Siri nzito ya 'muccob's" hii hapa.

Siri nzito ya 'muccob's" hii hapa.

we mbwiga(qn of sheba) njoo usome hapa!

Acha hasira wewe na acha umbula ndo shida ya kukurupuka kureply bila kusoma nilichokiandika angalia post zangu ndo uje kuniita ita hapa nimekuambia wenye three hapo ni wengi wenye two ni wachache na wenye one ni mmoja kati ya kumi na wenye four wapo kibao wanasoma diploma we vipi mbona hueleweki kama papuchi za msichana. Utaniita majina yote ila hautabadilisha ukweli muccobs ni chuo cha div 3 ndo maana mnalalamika shule ngumu.
 
hahahah umekosea kabisa kwa mfano mtu amefaulu vizuri anataka asome BACHELOR OF ARTS IN CO-OPERATIVE MANAGEMENT AND ACCOUNTING ataenda wapi?

Hakuna aliye faulu vizuri akaenda kusoma kusoma hapo na labda atumwe na shirika na kama utaona post yangu ya mwanzo niliweka % za division hapo muccobs nikasema wenye div I wanaweza kuwa 10% tu.


Alafu mnavyo jifariji sasa eti kwavile ni chuo cha ushirika ni rahisi kupata ajira CRDB kwasababu jina lake ni bank ya ushirika ndugu CRDB sikuiz jina haiko kiivyo na mambo ya ushirika na bahati mbaya ckuiz wanaajiri wanafunzi wengi wa UD, IFM,Mzumbe,Udom na Sua. Muccobs tho ni chuo cha ushirika wanashindwa kupata coz though mnaingia na div 3 lakini bado mnatoka na lower au pass G.P.A wakati CRDB inataka upper 2nd mnashida sana yani.
 
Acha hasira wewe na acha umbula ndo shida ya kukurupuka kureply bila kusoma nilichokiandika angalia post zangu ndo uje kuniita ita hapa nimekuambia wenye three hapo ni wengi wenye two ni wachache na wenye one ni mmoja kati ya kumi na wenye four wapo kibao wanasoma diploma we vipi mbona hueleweki kama papuchi za msichana. Utaniita majina yote ila hautabadilisha ukweli muccobs ni chuo cha div 3 ndo maana mnalalamika shule ngumu.
i bet your in Red or Menopause!
 
Hakuna aliye faulu vizuri akaenda kusoma kusoma hapo na labda atumwe na shirika na kama utaona post yangu ya mwanzo niliweka % za division hapo muccobs nikasema wenye div I wanaweza kuwa 10% tu.


Alafu mnavyo jifariji sasa eti kwavile ni chuo cha ushirika ni rahisi kupata ajira CRDB kwasababu jina lake ni bank ya ushirika ndugu CRDB sikuiz jina haiko kiivyo na mambo ya ushirika na bahati mbaya ckuiz wanaajiri wanafunzi wengi wa UD, IFM,Mzumbe,Udom na Sua. Muccobs tho ni chuo cha ushirika wanashindwa kupata coz though mnaingia na div 3 lakini bado mnatoka na lower au pass G.P.A wakati CRDB inataka upper 2nd mnashida sana yani.

mbona hujajibu swali langu la msingi ? mtu akifaulu vizuri kama anataka asome mambo ya co-operative mgt and accounting,micro finance ataenda wapi?
 
Hauna uhakika coz hujui historia ya hicho chuo either ilihadithiwa or ulisoma na kumaliza bila kukijua vizuri chuo chako...
Unajua historia ya Queen of Sheba, alitoa papuchi kwa King Suleiman for water ndipo akapatikana uzao wa chimbuko la Haile Selassie(Kings of Kings)wa Ethiopia!

Nawe pia 100% sure uliingia kazini kwa kupanua migu.u so there is nothing you know! jus like that ped you put btn your legs when you are in RED!
 
hakuna aliye faulu vizuri akaenda kusoma kusoma hapo na labda atumwe na shirika na kama utaona post yangu ya mwanzo niliweka % za division hapo muccobs nikasema wenye div i wanaweza kuwa 10% tu.


Alafu mnavyo jifariji sasa eti kwavile ni chuo cha ushirika ni rahisi kupata ajira crdb kwasababu jina lake ni bank ya ushirika ndugu crdb sikuiz jina haiko kiivyo na mambo ya ushirika na bahati mbaya ckuiz wanaajiri wanafunzi wengi wa ud, ifm,mzumbe,udom na sua. Muccobs tho ni chuo cha ushirika wanashindwa kupata coz though mnaingia na div 3 lakini bado mnatoka na lower au pass g.p.a wakati crdb inataka upper 2nd mnashida sana yani.

1. Umelemewa sana na mawazo mgando ndugu yangu .. Kua ajira ndio mkombozi wako

2.akili yako inaonekana kujitune kua crdb ndio kazi nzuri uanayoota kuipata ..

3.yakupasa kuelewa mtu alimaliza degree pale ushirika .. Ana uwezo wowote na fursa kufanya kazi kwnye taasisi yeyote ya kifedha .. Zaidi ni mtu aliyemaliza akiwa na uwezo wa kujiajiri na kuhiendesha kimaisha binafsi bila kuajiriwa .
Acha fikra zero za kuamini maana ya graduate ni kuajiriwa .
 
sina uhakika na akili zako , labda hukifahamu unachokiongelllea .
Mandela mm nina uhakika na akilizangu kwani nilisomea Ushirika Moshi, nikianzia Kilimo mpaka namalizia Azimio wakati huo kuna TV ya Kenya pale Laundry.
Usipende kudharau watu au kuwadanganya
Ni Mkurugenzi gani wa Halmashauri ya wilaya, Jiji au Katibu Tawala aliyetokea MucoBs
mm nimekupa majina ya viongozi wako wa Chuo wewe unakasirika kuulizia akili yangu
kweli unakidhalilisha Chuo changu
Nakushauri ukimaliza hapo kasome na Vyuo vingine kusafisha CV

 
Last edited by a moderator:
mandela mm nina uhakika na akilizangu kwani nilisomea ushirika moshi, nikianzia kilimo mpaka namalizia azimio wakati huo kuna tv ya kenya pale laundry.
Usipende kudharau watu au kuwadanganya
ni mkurugenzi gani wa halmashauri ya wilaya, jiji au katibu tawala aliyetokea mucobs
mm nimekupa majina ya viongozi wako wa chuo wewe unakasirika kuulizia akili yangu
kweli unakidhalilisha chuo changu
nakushauri ukimaliza hapo kasome na vyuo vingine kusafisha cv


nyakati ulizosoma na nakati za sasa ni viti viwili tofauti . Mambo hubadilika dunia .. Elimu uliyoipata na elimu anayoipata mtoto wako leo .. Ni vitu viwili tofauti .


Sasa usije ukafananisha elimu ya enzi za ukoloni ulizoziptia ww na elimu ya sasa ..
Elewa mambo hibadilika ndugu . Na vitu haviendeshwi kimazoa hata siku moja ..
 
Last edited by a moderator:
Mandela mm nina uhakika na akilizangu kwani nilisomea Ushirika Moshi, nikianzia Kilimo mpaka namalizia Azimio wakati huo kuna TV ya Kenya pale Laundry.
Usipende kudharau watu au kuwadanganya
Ni Mkurugenzi gani wa Halmashauri ya wilaya, Jiji au Katibu Tawala aliyetokea MucoBs
mm nimekupa majina ya viongozi wako wa Chuo wewe unakasirika kuulizia akili yangu
kweli unakidhalilisha Chuo changu
Nakushauri ukimaliza hapo kasome na Vyuo vingine kusafisha CV


aiseeeeeeee!!

Enzi za TV ya Kenya pale Laundry.ilikuwa mwaka gani hiyo kiongozi?
 
Last edited by a moderator:
hakuna anayelipwa ..msitarajie kila msema ukweli lazima alipwe .. Sina maslahi yeyote na 'muccob's" ila kwnye ukweli patabaki kua ukweli .

NIHERI UNGESEMA TU NI HISIA ZAKO KWA MUCCOBS NA SIO SIRI KAMA ULIVYOSEMA...MAANA kwa vigezo vyako ukianza fuatilia ranks za vyuo...nchini au afrika sijui chuo chako kinashika namba ngapi...??! Ooops kumbe badoni taasisi tegemezi toka kwa SOKOINE.!!
 
Back
Top Bottom