Siri nzito ya 'muccob's" hii hapa.

Siri nzito ya 'muccob's" hii hapa.

Acha kudanganya kijana kabla ya TCU kuwapangia Ushirika Moshi ilikuwa hata dv 3 unapata chuo huko ndo vijana walioboronga fm6 lilikuwa kimbilio lao.

Bora wewe umesema maana wengine tukisema hivyo tunaonekana tuna gubu tena nimegundua vitoto vinavyobisha humu ni vifirst year walosoma hapo nakumaliza wanajijua walikuwa wanaingia na division ngapi.
 
,una uhakika kwamba MUCCoBS inachukua division three peke yake? mfano mtu kapata one form6 anataka aidha asome BACHELOR OF ARTS IN CO-OPERATIVE MGT AND ACCOUNTING , BACHELOR OF ARTS IN MICROFINANCE AND ENTERPRISE DVPT au BACHELOR OF ARTS MAKERTING AND ENTEPRENEURSHIP ataenda wapi?

Tatizo lako dogo umevamia convo kuanzia sijui page ya 7 na kudandia treni kwa mbele rudi mwanzo wa topic na usome post yangu ya kwanza ndo uje kurudia rudia hapa mbona huelewi ndo maana uko Muccobs inaelekea darasani mgumu sana kuelewa na kujisomea ukitaka ubishi kubali na kupitia post za nyuma kwani me nimewaambia hakuna div I na II au nimesema hizo div ni chache nyingi ni III kwa degree na IV kwa Diploma.. kha ndo shida ya uvivu wa kusoma mwili mkubwa akili size ya diclopar.
 
Nakumbuka niliomaliza nao form 6 walioenda muccobs wenye div II hawafiki 10 hakuna mwenye div I aliyeenda pale na wenye div III na IV ni zaidi ya 80 both Degree na IV Diploma. Najua mtani mind ila muccobs si tu kwanilio maliza nao mwaka huo hata miaka mingine na ninao wajua wote Waliosoma Muccobs ni waliopata III na hata shule hawakuwa vizuri darasani. Hutaki acha sitaki matusi hapa ila thats the truth tho unauma.

Takwimu hizi umezipata wapi?
 
Lazima wasome kwa nguvu na masomo wayaone magumu coz wengi wao pale hawakufanya vizuri secondari. Mbona SUA watu kitabu kinaenda na masomo magumu na watu hawatafuti sifa za kijinga humu.

hahahah unaijua SUA wewe? au unaisikia? eti kitabu kinaenda sio kama unavyodhania mkuu
 
Teh teh bahati yann yani Muccobs hata ningesomeshwa bure nisingekuja na hata fomu za kujiunga enzi hizo hata sikuchukua any way ngoja nije kufundisha hapo iki niinjoy kuziona div 3 zikistruggle.

Nasikia una CPA.....utakuwa mchepuko wangu.....sauwa?
 
Kwa upande wangu sipendi masuala ya kushabikia vyuo. Mara ooh chuo chetu bora, Mara sisi kwa kozi fulani yumebobea n.k Suala la muhim ni kwamba pale ulipo unalisaidiaje taifa na wananchi maskini kuondikana na matatizo yao na si ubora wa chuo. Hizi data sijaziamini na sitoziamini hata kwa posho.
 
hahahah unaijua SUA wewe? au unaisikia? eti kitabu kinaenda sio kama unavyodhania mkuu

Acha ushamba wewe am speaking with experience ww naijua SUA zaidi ujuavyo sio wewe uliyehadithiwa na my two family member wamesoma hapo na mmoja kafundisha hapohapo Shule ngumu ila wenye uwezo wao wanafaulu na kupata GPA za kuwawezesha kubaki hapo.
 
Ninazo maana niliokuwa nao darasani wote najua vyuo walivyoenda na matokeo yetu ya form six ninayo sijarukupuka ndugu ingawa tulishamaliza chuo mudaa

unachekesha sana mkuu kwa hiyo takwimu za watu10 wakati darasa lina watu 120, ndio unazijengea hoja,
 
unachekesha sana mkuu kwa hiyo takwimu za watu10 wakati darasa lina watu 120, ndio unazijengea hoja,

Combi yetu tu tulikuwa 120 ndugu kwangu hao ni wachache coz tulikuwa tuna interact sana na mpaka sasa tuna groups zetu na hata vyuo tulivyoenda tulikuwa na umoja wetu pia na tulikuwa tunatembeleana hata hapo Muccobs na wote classmate wangu waliosoma hapo nawajua na matokeo yao yako wazi Necta na huo ndo ukweli hakukuwa na Div I aliyeenda hapo na wa II hawakuzidi 10 wengi walikuwa III na hata combination nyingine kutoka shule yetu wenye 3 walienda hapo hasa za HGK na HKL usibishe bishe tu dogo kataa kubali ukweli ndo huo japo ngumu kumeza.
 
Combi yetu tu tulikuwa 120 ndugu kwangu hao ni wachache coz tulikuwa tuna interact sana na mpaka sasa tuna groups zetu na hata vyuo tulivyoenda tulikuwa na umoja wetu pia na tulikuwa tunatembeleana hata hapo Muccobs na wote classmate wangu waliosoma hapo nawajua na matokeo yao yako wazi Necta na huo ndo ukweli hakukuwa na Div I aliyeenda hapo na wa II hawakuzidi 10 wengi walikuwa III na hata combination nyingine kutoka shule yetu wenye 3 walienda hapo hasa za HGK na HKL usibishe bishe tu dogo kataa kubali ukweli ndo huo japo ngumu kumeza.

sema hivi kwenye shule yenu hakukuwa na mwanafunzi aliepata one akaenda ushirika,ila shule nyingine wapo wenye one na wakaenda ushirika okay
 
HABARI WANA JAMVI.


TUMEKUA TUKISIKIA WADAU MBALIMBALI WAKISEMA KUA AJIRA NYINGI HUPEWA WATU WANAOTOKA KWENYE CHUO CHA USHIRIKA KILICHOPO MOSHI 'MOSHI UNIVERSITY COLLEGE OF COOPERATIVE AND BUSINESS STUDIES' YAANI MUCCOB'S,AMBACHO NI CHUO KISHIRIKI CHA 'SUA' YAANI 'SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE'[AMBACHO CHUO HICHO 'MUCCOBS' HIVI SASA KIPO KWENYE MCHAKATO WA KUA CHUO KIKUU KAMILI YAANI KISIWE TENA CONSTITUENT COLLEGE OF SUA] .WATU WANADAI KUA AJIRA NYINGI HUPENDELEWA WADAU WALIOMALIZA KUTOKA CHUO HICHO NA ZAIDI KWENYE TAASISI ZA BIASHARA PIA ZA MAENDELEO YA KIJAMII KAMA NGO'S,WENGI WANASEMA HII INATOKANA NA HISTORIA YA WAFANYAKAZI WENGI KWENYE TAASISI MBALIMBALI KUA NA UMAKINI NA WELEDI WAKIWA KAZINI . (GOOD REPUTATION).MIMI BINAFSI NIMEKUTANA NA WATU WENGI SANA WAKIDAI KUA CHUO HICHO KINATOA WAHITIMU WAZURI NA WALIOIVA.KUNA HABARI PIA ISEMAYO, KAZI ZILIZOTANGAZWA NA TRA WENGI WATATOKA USHIRIKA.( HUMU JF PIA IMEWEKWA).


NIMECHUNGUZA NI KWANINI CHUO HICHI KINAJIZOLEA SIFA HIZO, NA NIMEGUNDUA KUA 'GOOD REPUTATION' INATOKANA NA SABABU ZIFUATAZO;

1. WELEDI WA WALIMU {LECTURERS}
KATIKA TAFITI ZANGU, NIMEGUDUA KUA WALIMU WANAOFUNDISHA KWENYE CHUO HICHO WENGI WAO WAKIWA NI MAPROFESA NA MADAKTARI, WANA SIFA ZIFUATAZO, I).WAMEBOBEA KWNEYE KAZI HIYO YA UFUNDISHAJI (EXPERIENCE) II).NI WENYE WELEDI (DESCPLINE).NA III).WAMEJITOA KWENYE KAZI HIYO.NIMEGUNDUA HILO KUTOKANA IV).VITU WANAVYOVIFUNDISHA VINGI NI VITU AMBAVYO WENGI WAO WANAKUTANA NAVYO NA KUVIFANYAKAZI KATIAKA MAISHA YAO YA KILA SIKU IKIWA WENGI WAO HUTUMIKA KATIKA SHUGHULI MBALIMBALI ZA KIUCHUMI NA SERIKALI, PIA KATIKA KUTENGENEZA SERA NA SHERIA MBALIMBALI JUU YA MASWALA YA USHIRIKA,VIWANDA NA BIASHARA,NA HIVYO KUA NA HIVYO KUWAWIA RAHISI NA HALISI ZAIDI KWA KILE WANACHOKIFUNDISHANA.NA PIA TAFITI WANAZOZIFANYA {RESEARCH] ZIMEKUA ZIKISAIDIA KATIKA KUTATUA MASWALA MBALIMBALI KATIKA UCHUMI.ZAIDI NIMESHUHUDIA JINSI WALIMU WANAVYOHUDHURIA VIPINDI BILA KUKOSA TENA KWA MUDA MUAFAKA ,NAMNA YA UFUNDISHAJI,NA PIA UHUSIANO MZURI ULIOPO KATI YA WALIMU NA WANAFUNZI.

2. PROGRAM ZINAZOTOLEWA.{(UBUNIFU}
INGAWA KUNA PROGRAM ZILIZO ZOELEKA KUTOLEWA KWENYE VYUO VINGINE KAMA, PROCUREMENT,ACCOUNT AND FINANCE PAMOJA NA HUMAN RESOURCE MANAGEMENT , ILA PALE ZINATOLEWA KWA NAMNA YA KITOFAUTI KABISA. HUTOFAUTIANA NA VYUO VINGINE KUTOKANA NA IDADI YA COURSE ZILIZOPO KWENYE PROGRAM HUSIKA, PAMOJA NA MATERIAL YANAYOTUMIKA HUA YAPO KWENYE MUDA SAHIHI,

UBUNIFU
;
UBUNIFU MKUBWA UMEJIONYESHA KWENYE KUTENGENEZA PROGRAM ZA MASOMO ZINAZOENDANA NA MABADILIKO YA KIUCHUMI DUNIANI,UBUNIFU HUO UMEONEKANA KWENYE PROGRAM ZIFUATAZO;

a)'MICRO-FINANCE AND ENTERPRISE DEVELOPMENT'{DEGREE LEVEL}
PROGRAMU HII INAHUSIKA NA MAMBO YA TAASISI NDOGONDOGO ZA KIFEDHA PAMOJA NA UJASIRIAMALI.KAMA ILIVYO SASA , JAMII INAJIKWAMUA KWNYE UMASIKINI KUPITIA TAASISI HIZI NDOGONDGO ZA KIFEDHA(SACCOS) KWA KUJIPATIA MIKOPO YENYE UNAFUU, DUNIA PIA IMEJIKITA KWNYE UJASIRIAMALI NA KUONA NDIO NAMNA PEKEE YA KUDIDMIZA UMASIKINI.PROGRAM HIYO HAIKUISHIA TU HAPO BALI INA WIGO MPANA KATI YA COURSE TAKRIBANI 52 ILIYOJIBEBEA NDANI YAKE KUNA COURSE ZA MAMBO YA BANK,FINANCE,BUSSINES LAW NA NYINGINE NYINGI , COURSE AMABAZO ZINAMPA FURSA MHITIMU KUKABILIANA NA CHANGAMOTO MBALI MBALI KATIKA JAMII INAYOMZUNGUKA.PROGRAM HII HUMFANYA MHITIMU KUA WA KISASA NA KUENDANA NA MABADILIKO YA DUNIA KATIKA SWALA ZIMA LA KUJIKWAMUA KIUCHUMI NA KUONDOKANA NA UMASIKINI.

PROGRAM TAJWA HAPO JUU KWA SASA NI KAMA 'LULU' NA NI GUMZO MIDOMONI MWA WATU NA TAASISI MBALIMBALI.

b) 'COMMUNITY ECONOMIC DEVELOPMENT"{DEGREE LEVEL}


SEHEMU MBALIMBALI PROGRAM HII IMEKUA INAJULIKANA KAMA 'COMMUNITY DEVELOPMENT' LAKINI KWA UMAKINI NA UFANISI WA HALI YA JUU,WANAZUONI WA MUCCOBS WALIGUNDUA KUA MABADILIKO NA MAENDELEO YA JAMII YANAENDA SAMBAMBA NA MABADILIKO YA KIUCHUMI, HIVYO BASI WAKAONA KUNA HAJA NA UMUHIMU WA KUWEPO KWA PROGRAM HII ILIKUONYESHA NI KWA JINSI GANI UKUWAJI WA UCHUMI UNALETA MABADILIKO CHANYA KATIKA UKUAJI NA MAENDELEO YA KIJAMII . PROGRAM HII INATOA MAFUNZO JUU YA MAHUSIANO YALIPO KATI YA JAMII PAMOJA NA UCHUMI.

PROGRAM TAJWA HAPO JUU ZOTE CHIMBUKO LAKE NI CHUONI HAPO.



3.TIME TABLE.
RATIBA NYINGI ZA MASOMO NILIZO ZIONA CHUONI PALE ,ZIPO TOFAUTI KABISA NA RATIBA NILIZIZIONA KWNYE VYUO VINGINE. IKIWA NI PAMOJA IDADI YA MASOMO YANAYOFUNDISHWA KWA SIKU PAMOJA NA MUDA WA KILA SOMO KUFUNDISHWA. MASOMO MENGI CHUONI HAPO HUFUNDISHWA KWA MUDA USIOPUNGUA MASAA MAWILI NA RATIBA ZOTE HUANZA KUANZA 8:00am NA KUMALIZIKA 7;30pm. PIA WAMEZINGATIA UWEPO WA KUTOSHA WA SEMINER HOURS. HII INAMPA MWANAFUNZI FURSA YA KUJUA MAMBO MENGI.PIA WALIMU WAMEKUA MAKINI KATIKA KUZINGATIA MUDA,MUDA KIPINDI KINAPASWA KUANZA HUNAANZA NA MDA KINAPASWA KUISHA HUISHA KWA MUDA MUAFAKA. KWA HILI HATA WW UTAWEZA KULISHUHUDIA, CHA KUFANYA FIKA ENEO HILO NA UONE MDA WANAINGIA NA MUDA WANATOKA CHUO NA JINSI WALIMU NA WANAFUNZI WANAVYOPISHANA KUKIMBIA KWNYE VIPINDI.

4.UTUNGWAJI NA USIMAMIZI WA MITIHANI PAMOJA NA WASTANI WA UFAULU..

WASTANI WA UFAULU NI KUANZIA WASTANI WA ..... NA KUENDELEA. MGAWANYIKO UKIWA KAMA IFUATAVYO

ASSIAMENT + QUIZ+PRESENTATION+CLASS TEST {COURSE WORK} 40%
FINAL EXAM 60%



TOTAL 100%


KWA MGAWANYIKO HUO HAUMPI NAFASI MWANAFUNZI KUBEBWA NA COURSE WORK' NA KWA MAANA HIYO ATABAKI KUA NA KIBARUA KIKUBWA CHA KUFANYA VIZURI KWENYE ALAMA 60% ZA MTIHANI WA MWISHO NA LAZIMA ITAMGHARIMU KUSOMA KWA BIDII KUFIKISHA KIWANGO CHA UFAULU.
UTUNGWAJI WA MITIHANI NI WA KIWANGO CHA JUU ,USIMAMIZI WAKATI WA MITIHANI NDIO HATARI KABISAA/USIMAMIZI NI WA KIWANGO CHA JUU.


5. ADABU WALIYONAYO WANAFUNZI.

UKITOFAUTISHA NA VYUO VINGINE TENA UKIZINGATIA IDADI KUBWA YA WANAFUNZI WENGI WA VYUO NI VIJINA, VYUO VINGI WANAFUNZI WAMEKUA WAKIKOSA HESHIMA KWA KUJIINGIZA KWENYE STAREHE MBALIMBALI NA KUWAFANYA WASAHAU KILICHOWAPELEKA,ILA KWENYE CHUO HICHI , WENGI WAO WANAJIHESHIMU NA KUJUA NI NN HASA KILICHOWAPELEKA.WAHUDHURIAJI WAZURI KWENYE VIPINDI NA PIA WANAKUA NA JITIHADA KATI KUSOMA,WAKIZINGATIA ZAIDI KUSOMA KWENYE MAKUNDI.WENGI HUJIONA KAMA WAMETUA MZIGO MZITO PALE IFIKAPO MWISHO WA SEMISTER.
NILIJARIBU KUJIULIZA NI KWANINI WANAFUNZI HAWA WAPO HIVI,NA NILJIULIZA YAFUATAYO,

1.SABABU ZA KIMKOA, MJI WA MOSHI NI MJI TULIVU , MJI WA KIBIASHARA, NA WATU WENGI WAPO BIZY KUTAFUTA HELA KULIKO KUFANYA STAREHE. NI MJI AMBAO HAUNA STAREHE KAMA MJI WA DAR-ES-SALAAM.

2. LABDA ,NI JINSI RATIBA INAVYOWABANA NA KUWAFANYA WASHINDWE KUJIINGIZA KATIKA MASWALA YASIYO NAA MAADILI.

NA MENGINE MENGI AMBAYO NILIJIULIZA ,ILA NILIISHIA KUJUA TUU ..PALE NDIPO ADABU INAFUATA MKONDO WAKE NA TENA ZAIDI UKIWA UNAFANANISHA NA VYUO VINGINE .


HIZO NI KATI TU YA SABABU CHACHE NILIZOWEZA KUZIONA BAADADA YA KUFANYA TAFITI NDOGO KWENYE CHUO CHA 'MUCCOBS' ,NAJUA ZITAKUWEPO SABABU NYINGINE KAMA VILE , MAZINGIRA MAZURI, MANEJIMENTI NZURI NA NYINGINE NYINGI TU ZINAZOKIFANYA CHUO CHA USHIRKA MOSHI KUA ASALI KICHWANI,MIDOMONI NA KWENYE TASISI MBALIMBALI.
HIVYO BASI MSIBAKI KUUMIZA VICHWA NA KUSEMA 'WHY MUCCoB'S' HIZO NDIZO SABABU , VYUO VINGINE YAPASA KUIGA .

BIG UP {MUCCoB'S}

Kumbe nidhamu ya Mpigamsuli ni mfano wa kuigwa?
 
Last edited by a moderator:
nyakati ulizosoma na nakati za sasa ni viti viwili tofauti . Mambo hubadilika dunia .. Elimu uliyoipata na elimu anayoipata mtoto wako leo .. Ni vitu viwili tofauti .


Sasa usije ukafananisha elimu ya enzi za ukoloni ulizoziptia ww na elimu ya sasa ..
Elewa mambo hibadilika ndugu . Na vitu haviendeshwi kimazoa hata siku moja ..

Chunga uandishi wako......
 
qn of sheba,hilo jina umelitendea haki lakini? Na maanisha yaliyomo yamo? Sio unajiita hilo jina halafu upo tofauti
 
sema hivi kwenye shule yenu hakukuwa na mwanafunzi aliepata one akaenda ushirika,ila shule nyingine wapo wenye one na wakaenda ushirika okay

Hehehe unachekesha hata shule za jirani ndugu hata rafiki zangu wa olevel boys na girls waliosoma shule nyingine wenye three tu ndio walienda pale wenye one na two hata hicho chuo walikuwa hawakijui too local.
 
qn of sheba,hilo jina umelitendea haki lakini? Na maanisha yaliyomo yamo? Sio unajiita hilo jina halafu upo tofauti

Wewe hilo jina lako naona umelitendea haki kabisa Kya-low yes your too low.
 
Mimi ankubaliana na hilo muccobize ni noma pale huendi kuchukua degree diplomaa au degree au masters ni unakwenda kuitafuta. Halafu kuna maprofessor kutoka mpaka nje ya nchi kama jamaa mnaona anapiga promo mtafuteni chambo aende akanuse wewe ila kiki simama chenyewe kisiwe chini ya sua university hapo nahisi kitakuwa cha kawaida kwa upande wangu ila kwasasa yaani hapafai tena kwenye upande wa BAAF ndo usiseme kabisa cctv kamre mpaka ndani kama umezoea chabo asee pole sana pale hapako hivyo arifu.Na pass mark 50% sasa wewe nenda nenda na 49% ukaombe kujiunga na chuo uone kama utakubaliwa yaani wanakuacha bila tabu nahata tcu wakipeleka wasio kidhi vigezo asee hawakubali.Unajua kuna vitu vingine sio vya kubisha chunguza kabla ya kubisha asee.:A S-alert1::A S-alert1:delivered
 
Nlipiga pale diploma IT na ss nko napiga computer engeering huku dom nkimaliza natamani nkachukue masters ya businees management pale muccobize tena.Yani nkipafikiria pale palivyo pagumu ngoja kwanza ntigishe kishe kchwa :A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:maana msuli shule nahisi naenda urudia tena dah!
 
Back
Top Bottom