Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,054
- 3,263
- Thread starter
- #141
Cant you see im fuc.kn working and they take my money and call it Tax while nikiendeshwa na daladala/kuendesha privately barabarani i pay, nikienda hospital my insuarance or cash do the paying, if i fuc.k you in a guest they take a portion and call it service charge and tax, buying ped for you kukusitiri when you go red i pay tax, even when we go to toilet the landlord take the portion and pay as tax! where in hell do you say Serikali inanipa a free service? do you know the definition of a free good, do you know them? ni chuo kipi umesoma mpaka you beleive that serikali is giving us free services!
cc; mandella Advocate J
ni nchi inaendesha mambo yake bila kukusanya kodi , mwananchi lazima utoe kodi kwa namna yeyote ile , it is either direct or indirect ...
yaani ww unatetea kua burden kwa serikali ... ! kodi ni lazima , labda ungetetea kuwepo kwa unafuu wa kodi , lakini si hayo uyaongeayo ... nchi inaendeshwa kwa makusanyo ta kodi , tatizo lipo kwenye namna ya ukusanyaji pamoja na namna ya matumizi ya kodi hiyo ... lakini sio uniambie kila kitu free ... basi watu wangelala nyumbani unayoiita serikali uwahudumie ..