu
Maelezo yako ni mazuri i$ipokuwa nakukatalia kuwa LIVING$TONE LU$INDE $io mbunge wa wagogo>huyu lu$inde ubunge wake nina imani kuwa alichakachua maana hata mm mgogo na$hangaa akili za yule boga$i kwanza anatuzalili$ha wagogo hana akili kabi$a>hata elimu yake ukifuatilia ni ile ya kununua cheti:
Hoja nyepesi sana hii dogo jipange tena.
Chama Cha Democrasia na Maendelea CHADEMA kilingia mkenge baada ya kutaka kumtimua Zitto bila kufanya utafiti wa kutosha kama kweli jamaa ana hatia. Zitto ni kijana mwenye kipaji cha pekee hilo baadhi yenu mnalijua ila CCM kwa kumuogopa Zitto kama kiongozi mahili na mwenye uzalendo wa kweli kwa Taifa hata kama ana mapungufu ya kibinadamu kama mimi na wewe wakatumia nafasi ya kumchonganisha na chama chake kwa kusudi la kuogopa kuwa kijana huyu kuna mambo mingi anajua, hoja zake kuwa na mashiko kwa makundi yote wakatengeneza walaka wa siri licha ya ule wa Kitila, CCM ilifitinisha Zitto kwa hofu ya kijana huyu kuwa kiongozi kwa chama kwa maana wanaamini kuwa Zitto ndiye angekuwa mwiba kwao na hivyo kushindwa kwenye chaguzi, hivyo basi CHADEMA ikaingia mkenge na kumchafua na kushindwa kugundua njama za CCM kauli ya Tyaison inatabili kutokuwepo kwa kijana huyu kuwa wanaweza kukishinda chama. HABARI hizi nimezipata kwa kiongozi mmoja kutoka CCM baada kutaka kujua kauli kuwa ZITTO ndiye Rais 2015 kupitia ACT - TZ
ACT, ni chama cha wahutu!... Agombee tuu! atapata kura kigoma.. Abebe WAHUTU wamchague!..Chama Cha Democrasia na Maendelea CHADEMA kilingia mkenge baada ya kutaka kumtimua Zitto bila kufanya utafiti wa kutosha kama kweli jamaa ana hatia. Zitto ni kijana mwenye kipaji cha pekee hilo baadhi yenu mnalijua ila CCM kwa kumuogopa Zitto kama kiongozi mahili na mwenye uzalendo wa kweli kwa Taifa hata kama ana mapungufu ya kibinadamu kama mimi na wewe wakatumia nafasi ya kumchonganisha na chama chake kwa kusudi la kuogopa kuwa kijana huyu kuna mambo mingi anajua, hoja zake kuwa na mashiko kwa makundi yote wakatengeneza walaka wa siri licha ya ule wa Kitila, CCM ilifitinisha Zitto kwa hofu ya kijana huyu kuwa kiongozi kwa chama kwa maana wanaamini kuwa Zitto ndiye angekuwa mwiba kwao na hivyo kushindwa kwenye chaguzi, hivyo basi CHADEMA ikaingia mkenge na kumchafua na kushindwa kugundua njama za CCM kauli ya Tyaison inatabili kutokuwepo kwa kijana huyu kuwa wanaweza kukishinda chama. HABARI hizi nimezipata kwa kiongozi mmoja kutoka CCM baada kutaka kujua kauli kuwa ZITTO ndiye Rais 2015 kupitia ACT - TZ
Zitto angekuwa mzalendo kwa taifa hili angeweza kufanya yafuatayo?Chama Cha Democrasia na Maendelea CHADEMA kilingia mkenge baada ya kutaka kumtimua Zitto bila kufanya utafiti wa kutosha kama kweli jamaa ana hatia. Zitto ni kijana mwenye kipaji cha pekee hilo baadhi yenu mnalijua ila CCM kwa kumuogopa Zitto kama kiongozi mahili na mwenye uzalendo wa kweli kwa Taifa hata kama ana mapungufu ya kibinadamu kama mimi na wewe wakatumia nafasi ya kumchonganisha na chama chake kwa kusudi la kuogopa kuwa kijana huyu kuna mambo mingi anajua, hoja zake kuwa na mashiko kwa makundi yote wakatengeneza walaka wa siri licha ya ule wa Kitila, CCM ilifitinisha Zitto kwa hofu ya kijana huyu kuwa kiongozi kwa chama kwa maana wanaamini kuwa Zitto ndiye angekuwa mwiba kwao na hivyo kushindwa kwenye chaguzi, hivyo basi CHADEMA ikaingia mkenge na kumchafua na kushindwa kugundua njama za CCM kauli ya Tyaison inatabili kutokuwepo kwa kijana huyu kuwa wanaweza kukishinda chama. HABARI hizi nimezipata kwa kiongozi mmoja kutoka CCM baada kutaka kujua kauli kuwa ZITTO ndiye Rais 2015 kupitia ACT - TZ
Mwambie akaongoze chama cha wahutu!Chadema bila zito watasubiri sana.
Kuna watu tujieshimu kidogo kama vijana tafadhali nakuomba unapochangia usinitukane wala kuniita majina tofati na hayo ninayo yatumia, hizi ni taarifa zaweza kuwa kweli au la! sasa changia kwa hekima na kama huna tafadhali heshimu uhuru wangu wa kujieleza usinilishe maneno siasa za matusi acha sipendi kumradhi kwa usumbufu
wewe jinga jinga kweli, ... unaleta pumba unataka watu wakuchekee?Kuna watu tujieshimu kidogo kama vijana tafadhali nakuomba unapochangia usinitukane wala kuniita majina tofati na hayo ninayo yatumia, hizi ni taarifa zaweza kuwa kweli au la! sasa changia kwa hekima na kama huna tafadhali heshimu uhuru wangu wa kujieleza usinilishe maneno siasa za matusi acha sipendi kumradhi kwa usumbufu