Siri nzito ya 'muccob's" hii hapa.

Siri nzito ya 'muccob's" hii hapa.

Hawajui kuwa vyuo vyao ndo vilisababisha kuanzishwa kwa TCU ili iweze hata kuwapangai watu walio na div 2 kiasi maana bila hivyo kuna vyo vingefungwa kwa kukosa wanafunzi. Hafu utakuta wanamaliza na 1st class karibia darasa zima wakati kuna vyuo vinafundishwa na watu ambao hata degree 1 hawana.

Bora wewe umesema maana wengine tukisema hivyo tunaonekana tuna gubu tena nimegundua vitoto vinavyobisha humu ni vifirst year walosoma hapo nakumaliza wanajijua walikuwa wanaingia na division ngapi.
 
Hawajui kuwa vyuo vyao ndo vilisababisha kuanzishwa kwa TCU ili iweze hata kuwapangai watu walio na div 2 kiasi maana bila hivyo kuna vyo vingefungwa kwa kukosa wanafunzi. Hafu utakuta wanamaliza na 1st class karibia darasa zima wakati kuna vyuo vinafundishwa na watu ambao hata degree 1 hawana.

Hahahaha huo ndio ukweli hata wakibisha.. true vyuo vingine bila TCU na hizi division 5 vingekuwa vituo vya resiters maana wangekosa kabisa wanafunzi.
 
Queen msamehe kijana naona sasa wametambua wapo Chuo cha aina gani wanachokipigia PROMO
Wasije wakakimbia maana kimetambuliwa mwaka jana tu na TCU lakin kwa fani bado ni College isiyo na fani maalum ndio maana wako chini ya SUA
Tumeshawaomba wasome ili waweze kumaliza hapo na kujiunga na University sio mahali ambapo hakuna uhakika wa ajira Serikalini Vyama vya Ushirika vimekufa vyote sasa ni SACCOS zinafuata
Na kazi za Benki Wizara, na Halmashauri ni km ulivyosema UDSM, UDOM, Mzumbe sio chuo cha Muccobs
"Register of Universities" (PDF). Tanzania Commission for Universities. Retrieved 15 July 2013.

Teh teh tatizo hawajitambui wako bado shule wakikua wataacha..
 
Na kwajinsi walivyokuwa wachache nilishangaa mwaka juzi nilipowatembelea nikakuta wanasoma kwa mikondo like A na B hao walikuwa wa BAAF na nilivyo wahoji hao niliowatembelea wakaniambia ndo utaratibu wao tangu first year kama secondary hivi yani ukiwa group hilo moja hadi unamaliza chuo class utakuwa unapiga vipindi na hilo darasa lako sio lingine.
 
Endelea kujifariji kwani kilivyokuwa rank juu kilikuwa kinajitegemea. Kakojoe ulale uwahi vipindi vyenu vya saa 7:30 asubuhi

wewe vipi hahahah uo ndo ukweli kama chuo ni cha 3 na hata constituent colleges zake ni za tatu wewe vipiii
 
Hawajui kuwa vyuo vyao ndo vilisababisha kuanzishwa kwa TCU ili iweze hata kuwapangai watu walio na div 2 kiasi maana bila hivyo kuna vyo vingefungwa kwa kukosa wanafunzi. Hafu utakuta wanamaliza na 1st class karibia darasa zima wakati kuna vyuo vinafundishwa na watu ambao hata degree 1 hawana.

wewe wanafunzi ni wengi sana tanzania na kila mwanafunzi anachaguo lake mfano. coperative mgt ,microfinance,marketing and enterpreneurship, unadhani tanzania hakuna wanafunzi wenye division1 wanaopenda kusoma mambo ya co-operative mgt,microfinance,marketing,? , halafu hakuna chuo tanzania watu wote/darasa zima wanamaliza na first class uo ni uongo na nitapingana nao kwa nguvu zote
 
Kwa vile alijiuza akanogewa na huduma.. inaelekea bimkubwa alimind sana maana alikosa wateja wengine baada ya hapo but how sure huyo ni babako... unauthibisho? teh teh ukikua utaacha..
ndo maana sijataja jina! kumbe we unamjua!
 
i
Queen msamehe kijana naona sasa wametambua wapo Chuo cha aina gani wanachokipigia PROMO
Wasije wakakimbia maana kimetambuliwa mwaka jana tu na TCU lakin kwa fani bado ni College isiyo na fani maalum ndio maana wako chini ya SUA
Tumeshawaomba wasome ili waweze kumaliza hapo na kujiunga na University sio mahali ambapo hakuna uhakika wa ajira Serikalini Vyama vya Ushirika vimekufa vyote sasa ni SACCOS zinafuata
Na kazi za Benki Wizara, na Halmashauri ni km ulivyosema UDSM, UDOM, Mzumbe sio chuo cha Muccobs
"Register of Universities" (PDF). Tanzania Commission for Universities. Retrieved 15 July 2013.

sijaona Mantinki yeyote mliyoingelea , vyote mvuongeavyo ni vitu vipo wazi tu , hakuna asiyejua Ushirika ni Constitute , na hiyo hainaina effect yeyote kwenye performance ya chuo... haijalishi ni nn lakini unapokuja kwenye swala la performance hapo ndipo utapoelewa tofauti... ! huku kusema jinaa mara ni colledge ooh hizo ni mbwembwe...


halafu ww unayesema SACCOS zinakufa kweli akili yako haiko sawa.... Labda unaishi nchi jirani ya Tanzania sina uhakika na uraia wako kama kweli upo TZ hii niliyipo mm , usingesema SACCOS Zinakufa .
 
Halafu nimegundua kitu ...
Ww unaejiita qn of sheba ,ndie unadai ulisoma pale,na wasiwasi sana ulidisco... Na ndio maana umekua mstari wabmbele mno kwenye hoja ..
Halafu ni ww tu na huyo unayemuita wajina...
Tena nyie mnaonekana ni wabishi in nature ... Hata jambo liko wazi mnabisha tu ili kuonekana mpo agaist .. !
Ila ukweli utabaki palepale ... !

Jiulize mbona ishu ya vyuo ikotokea ni ''muccobs" tu inazungumziwa kwann basi huku kutafuta tofauti pasilinganishwe na vyuo vingine ..... Why '' muccobs'' kunaniiii ..
 
halafu nimegundua kitu ...
Ww unaejiita qn of sheba ,ndie unadai ulisoma pale,na wasiwasi sana ulidisco... Na ndio maana umekua mstari wabmbele mno kwenye hoja ..
Halafu ni ww tu na huyo unayemuita wajina...
Tena nyie mnaonekana ni wabishi in nature ... Hata jambo liko wazi mnabisha tu ili kuonekana mpo agaist .. !
Ila ukweli utabaki palepale ... !

Jiulize mbona ishu ya vyuo ikotokea ni ''muccobs" tu inazungumziwa kwann basi huku kutafuta tofauti pasilinganishwe na vyuo vingine ..... Why '' muccobs'' kunaniiii ..

mkuu mpm invisible qn of sheba na malkia wa sheba ni mtu mmoja fanya fasta mkuu
 
mkuu mpm invisible qn of sheba na malkia wa sheba ni mtu mmoja fanya fasta mkuu

ivi ni mtu mmoja ... ? anafanya hivyo ili nini sasa... kua na ID mbili au zaidi , inaonyesha ni jinsi gani unawasiwasi wa kupigwa ban kwa namna ya uchangiaji wako , ila kwa unayejiamini hakuna haja ya ID mbili ..
 
Halafu nimegundua kitu ...
Ww unaejiita qn of sheba ,ndie unadai ulisoma pale,na wasiwasi sana ulidisco... Na ndio maana umekua mstari wabmbele mno kwenye hoja ..
Halafu ni ww tu na huyo unayemuita wajina...
Tena nyie mnaonekana ni wabishi in nature ... Hata jambo liko wazi mnabisha tu ili kuonekana mpo agaist .. !
Ila ukweli utabaki palepale ... !

Jiulize mbona ishu ya vyuo ikotokea ni ''muccobs" tu inazungumziwa kwann basi huku kutafuta tofauti pasilinganishwe na vyuo vingine ..... Why '' muccobs'' kunaniiii ..

Teh teh punguza hasira dogo kwani hayo tuliyo yasema ya uongo hata wanachuo wenzenu wamekubali.. teh teh we di ulidai hujasoma hapo umefanya research tu haha njia ya muongo ni fupi..

Alafu usicomment kwa jazba ndugu wapi nilipo andika ni mesoma hapo chuo cha vilaza.. kwanza hata sijui div III, IV na 0 zinakuwaje katika maisha yangu.. mi sio kilaza mwenzio dogo piga msuli iliukomboe wanao na ujifunze kusoma kwabidii usije ukapata GPA ya kukukosesha kusoma Masters..
 
ivi ni mtu mmoja ... ? anafanya hivyo ili nini sasa... kua na ID mbili au zaidi , inaonyesha ni jinsi gani unawasiwasi wa kupigwa ban kwa namna ya uchangiaji wako , ila kwa unayejiamini hakuna haja ya ID mbili ..

Ushaji feel inferior ndo shida yako haya sasa hata huyo Ukwaju utasema ni mimi acha uoga wewe hii moja tu inanishinda hizo ID mbili za nini.
 
Last edited by a moderator:
Teh teh punguza hasira dogo kwani hayo tuliyo yasema ya uongo hata wanachuo wenzenu wamekubali.. teh teh we di ulidai hujasoma hapo umefanya research tu haha njia ya muongo ni fupi..

Alafu usicomment kwa jazba ndugu wapi nilipo andika ni mesoma hapo chuo cha vilaza.. kwanza hata sijui div III, IV na 0 zinakuwaje katika maisha yangu.. mi sio kilaza mwenzio dogo piga msuli iliukomboe wanao na ujifunze kusoma kwabidii usije ukapata GPA ya kukukosesha kusoma Masters..

kwani wapi nimesema nimesoma hapo ..
halafu mbona Unaniita Dogo...
unaufahamu umri wangu ww mpaka unadiriki kuniita dogo..

NAKUOMBA UFUTE KAULI PLEASEE.
 
Halafu nimegundua kitu ...
Ww unaejiita qn of sheba ,ndie unadai ulisoma pale,na wasiwasi sana ulidisco... Na ndio maana umekua mstari wabmbele mno kwenye hoja ..
Halafu ni ww tu na huyo unayemuita wajina...
Tena nyie mnaonekana ni wabishi in nature ... Hata jambo liko wazi mnabisha tu ili kuonekana mpo agaist .. !
Ila ukweli utabaki palepale ... !

Jiulize mbona ishu ya vyuo ikotokea ni ''muccobs" tu inazungumziwa kwann basi huku kutafuta tofauti pasilinganishwe na vyuo vingine ..... Why '' muccobs'' kunaniiii ..

Vumilia tu ndugu sio Muccobs tu Hata Teku, Saut,Ifm na Udom navyo vinapondwa sana humu.. ila pole kwa vile leo ni Muccobs hao wengine waache ila huo mlioambiwa ni ukweli hata wenzenu wamekubali... kama wewe umeingia hapo na II vumilia tu coz wenzako wengi wana 3 hapo.
 
Hata mkibisha ukweli utaendelea kubaki pale pale wadau tatizo sio jina ila nijinsi gani kinavyo heshimika na isistoshe kiko chini ya sua so cheti juu kinaandikwa sua university na transcript ndo inakuwa na jina la muccobs kwahyo under sua university mambo yanakuwa mkiki mkiki ndo maana nkasema kiki simama chenyewe kama chuo kikuu imani ya kizuri kama kilivyo sasa kwangu haipo.Sasa wewe unaonyesha rank ya vyuo mtoa baada hakuuliza ranks za vyuo vikuu.:tape::tape:.Na hata hivyo hizo ranks mlizo post hapo sizo katika ranks sua university ndo cha pili wewe .Fuata hiyo address wewe Top Universities in Tanzania | 2014 Reviews & Rankings :A S-frusty2::A S-frusty2::A S-frusty2:.so waka mimi under sua university muccobize ipo pouwa.
 
Nashukuru umenielewesha unajua UKWAJU unajua nlikuwa natafuta gia ya kuingilia ili nijue kile chuo kikoje na wala hata sina nna ka diploma ka IT toka pale muccobs na nlitaka kuendelea na degree yake ICT palepale ila nkaona nsikurupuke ngoja nichek kwanza chuo cha kusoma ila kilakitu naona shda kutokana na vyuo vya kusoma na taka nsome maswala ya IT au computer engneering na matokeo yangu ya diploma yako pouwa sna tu.Npe ramani arifu niende wapi nisije kurupuka nkajikuta nalia maana si unajua mi mtoto wa mkulima au niingie education nini? Nimeona wewe ndo unaweza nishauri fresh so kama vip nruhusu niki pm basi please ni msaada nahita nko njiapanda.
 
Dah! Jamani matusi haya fai huku kama unashindwa ku control jazba zako nibora uka log out kwani kuna wengine huku ni mama zetu baba zetu na pia ni vijana wetu wenye mambo ya imani za kdini sasa mkifanya hviyo mnakwaza wengine kuchangia maada kwani mwisho wa malumbano huwa kila mtu anachukua analo ona ila nafaa please tuwe waungwana jamani!:ban::ban::ban:
 
Vumilia tu ndugu sio Muccobs tu Hata Teku, Saut,Ifm na Udom navyo vinapondwa sana humu.. ila pole kwa vile leo ni Muccobs hao wengine waache ila huo mlioambiwa ni ukweli hata wenzenu wamekubali... kama wewe umeingia hapo na II vumilia tu coz wenzako wengi wana 3 hapo.

kama na wewe una masters kweli basi elimu ya nchi hii ni majanga kwani unachoandika ni sawa na mawazo ya mtoto wa darasa la saba.

Mtu mwenye elimu iliyomkomboa hawezi kuwa kama wewe.
 
Siku hizi vyuo vyote wasichana wanacheza dada poa, kuanzia mlimani mpaka sijui college gani wote ni poa poa tu

na ndio kinaongoza kwa ngono na tabia mbovu za kujiuza kwa wengi wa wanawake pale MALINDI,PUB ALBETO NA LALIGA,,hilo nalo usisahau mkuu
 
Back
Top Bottom