Taja umri wako kwanza.
1. Vijana wataona maono
2 mabinti watatabiri
3. Wazee wataota ndoto
Hawa ni wale wanaokwenda kwa haki mbele za Mungu na wanaadam
Wewe uko kundi lipi?
Unautaka ukuu wa wilaya wewe, hali ngumu kiasi hiki wewe huoni, labda kuna Tz nyingine kwenye hii dunia
Duuu. Mungu mwema naomba unithibitishie MTU huyu kama ameyaona haya na kama hajayaona ameandika kufurahisha wakuu. Mpe jibu lifaalo ktk wakati wako. Amen.
Lissu alikuwa na hali gani - matusi kayaacha?Mange Kimambi ulimuona?
Eeenh Heee, hii ya "MAGARI YA KIJANI", mbona kuna neno hapo!Wewe umeona ukiwa unaendesha gari la rangi gani?
Maana nimeishia hapo uliosema umeona sijui akina nani wakiendesha magari ya kijani..!
Watu wa Lumumba bwana..mmekuja kwa staili ya ndoto saivi ...nyie endeleeni na mambo yenu mbona mnababaika sana ..si mlishajipa ushindi wa kishindo ..kila mtu afanye mambo yake.
Halafu kijana nakusikitikia, huna kazi huna lolote unalofanya, una njaa, huna pesa, unaanza kuiota bongoland shauri lako
Ndugu njia ya kwanza kupima maono au ndoto ya Mungu ni kutazama ulichokiona Kama kina endana na neno la Mungu .
Kwa ufupi, hiki ulichokiona ni mtazamo juu ya kiu ya kufanikiwa uliyonayo ila has nothing to do with the future of this nation.
Kibiblia siku zijazo zitakua nzito kuliko zilizopo leo.
Asomaye na afahamu