LINCOLINMTZA
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 1,639
- 516
ni mdau wa karibu sana wa JKM,pia alipewa fungu ktk pesa za epa na akashiriki ktk kutumia pesa zile kufungua kiwanda,akiwa na wenzake MWITA,SHEWEJI na yeye mwenyewe KIGWANGALA kiwanda kikaitwa MSK Solution
Naona unatattizo la kujieleza au uadishi. Jitahidi kugusa maeneo muhimu siyo kuongeza maneno. Maneno mengi hayana tija. Think more, write less.