mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
Jaji Ramadhani ni mtu wa kujipendekeza sana, weak, hana msimamo. nafasi hiyo apewe jaji kisanga.
Humu pia angekuwemo Jenerali Ulimwengu, Issa Shivji na Ananilea Nkya
Humu pia angekuwemo Jenerali Ulimwengu, Issa Shivji na Ananilea Nkya