qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,382
Acha kudanganya kijana kabla ya TCU kuwapangia Ushirika Moshi ilikuwa hata dv 3 unapata chuo huko ndo vijana walioboronga fm6 lilikuwa kimbilio lao.
Bora wewe umesema maana wengine tukisema hivyo tunaonekana tuna gubu tena nimegundua vitoto vinavyobisha humu ni vifirst year walosoma hapo nakumaliza wanajijua walikuwa wanaingia na division ngapi.