Siri nzito ya 'muccob's" hii hapa.

Siri nzito ya 'muccob's" hii hapa.

Nakubaliana nawe mkuu,muccobs aka muccobize elimu yake ngumu kama harvard watu wanasoma utafikiri wanafunzi wa sekondar,pia nidham lazima iwepo tu kwa njia yoyote! Hapana chezea C.C.P kabisa wakizingua tu jamaa wanashuka kufanyia field pale

Lazima wasome kwa nguvu na masomo wayaone magumu coz wengi wao pale hawakufanya vizuri secondari. Mbona SUA watu kitabu kinaenda na masomo magumu na watu hawatafuti sifa za kijinga humu.
 
Nakumbuka niliomaliza nao form 6 walioenda muccobs wenye div II hawafiki 10 hakuna mwenye div I aliyeenda pale na wenye div III na IV ni zaidi ya 80 both Degree na IV Diploma. Najua mtani mind ila muccobs si tu kwanilio maliza nao mwaka huo hata miaka mingine na ninao wajua wote Waliosoma Muccobs ni waliopata III na hata shule hawakuwa vizuri darasani. Hutaki acha sitaki matusi hapa ila thats the truth tho unauma.

sawa ingia ukiwa na divission yeyote ile hatukatai .. ila ukiingia na ukafanikiwa kutoka jua umetoka tofauti kabisaaa.
 
Nakumbuka niliomaliza nao form 6 walioenda muccobs wenye div II hawafiki 10 hakuna mwenye div I aliyeenda pale na wenye div III na IV ni zaidi ya 80 both Degree na IV Diploma. Najua mtani mind ila muccobs si tu kwanilio maliza nao mwaka huo hata miaka mingine na ninao wajua wote Waliosoma Muccobs ni waliopata III na hata shule hawakuwa vizuri darasani. Hutaki acha sitaki matusi hapa ila thats the truth tho unauma.

Hao wenye div III watakuwa wanasowa diploma.
 
Acha kupiga promo wanaoenda hapo ni wale waliofel yani div 3 na kuendelea.Uliye anzisha huu uzi unataka marumbano ya vyuo wakati hayana tija kwa Tz wakati wasomi wengi na rasilimali zinaibiwa na Wazungu Je kuna haja ya kuwa na wasomi?

Wacha kukurupuka wew mimi nimesoma hapo bila ya point 4 form six uwezi ingia muccobs kipindi tcu walikuwa hawapo na kama ulikuwa ukihonga lazima tu watakukamata na kukulazimisha uanze na diploma walioharibu ule utaratibu wa point nne na tcu kama unafahamu vizuri majibu unayo mwanafunzi mwenye point nne anadiv ngapi
 
Ukiwa na kitu kibovu au unaudhaifu fulani lazima ujihami na kujisifia chema cha jiuza jamani na kibaya cha jitembeza ukitaka kusifia sifia na TIA na Magogoni maana asilimia kubwa ya watumishi wa serikali ni product ya hivyo vyuo.
 
Hao wenye div III watakuwa wanasowa diploma.

Sio watakuwa walisha graduate tena ni degree wengi walisoma BAAF na Procurement wenye four ndo walisoma diploma. Siongei kinafiki bali ni ukweli coz wengi ni classmates zangu na some are my friends.
 
Ukiwa na kitu kibovu au unaudhaifu fulani lazima ujihami na kujisifia chema cha jiuza jamani na kibaya cha jitembeza ukitaka kusifia sifia na TIA na Magogoni maana asilimia kubwa ya watumishi wa serikali ni product ya hivyo vyuo.

sina uhusiano wowote na chuo hicho .. ila katima hali ya mda mrefu kimekua kikizungumziwa saana .. na niliona si mbaya kukijua undani wake na hayo ndiyo kati ya niliyoyagundua .. sasa ww kama unaweza fanya tafiti fanya unaweza ukagundua kitu tofauti na mm .
 
Acha kupiga promo wanaoenda hapo ni wale waliofel yani div 3 na kuendelea.Uliye anzisha huu uzi unataka marumbano ya vyuo wakati hayana tija kwa Tz wakati wasomi wengi na rasilimali zinaibiwa na Wazungu Je kuna haja ya kuwa na wasomi?

Kama huna unachojua bora ukanyamaza tu.
 
Wacha kukurupuka wew mimi nimesoma hapo bila ya point 4 form six uwezi ingia muccobs kipindi tcu walikuwa hawapo na kama ulikuwa ukihonga lazima tu watakukamata na kukulazimisha uanze na diploma walioharibu ule utaratibu wa point nne na tcu kama unafahamu vizuri majibu unayo mwanafunzi mwenye point nne anadiv ngapi

Acha kudanganya kwavile umesoma hapo ndugu nina mdogo wangu last born yupo hapo 1st year alikuwa ana div II ya 12 form six tena HKL na rafiki zake pia waliopata three wapo hapi degree na usijifanye mjuaji TCU haijaanza juzi hata enzi zetu ilikuwepo though tulikuwa tunaomba direct vyuoni ila ukiwa na multiple admission aliza ucomfirm TCU kwa barua ili utambulike na chuo na upate boom na hata enzi zetu niliomaliza nao wenye III wengi walienda hapo na hata walio maliza kabla na baada yangu. Kile chuo moshi tunakijua tangu enzi zetu ukipata 3 unauhakika Muccobs hukosi.
 
Sio watakuwa walisha graduate tena ni degree wengi walisoma BAAF na Procurement wenye four ndo walisoma diploma. Siongei kinafiki bali ni ukweli coz wengi ni classmates zangu na some are my friends.

Inawezekana.

Je baada ya kumaliza walikuwaje huko sokoni ili na sisi tujue kama panafaa kuwapelega wadogo zetu.
 
sawa ingia ukiwa na divission yeyote ile hatukatai .. ila ukiingia na ukafanikiwa kutoka jua umetoka tofauti kabisaaa.

Kutoka hao niliowasema wote wametoka ila kama ulivyosema wametoka tofauti kabisa na kuacha ule uvivu waliokuwa na secondary hali iliyopelekea wakione chuo kigumu au masomo magumu wakati masomo ni yaleyale tu.
 
Inawezekana.

Je baada ya kumaliza walikuwaje huko sokoni ili na sisi tujue kama panafaa kuwapelega wadogo zetu.

Soko halina chuo ni uwezo wako tu ndugu haya mambo ya Ud sijui Mzumbe sijui Teku sijui Muccobs ni ya ki college huku kitaa ndo Havard yenyewe wapo walioajiriwa na wapo walio jobless up to date na wapo waliojiari wenyewe pia kati yahao nilio kutajia ila ratio ni kawaida tu na wengine sio kusema eti chuo fulani ni best zaidi.
 
sina uhusiano wowote na chuo hicho .. ila katima hali ya mda mrefu kimekua kikizungumziwa saana .. na niliona si mbaya kukijua undani wake na hayo ndiyo kati ya niliyoyagundua .. sasa ww kama unaweza fanya tafiti fanya unaweza ukagundua kitu tofauti na mm .

Hicho chuo kwanza ni maarufu huko Moshi sana hali iyotupelekea hata wanafunzi tuluosoma huo mkoa enzi zetu sekondari tukione ndo chuo kikuu bora hata wengine wazee wetu kutulazimisha tubaki hapo ukienda Chuga hao wanaamini IAA ndo kila kitu ukienda Mbeya hao wanaimani sana na Teku yao ukienda mikoa mingine kama pembezoni au kusini hao chuo kikuu wanachokiona na kusifia best ni Ud na Mzumbe. So huo unaweza kuwa tu mtazamo wa jamii fulani
 
HABARI WANA JAMVI.


TUMEKUA TUKISIKIA WADAU MBALIMBALI WAKISEMA KUA AJIRA NYINGI HUPEWA WATU WANAOTOKA KWENYE CHUO CHA USHIRIKA KILICHOPO MOSHI 'MOSHI UNIVERSITY COLLEGE OF COOPERATIVE AND BUSINESS STUDIES' YAANI MUCCOB'S,AMBACHO NI CHUO KISHIRIKI CHA 'SUA' YAANI 'SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE'[AMBACHO CHUO HICHO 'MUCCOBS' HIVI SASA KIPO KWENYE MCHAKATO WA KUA CHUO KIKUU KAMILI YAANI KISIWE TENA CONSTITUENT COLLEGE OF SUA] .WATU WANADAI KUA AJIRA NYINGI HUPENDELEWA WADAU WALIOMALIZA KUTOKA CHUO HICHO NA ZAIDI KWENYE TAASISI ZA BIASHARA PIA ZA MAENDELEO YA KIJAMII KAMA NGO'S,WENGI WANASEMA HII INATOKANA NA HISTORIA YA WAFANYAKAZI WENGI KWENYE TAASISI MBALIMBALI KUA NA UMAKINI NA WELEDI WAKIWA KAZINI . (GOOD REPUTATION).MIMI BINAFSI NIMEKUTANA NA WATU WENGI SANA WAKIDAI KUA CHUO HICHO KINATOA WAHITIMU WAZURI NA WALIOIVA.KUNA HABARI PIA ISEMAYO, KAZI ZILIZOTANGAZWA NA TRA WENGI WATATOKA USHIRIKA.( HUMU JF PIA IMEWEKWA).


NIMECHUNGUZA NI KWANINI CHUO HICHI KINAJIZOLEA SIFA HIZO, NA NIMEGUNDUA KUA 'GOOD REPUTATION' INATOKANA NA SABABU ZIFUATAZO;

1. WELEDI WA WALIMU {LECTURERS}
KATIKA TAFITI ZANGU, NIMEGUDUA KUA WALIMU WANAOFUNDISHA KWENYE CHUO HICHO WENGI WAO WAKIWA NI MAPROFESA NA MADAKTARI, WANA SIFA ZIFUATAZO, I).WAMEBOBEA KWNEYE KAZI HIYO YA UFUNDISHAJI (EXPERIENCE) II).NI WENYE WELEDI (DESCPLINE).NA III).WAMEJITOA KWENYE KAZI HIYO.NIMEGUNDUA HILO KUTOKANA IV).VITU WANAVYOVIFUNDISHA VINGI NI VITU AMBAVYO WENGI WAO WANAKUTANA NAVYO NA KUVIFANYAKAZI KATIAKA MAISHA YAO YA KILA SIKU IKIWA WENGI WAO HUTUMIKA KATIKA SHUGHULI MBALIMBALI ZA KIUCHUMI NA SERIKALI, PIA KATIKA KUTENGENEZA SERA NA SHERIA MBALIMBALI JUU YA MASWALA YA USHIRIKA,VIWANDA NA BIASHARA,NA HIVYO KUA NA HIVYO KUWAWIA RAHISI NA HALISI ZAIDI KWA KILE WANACHOKIFUNDISHANA.NA PIA TAFITI WANAZOZIFANYA {RESEARCH] ZIMEKUA ZIKISAIDIA KATIKA KUTATUA MASWALA MBALIMBALI KATIKA UCHUMI.ZAIDI NIMESHUHUDIA JINSI WALIMU WANAVYOHUDHURIA VIPINDI BILA KUKOSA TENA KWA MUDA MUAFAKA ,NAMNA YA UFUNDISHAJI,NA PIA UHUSIANO MZURI ULIOPO KATI YA WALIMU NA WANAFUNZI.

2. PROGRAM ZINAZOTOLEWA.{(UBUNIFU}
INGAWA KUNA PROGRAM ZILIZO ZOELEKA KUTOLEWA KWENYE VYUO VINGINE KAMA, PROCUREMENT,ACCOUNT AND FINANCE PAMOJA NA HUMAN RESOURCE MANAGEMENT , ILA PALE ZINATOLEWA KWA NAMNA YA KITOFAUTI KABISA. HUTOFAUTIANA NA VYUO VINGINE KUTOKANA NA IDADI YA COURSE ZILIZOPO KWENYE PROGRAM HUSIKA, PAMOJA NA MATERIAL YANAYOTUMIKA HUA YAPO KWENYE MUDA SAHIHI,

UBUNIFU
;
UBUNIFU MKUBWA UMEJIONYESHA KWENYE KUTENGENEZA PROGRAM ZA MASOMO ZINAZOENDANA NA MABADILIKO YA KIUCHUMI DUNIANI,UBUNIFU HUO UMEONEKANA KWENYE PROGRAM ZIFUATAZO;

a)'MICRO-FINANCE AND ENTERPRISE DEVELOPMENT'{DEGREE LEVEL}
PROGRAMU HII INAHUSIKA NA MAMBO YA TAASISI NDOGONDOGO ZA KIFEDHA PAMOJA NA UJASIRIAMALI.KAMA ILIVYO SASA , JAMII INAJIKWAMUA KWNYE UMASIKINI KUPITIA TAASISI HIZI NDOGONDGO ZA KIFEDHA(SACCOS) KWA KUJIPATIA MIKOPO YENYE UNAFUU, DUNIA PIA IMEJIKITA KWNYE UJASIRIAMALI NA KUONA NDIO NAMNA PEKEE YA KUDIDMIZA UMASIKINI.PROGRAM HIYO HAIKUISHIA TU HAPO BALI INA WIGO MPANA KATI YA COURSE TAKRIBANI 52 ILIYOJIBEBEA NDANI YAKE KUNA COURSE ZA MAMBO YA BANK,FINANCE,BUSSINES LAW NA NYINGINE NYINGI , COURSE AMABAZO ZINAMPA FURSA MHITIMU KUKABILIANA NA CHANGAMOTO MBALI MBALI KATIKA JAMII INAYOMZUNGUKA.PROGRAM HII HUMFANYA MHITIMU KUA WA KISASA NA KUENDANA NA MABADILIKO YA DUNIA KATIKA SWALA ZIMA LA KUJIKWAMUA KIUCHUMI NA KUONDOKANA NA UMASIKINI.

PROGRAM TAJWA HAPO JUU KWA SASA NI KAMA 'LULU' NA NI GUMZO MIDOMONI MWA WATU NA TAASISI MBALIMBALI.

b) 'COMMUNITY ECONOMIC DEVELOPMENT"{DEGREE LEVEL}


SEHEMU MBALIMBALI PROGRAM HII IMEKUA INAJULIKANA KAMA 'COMMUNITY DEVELOPMENT' LAKINI KWA UMAKINI NA UFANISI WA HALI YA JUU,WANAZUONI WA MUCCOBS WALIGUNDUA KUA MABADILIKO NA MAENDELEO YA JAMII YANAENDA SAMBAMBA NA MABADILIKO YA KIUCHUMI, HIVYO BASI WAKAONA KUNA HAJA NA UMUHIMU WA KUWEPO KWA PROGRAM HII ILIKUONYESHA NI KWA JINSI GANI UKUWAJI WA UCHUMI UNALETA MABADILIKO CHANYA KATIKA UKUAJI NA MAENDELEO YA KIJAMII . PROGRAM HII INATOA MAFUNZO JUU YA MAHUSIANO YALIPO KATI YA JAMII PAMOJA NA UCHUMI.

PROGRAM TAJWA HAPO JUU ZOTE CHIMBUKO LAKE NI CHUONI HAPO.



3.TIME TABLE.
RATIBA NYINGI ZA MASOMO NILIZO ZIONA CHUONI PALE ,ZIPO TOFAUTI KABISA NA RATIBA NILIZIZIONA KWNYE VYUO VINGINE. IKIWA NI PAMOJA IDADI YA MASOMO YANAYOFUNDISHWA KWA SIKU PAMOJA NA MUDA WA KILA SOMO KUFUNDISHWA. MASOMO MENGI CHUONI HAPO HUFUNDISHWA KWA MUDA USIOPUNGUA MASAA MAWILI NA RATIBA ZOTE HUANZA KUANZA 8:00am NA KUMALIZIKA 7;30pm. PIA WAMEZINGATIA UWEPO WA KUTOSHA WA SEMINER HOURS. HII INAMPA MWANAFUNZI FURSA YA KUJUA MAMBO MENGI.PIA WALIMU WAMEKUA MAKINI KATIKA KUZINGATIA MUDA,MUDA KIPINDI KINAPASWA KUANZA HUNAANZA NA MDA KINAPASWA KUISHA HUISHA KWA MUDA MUAFAKA. KWA HILI HATA WW UTAWEZA KULISHUHUDIA, CHA KUFANYA FIKA ENEO HILO NA UONE MDA WANAINGIA NA MUDA WANATOKA CHUO NA JINSI WALIMU NA WANAFUNZI WANAVYOPISHANA KUKIMBIA KWNYE VIPINDI.

4.UTUNGWAJI NA USIMAMIZI WA MITIHANI PAMOJA NA WASTANI WA UFAULU..

WASTANI WA UFAULU NI KUANZIA WASTANI WA ..... NA KUENDELEA. MGAWANYIKO UKIWA KAMA IFUATAVYO

ASSIAMENT + QUIZ+PRESENTATION+CLASS TEST {COURSE WORK} 40%
FINAL EXAM 60%



TOTAL 100%


KWA MGAWANYIKO HUO HAUMPI NAFASI MWANAFUNZI KUBEBWA NA COURSE WORK' NA KWA MAANA HIYO ATABAKI KUA NA KIBARUA KIKUBWA CHA KUFANYA VIZURI KWENYE ALAMA 60% ZA MTIHANI WA MWISHO NA LAZIMA ITAMGHARIMU KUSOMA KWA BIDII KUFIKISHA KIWANGO CHA UFAULU.
UTUNGWAJI WA MITIHANI NI WA KIWANGO CHA JUU ,USIMAMIZI WAKATI WA MITIHANI NDIO HATARI KABISAA/USIMAMIZI NI WA KIWANGO CHA JUU.


5. ADABU WALIYONAYO WANAFUNZI.

UKITOFAUTISHA NA VYUO VINGINE TENA UKIZINGATIA IDADI KUBWA YA WANAFUNZI WENGI WA VYUO NI VIJINA, VYUO VINGI WANAFUNZI WAMEKUA WAKIKOSA HESHIMA KWA KUJIINGIZA KWENYE STAREHE MBALIMBALI NA KUWAFANYA WASAHAU KILICHOWAPELEKA,ILA KWENYE CHUO HICHI , WENGI WAO WANAJIHESHIMU NA KUJUA NI NN HASA KILICHOWAPELEKA.WAHUDHURIAJI WAZURI KWENYE VIPINDI NA PIA WANAKUA NA JITIHADA KATI KUSOMA,WAKIZINGATIA ZAIDI KUSOMA KWENYE MAKUNDI.WENGI HUJIONA KAMA WAMETUA MZIGO MZITO PALE IFIKAPO MWISHO WA SEMISTER.
NILIJARIBU KUJIULIZA NI KWANINI WANAFUNZI HAWA WAPO HIVI,NA NILJIULIZA YAFUATAYO,

1.SABABU ZA KIMKOA, MJI WA MOSHI NI MJI TULIVU , MJI WA KIBIASHARA, NA WATU WENGI WAPO BIZY KUTAFUTA HELA KULIKO KUFANYA STAREHE. NI MJI AMBAO HAUNA STAREHE KAMA MJI WA DAR-ES-SALAAM.

2. LABDA ,NI JINSI RATIBA INAVYOWABANA NA KUWAFANYA WASHINDWE KUJIINGIZA KATIKA MASWALA YASIYO NAA MAADILI.

NA MENGINE MENGI AMBAYO NILIJIULIZA ,ILA NILIISHIA KUJUA TUU ..PALE NDIPO ADABU INAFUATA MKONDO WAKE NA TENA ZAIDI UKIWA UNAFANANISHA NA VYUO VINGINE .


HIZO NI KATI TU YA SABABU CHACHE NILIZOWEZA KUZIONA BAADADA YA KUFANYA TAFITI NDOGO KWENYE CHUO CHA 'MUCCOBS' ,NAJUA ZITAKUWEPO SABABU NYINGINE KAMA VILE , MAZINGIRA MAZURI, MANEJIMENTI NZURI NA NYINGINE NYINGI TU ZINAZOKIFANYA CHUO CHA USHIRKA MOSHI KUA ASALI KICHWANI,MIDOMONI NA KWENYE TASISI MBALIMBALI.
HIVYO BASI MSIBAKI KUUMIZA VICHWA NA KUSEMA 'WHY MUCCoB'S' HIZO NDIZO SABABU , VYUO VINGINE YAPASA KUIGA .

BIG UP {MUCCoB'S}

sifa zote ulizozitaja zinapatikana UD. na zingine nyingi kukifanya muccobs kionekane cha kawaida sana..
 
mnunuzi na muuzaji hukutana pamoja .. Na kama ulishanunua ngono moshi aliyekuuzia akakuambia ni mwanafunzi wa pale kakudanganya ili umuone wa thamani other wise hakuna ukweli .

Wapi Wewe Wanauza Mbunye Na Wanaume Wahuni Balaa Si Tunawaona,ndio Maana Fiesta Na Misheree Yote Ya Kizinzi Huwa Ni Pale Uwanjani Kwenu,mr Usifikiri Hatujui Chuo Chenu Kimeoza.
 
Wacha kukurupuka wew mimi nimesoma hapo bila ya point 4 form six uwezi ingia muccobs kipindi tcu walikuwa hawapo na kama ulikuwa ukihonga lazima tu watakukamata na kukulazimisha uanze na diploma walioharibu ule utaratibu wa point nne na tcu kama unafahamu vizuri majibu unayo mwanafunzi mwenye point nne anadiv ngapi


We jamaa mbona hii tabia hutaki kuacha?
 
Back
Top Bottom