Sasa ni Rasmi Magufuli amegoma kufa!

JF Member

JF-Expert Member
Dec 14, 2014
7,393
9,675
Wamekufa viongozi wengi wa nchi hii, lakini wakati wote Magufuli anaonekana kuongelewa kila mara na kila sehemu.

Wengine wanasema angekuwepo tungekuwa nchi ya ahadi kwa sasa, wengine wanasema bwana la Nyerere lingekuwa limeshaisha na hivyo mgawo wa umeme tungekuwa tunausikia tu.

Treni Dar Dodoma ingekuwa tayari. Upigaji wa hela za umma ungekuwa mdogo sana.

Hadi 2030 tutasikia mengi.

Jana watu walilia, mkuu wa majeshi mstaafu alilia.
 
Anawezaje kufa yule mwamba!
Kile killikuwa kichwa haswaa! Wajinga wajinga walinyooka.

Yule dingi noma sana.
Akisema sitaki ujinga anamaanisha kweli na zile kauli zake na sauti yake kama umevurunda, lazima
unazimia ukisia sauti yake.

Mola amupe pumziko la milele Jiwe
 
Wamekufa viongozi wengi wa nchi hii, lakini wakati wote Magufuli anaonekana kuongelewa kila mara na kila sehemu.

Wengine wanasema angekuwepo tungekuwa nchi ya ahadi kwa sasa, wengine wanasema bwana ya nyerere lingekuwa limeshaisha na hivyo mgao wa umeme tungekuwa tunausikia tu.

Treni Dar Dodoma ingekuwa tayari. Upigaji wa hera za umma ungekuwa mdogo sana.

Hadi 2030 tutasikia mengi.

Jana watu walilia, mkuu wa majeshi mtaafu alilia.
Kwani mgao Bado upo? Si Samia ameshUmaliza tayari. Au mmeshakisa Cha kubadili tena. Samia atawaumiza sana nyie vimbwenerehi
 
Naona kama Magufuli {RIP} amezidi kupata umaarufu kwasababu mbalimbali, amekuwa akisemwa sana na makundi kadhaa..

- Wanaoamini marehemu hasemwi vibaya licha ya mabaya yake.

- Utata juu ya mazingira ya kifo chake.

- Uwepo wa miradi ya kimkakati aliyoiacha; ambayo mingine kama JNHPP ndio umemaliziwa hivi karibuni na kuanza kazi japo kwa kiwango kidogo lakini kutuondolea ule mgao uliokuwepo karibia miezi sita.

- Waliopata nafasi ya kutumbua awamu hii; hawa wanamtumia Hayati Magufuli kama kielelezo cha kiongozi mbovu ili kutuzubaisha tusiwakumbuke wanavyotuumiza chini ya mama yao.

- Uwepo wa kundi la SG; hili linaaminika chimbuko lake ni kutokana na utawala wa awamu ya tano, wengi wanaamini lipo serikalini na nguvu hasa kanda ya Ziwa lilipo. Hapa wanatajwa kina Bashiru, Dotto...

- Mbio za kuelekea uchaguzi mkuu 2025; vita ya makundi ya Urais inapelekea kutajwa kwa kundi la SG, likionekana nalo lina nguvu ya kutoa mgombea wao, na kumuunga mkono kuelekea vikao vya maamuzi ndani ya Chama Cha Mapinduzi.
 
Wamekufa viongozi wengi wa nchi hii, lakini wakati wote Magufuli anaonekana kuongelewa kila mara na kila sehemu.

Wengine wanasema angekuwepo tungekuwa nchi ya ahadi kwa sasa, wengine wanasema bwana ya nyerere lingekuwa limeshaisha na hivyo mgao wa umeme tungekuwa tunausikia tu.

Treni Dar Dodoma ingekuwa tayari. Upigaji wa hera za umma ungekuwa mdogo sana.

Hadi 2030 tutasikia mengi.

Jana watu walilia, mkuu wa majeshi mtaafu alilia.
Kufa ni kufa tu, kufa maana yake huwezi kuzungumza wala kutenda tena...hata akina Idd Amin wanazungumzwa lakini haimaanishi kuwa hawajafa
Au yule kibaka Dangote wa Arusha
 
Wamekufa viongozi wengi wa nchi hii, lakini wakati wote Magufuli anaonekana kuongelewa kila mara na kila sehemu.

Wengine wanasema angekuwepo tungekuwa nchi ya ahadi kwa sasa, wengine wanasema bwana ya nyerere lingekuwa limeshaisha na hivyo mgao wa umeme tungekuwa tunausikia tu.

Treni Dar Dodoma ingekuwa tayari. Upigaji wa hera za umma ungekuwa mdogo sana.

Hadi 2030 tutasikia mengi.

Jana watu walilia, mkuu wa majeshi mtaafu alilia.
Wapumbavu na wajinga ndio wanakumbuka dikteta katili muuaji
 
Wamekufa viongozi wengi wa nchi hii, lakini wakati wote Magufuli anaonekana kuongelewa kila mara na kila sehemu.

Wengine wanasema angekuwepo tungekuwa nchi ya ahadi kwa sasa, wengine wanasema bwana ya nyerere lingekuwa limeshaisha na hivyo mgao wa umeme tungekuwa tunausikia tu.

Treni Dar Dodoma ingekuwa tayari. Upigaji wa hera za umma ungekuwa mdogo sana.

Hadi 2030 tutasikia mengi.

Jana watu walilia, mkuu wa majeshi mtaafu alilia.
Hata Adolph Hitler amegoma kufa tangu mwaka 1945.

Mijitu miuaji, mijitu midhalimu, mijitu mikatili tutaijadili sana ili taifa letu lisiingie tena kwenye makosa ya kuleta SHETANI kuwa Rais wa nchi yetu pendwa
 
Back
Top Bottom