JAMANI mimi napenda kuuliza hivi katiba hii tunayotaka kuitengeneza ni wana Dar es Salaam tu, au ni Watanzania wote. Kama ni hivyo kwanini basi karibu >90% ya WAJUMBE wa Tanganyika/Tanzania Bara.
Mimi nihamasisha pia sisi watu wa MIKOANI (SIC) tugomee hii tume ya katiba kwasababu is not REPRESENTATIVE OF THE COUNTRY.
Mimi nihamasisha pia sisi watu wa MIKOANI (SIC) tugomee hii tume ya katiba kwasababu is not REPRESENTATIVE OF THE COUNTRY.