Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    540
Ushahidi kuwa Dunia ni duara uko wazi kabisa, tumia jua! Linaanza kutoka mashariki lakini haliwaki dunia yote linawaka kidogo kidogo na kuzama hivyo hivyo

Ingekuwa flat lingekuwa linawaka kwa wakati mmoja au linazama kwa wakati mmoja, nafikiri wanaosema ni flat wanaacha hii evidence makudi

Kitu kingine tusichanganye dini na sayansi, ukivichanganya na kulazimisha viwe kitu kimoja utakuwa haueleweki
Tatizo umejiandaa kubishana wakati uzi haumlazimishi mtu kuuamini bali unakupa fursa yakutafakari ukweli ni upi na ukiona ni uongo basi amin ukweli uuaminio. Tunaoamini ni flat wengi tumeisoma dunia mviringo kama wewe yaani tuna habari nayo na mpaka ushahidi wa mviringo wake, upatikanaji wa majira kuzama na kuchomoza kwa jua, kupatwa kwa jua na mwezi mpaka mizunguko ya dunia yenyewe kulizunguka jua kujizungusha nk... Hivyo vyote tumejifunza shuleni it keans kabla ya shule tulikua hatujui dunia ikoje au sisi tupo wapi na sidhani kama ulikua unaweza kuamini kua dunia ni mviringo na sisi tumo juu yakenna kuna wakati tunakua kichwa chini miguu juu... Ila kupitia mafunzo darasani tukaoneshwa na picha, video za dunia yetu basi kuanzia hapontukaamini tupo ktk dunia duara mviringo.

Sasa basi, hivyo vyoooote vinavyosapoti uduara mviringo wa. Dunia, vimepingwa kwa hoja baada ya hoja na hadi evidence ya namana dunia ilivyo flat yaani duara tambarare, na jua na mwezi vikizunguka juu yake.

Hivi ni mjinga gani wa kisayansi awezae kupinga hoja bila hoja, yaani akwambie dunia sio mviringo ni flat bila kukupa hoja kua ni flat.? Hivyo basi usilazimishe kuelewa wewe mwenyewe kabla ya anayekujuza hajamaliza kukuelewesha yaani kama kweli unataka kupinga hoja ya dunia kuwa ni flat, inakubidi upoteze muda kweli kuisoma hiyo dunia flat kama ulivyoisoma duara kisha linganisha hoja ya huku na huku juu ya suala moja. Hapa na maanisha, ukitaka kujua kwenye flat earth usiku na mchana tunaupataje, anza kuusoma huu uzi wote mpaka ya wachangiaji maana wapo waliouliza na wakajibiwa vizuri tuu. Au kama vp tembelea youtube au google "day and night flat earth" na ukiona je itakufanya uamini?

Vitu vingi tunafundishwa kwa theory ndio maana mwalimu wa kwanza huwa anaaminiwa sana, maana hakuna hata mmoja wa kuthibitisha uduara wa dunia kwa kuuona yeye mwenye zaidi ya picha na video za NASA!

Kuhusu kuwa angani na kuuona uduara wa dunia wala sio uthibitishonwa uduara huo! Maana ukitaka kuuona hata ukiwa ardhini unaweza kuuona tena vizuri tuu ila sio kwa macho yako bali kwa msaadabwa lenzi mbinuko kama inayopatikana ktk vioo vya ndege na camera nyingi... Tafuta lens ya fish eye, hata ukiwa ardhini dunia itaonekana duara vp usipoitumia mbona uduara unapotea? Kwahiyo mkweli macho yetu au lenzi?

Uzi huu ni elimu kama masomo mengine ila haipo ktk mitaala yetu tuu, laiti kama utawafundisha wasio na habari ya dunia ni duara kama mpira, basi unaweza kukesha nao kuwaambia dunia sio duara flat, so ile elimu ya mwanzo ndio iwanyimao tafakuri watu wengi na hasa waaminio walitokana na Nyani!
 
MWezi una reflect mwanga wa Jua. Mwezi uko juu ya jua na unaliona jua muda wote hata wewe ukitaka kujua direction ya jua lilipo wakati wakati wa usiku angalia mwezi.. Sehemu ya mwanga wa mwezi ni ile inayomuoikwa na jua tuu ndio maana kuna wakati mwezi unakua kama nusu kutokana na umbali katinyake na jua katika kuizunguka dunia.
naomba ufkirie nje ya box kdg.hivi kwann mwezi uonekane full mda mwingine mchana na siku zingine unaonekana ukiwa cresent/mbalamwezi na wakti huo huo hata kwa macho tuu unaona distance ya jua na mwezi ziko ktika ukaribu ule ule...hiyo kuambiwa sijui jua liko mbali au chini ifanye reseach.A... Now research B.ni kweli mwezi unaproduce light yake??...utapatas jibu...hivi unajua hata nyota huweza kuonekana mchana ila huwa zinazidiwa mwanga na jua ndio maana hazionekani pili ni kuwa zipo mbali kuzidi mwezi..Ukitaka uzione labda itokee solar eclipse/kupatwa kwa jua.hapo ndo utajua nyota zipo hadi mchana.
hiyo ina maana hata nyota huwa ziko na mwanga wake/nuru binafsi....iweje mwezi usiwe na mwanga wake???????...mwezi utakua huwa unaonekana mchana kwakuwa unajitegemeam mwanga na upok karibu na dunia hivyo huweza kun'gaa hata mchana.
swala la mwezi kugeuka mwanga kutokea mbalamwezi hadi mwezi mzima inawezekana hii ni njia aliyoifuma Mwenyezi MUNGU ili binadamu tujue majira na kalenda ..ikiwa kama muujiza wa MUNGU Watu wakaunda style mpya ya kalenda lakini ikiwa inafuata mwezi...mbona kalenda isifuatane na jua kila mwezi?.haata swala la dunia kuwa imemaliza mzunguko ktk jua baada ya mwaka mmoja pia ni uongo..hiyo ni poteza maboya ili tusijue kuwa waliiga calenda ya MUNGU aliyoianzisha kupitia mwezi....
take that bro.work on it...
 
Kaka hawa watu kuwaelewesha ni vigumu,mtu kaaminishwa toka mdg kumchoa kwenye hiyo imani tena na mipicha iliombatana video wanazifaam hahahaaa unajua nacheka mpka co vzr,kuna movie FLANI hivi zile movie ni mfumo wa CGI kuna STAR TREK and STAR WAR,sasa bac kama mtu unaakili timamu muonekano wa mandhali za mule na hawa nini hawa wanajiita cjui SPACE on line cjui live hakuna utofauti wa picha za mule na dunia ya tufe wanayo iamoni wao...KAKA HAO HUWEZI KUWAAMISHA DUNIA NI TUFE WAKAKUELEWA NEVER....


ili tukomae kila mtu kivyake tuendelee kuwekeana BATTLE tu,wabaki na dunia yao ya tufe unajua napoandika nacheka kinoma,mzungu hana adabu hata kidg,kuna mwingine huko juu katyp cc ni black ni brain ziro nimependa hiyo kauli sababu tuliwahiwa ni sawa na kumlea mtoto na katka malez yake ukamuaminisha mungu ni upepo hatakupinga na mpka kufa kwakwe atabaki kuamini UPEPO ni mungu....




Watu wamesoma bwana sayar ziko vp na wanajua ilo tufe linajongea kwny orbit kwa speed ya hatar ambayo kiuhalisia ilibidi tudondoke kabisa licha ya kupata kizunguzungu.....



Watu wana mipicha ya CGI wanaituma humu wanakwambia ndivyo ulimwengu ulivyo.....hahahahaaa au MSISAHAU HATA MACHO YANA UKOMO WA KUTIZAMA NA YANA ROUND IMAGE YA TAZAMIO LAKE......



kaka hawa ni wa BATTLE tu kila mti aamini vyake.....tuendeleze bato...tunadanganyana ukubwa wa jua nani alienda kulipima?!
 
Kaka hawa watu kuwaelewesha ni vigumu,mtu kaaminishwa toka mdg kumchoa kwenye hiyo imani tena na mipicha iliombatana video wanazifaam hahahaaa unajua nacheka mpka co vzr,kuna movie FLANI hivi zile movie ni mfumo wa CGI kuna STAR TREK and STAR WAR,sasa bac kama mtu unaakili timamu muonekano wa mandhali za mule na hawa nini hawa wanajiita cjui SPACE on line cjui live hakuna utofauti wa picha za mule na dunia ya tufe wanayo iamoni wao...KAKA HAO HUWEZI KUWAAMISHA DUNIA NI TUFE WAKAKUELEWA NEVER....


ili tukomae kila mtu kivyake tuendelee kuwekeana BATTLE tu,wabaki na dunia yao ya tufe unajua napoandika nacheka kinoma,mzungu hana adabu hata kidg,kuna mwingine huko juu katyp cc ni black ni brain ziro nimependa hiyo kauli sababu tuliwahiwa ni sawa na kumlea mtoto na katka malez yake ukamuaminisha mungu ni upepo hatakupinga na mpka kufa kwakwe atabaki kuamini UPEPO ni mungu....




Watu wamesoma bwana sayar ziko vp na wanajua ilo tufe linajongea kwny orbit kwa speed ya hatar ambayo kiuhalisia ilibidi tudondoke kabisa licha ya kupata kizunguzungu.....



Watu wana mipicha ya CGI wanaituma humu wanakwambia ndivyo ulimwengu ulivyo.....hahahahaaa au MSISAHAU HATA MACHO YANA UKOMO WA KUTIZAMA NA YANA ROUND IMAGE YA TAZAMIO LAKE......



kaka hawa ni wa BATTLE tu kila mti aamini vyake.....tuendeleze bato...tunadanganyana ukubwa wa jua nani alienda kulipima?!
hahaaaah.nikweli mzungu adabu hana bhna...hata kuficha habari za MUUMBAJI hana aibu kabsa
.hawa ndugu dawa yao ni ukiona kakazana dunia ni tufe bas tunamuachia tufe lake apambane nalo...
 
naomba ufkirie nje ya box kdg.hivi kwann mwezi uonekane full mda mwingine mchana na siku zingine unaonekana ukiwa cresent/mbalamwezi na wakti huo huo hata kwa macho tuu unaona distance ya jua na mwezi ziko ktika ukaribu ule ule...hiyo kuambiwa sijui jua liko mbali au chini ifanye reseach.A... Now research B.ni kweli mwezi unaproduce light yake??...utapatas jibu...hivi unajua hata nyota huweza kuonekana mchana ila huwa zinazidiwa mwanga na jua ndio maana hazionekani pili ni kuwa zipo mbali kuzidi mwezi..Ukitaka uzione labda itokee solar eclipse/kupatwa kwa jua.hapo ndo utajua nyota zipo hadi mchana.
hiyo ina maana hata nyota huwa ziko na mwanga wake/nuru binafsi....iweje mwezi usiwe na mwanga wake???????...mwezi utakua huwa unaonekana mchana kwakuwa unajitegemeam mwanga na upok karibu na dunia hivyo huweza kun'gaa hata mchana.
swala la mwezi kugeuka mwanga kutokea mbalamwezi hadi mwezi mzima inawezekana hii ni njia aliyoifuma Mwenyezi MUNGU ili binadamu tujue majira na kalenda ..ikiwa kama muujiza wa MUNGU Watu wakaunda style mpya ya kalenda lakini ikiwa inafuata mwezi...mbona kalenda isifuatane na jua kila mwezi?.haata swala la dunia kuwa imemaliza mzunguko ktk jua baada ya mwaka mmoja pia ni uongo..hiyo ni poteza maboya ili tusijue kuwa waliiga calenda ya MUNGU aliyoianzisha kupitia mwezi....
take that bro.work on it...
Unachotakiwa kujua ni speed ya mwezi na jua ambapo jua linauacha mwezi kwa dakika kama 50 hv. Hivyo kuna uwezekano wa jua kuzungukq mpaka kuukuta mwezi. Katika safari hyo kila mwezi humulikwa kwa engo tofauti tofauti na sehem isiyopata mwanga hubaki giza, hvyo basi hata usipouona mwezi jua upo na unapita palepale ila kwa walio upande unaomulikwa wataendelea kuuona kama kawaida. Kahiyo mwezi kuwa full au robo au nusu ni matokeo ya jua lilipo na mwezi ulipo ingekua safari yao ni mwendokasi sawa basi tusingekua tunapata kuuona ktk shape tofauti tofauti, hivyo jua kuna wakati mwezi huwa nyuma na kuna wakati huwa mbele ya jua.
 
Unachotakiwa kujua ni speed ya mwezi na jua ambapo jua linauacha mwezi kwa dakika kama 50 hv. Hivyo kuna uwezekano wa jua kuzungukq mpaka kuukuta mwezi. Katika safari hyo kila mwezi humulikwa kwa engo tofauti tofauti na sehem isiyopata mwanga hubaki giza, hvyo basi hata usipouona mwezi jua upo na unapita palepale ila kwa walio upande unaomulikwa wataendelea kuuona kama kawaida. Kahiyo mwezi kuwa full au robo au nusu ni matokeo ya jua lilipo na mwezi ulipo ingekua safari yao ni mwendokasi sawa basi tusingekua tunapata kuuona ktk shape tofauti tofauti, hivyo jua kuna wakati mwezi huwa nyuma na kuna wakati huwa mbele ya jua.
haya unayosema ni kwa mujib wa NASA..na hili shirika mimi siiaminigi tena kwa asilimia zote..challenger walituchora..moon landing ni movie tuu.soo ata story za jua nahis ni fix tuu
 
Watu wanaoamini mambo ya Freemasons, illuminati, new world order , secret societies ni watu waliochanganyikiwa Kama mleta huu uzi.
 
haya unayosema ni kwa mujib wa NASA..na hili shirika mimi siiaminigi tena kwa asilimia zote..challenger walituchora..moon landing ni movie tuu.soo ata story za jua nahis ni fix tuu
Endelea kunisoma utanielewa nasimamia upande upi?
 
Endelea kunisoma utanielewa nasimamia upande upi?
sawa mkuu..nmepata mpya juzi.ni kuwa science haijaweza kujibu swali la .je ni kwa nn mwezi huonekana ukiwa mkubwa ukiwa katika horizon...tofaut na unavyoonekana ukiwa katika anga...bado wanaumiza vichwa kujua sababu hasa ni ipi...
 
Ushahidi kuwa Dunia ni duara uko wazi kabisa, tumia jua! Linaanza kutoka mashariki lakini haliwaki dunia yote linawaka kidogo kidogo na kuzama hivyo hivyo

Ingekuwa flat lingekuwa linawaka kwa wakati mmoja au linazama kwa wakati mmoja, nafikiri wanaosema ni flat wanaacha hii evidence makudi

Kitu kingine tusichanganye dini na sayansi, ukivichanganya na kulazimisha viwe kitu kimoja utakuwa haueleweki
Watu hawafikirii kuhusu jua, wakitoa vitu google wanavileta hapa
 
Tatizo umejiandaa kubishana wakati uzi haumlazimishi mtu kuuamini bali unakupa fursa yakutafakari ukweli ni upi na ukiona ni uongo basi amin ukweli uuaminio. Tunaoamini ni flat wengi tumeisoma dunia mviringo kama wewe yaani tuna habari nayo na mpaka ushahidi wa mviringo wake, upatikanaji wa majira kuzama na kuchomoza kwa jua, kupatwa kwa jua na mwezi mpaka mizunguko ya dunia yenyewe kulizunguka jua kujizungusha nk... Hivyo vyote tumejifunza shuleni it keans kabla ya shule tulikua hatujui dunia ikoje au sisi tupo wapi na sidhani kama ulikua unaweza kuamini kua dunia ni mviringo na sisi tumo juu yakenna kuna wakati tunakua kichwa chini miguu juu... Ila kupitia mafunzo darasani tukaoneshwa na picha, video za dunia yetu basi kuanzia hapontukaamini tupo ktk dunia duara mviringo.

Sasa basi, hivyo vyoooote vinavyosapoti uduara mviringo wa. Dunia, vimepingwa kwa hoja baada ya hoja na hadi evidence ya namana dunia ilivyo flat yaani duara tambarare, na jua na mwezi vikizunguka juu yake.

Hivi ni mjinga gani wa kisayansi awezae kupinga hoja bila hoja, yaani akwambie dunia sio mviringo ni flat bila kukupa hoja kua ni flat.? Hivyo basi usilazimishe kuelewa wewe mwenyewe kabla ya anayekujuza hajamaliza kukuelewesha yaani kama kweli unataka kupinga hoja ya dunia kuwa ni flat, inakubidi upoteze muda kweli kuisoma hiyo dunia flat kama ulivyoisoma duara kisha linganisha hoja ya huku na huku juu ya suala moja. Hapa na maanisha, ukitaka kujua kwenye flat earth usiku na mchana tunaupataje, anza kuusoma huu uzi wote mpaka ya wachangiaji maana wapo waliouliza na wakajibiwa vizuri tuu. Au kama vp tembelea youtube au google "day and night flat earth" na ukiona je itakufanya uamini?

Vitu vingi tunafundishwa kwa theory ndio maana mwalimu wa kwanza huwa anaaminiwa sana, maana hakuna hata mmoja wa kuthibitisha uduara wa dunia kwa kuuona yeye mwenye zaidi ya picha na video za NASA!

Kuhusu kuwa angani na kuuona uduara wa dunia wala sio uthibitishonwa uduara huo! Maana ukitaka kuuona hata ukiwa ardhini unaweza kuuona tena vizuri tuu ila sio kwa macho yako bali kwa msaadabwa lenzi mbinuko kama inayopatikana ktk vioo vya ndege na camera nyingi... Tafuta lens ya fish eye, hata ukiwa ardhini dunia itaonekana duara vp usipoitumia mbona uduara unapotea? Kwahiyo mkweli macho yetu au lenzi?

Uzi huu ni elimu kama masomo mengine ila haipo ktk mitaala yetu tuu, laiti kama utawafundisha wasio na habari ya dunia ni duara kama mpira, basi unaweza kukesha nao kuwaambia dunia sio duara flat, so ile elimu ya mwanzo ndio iwanyimao tafakuri watu wengi na hasa waaminio walitokana na Nyani!
Mkuu, mwezi na jua navyo ni flati???
 
W
Watu wanaoamini mambo ya Freemasons, illuminati, new world order , secret societies ni watu waliochanganyikiwa Kama mleta huu uzi.
Wanasumbua na kuamini hivyo...... Yaani kinachootaka kuguswa ni freemasons tuu
 
Watu wanaoamini mambo ya Freemasons, illuminati, new world order , secret societies ni watu waliochanganyikiwa Kama mleta huu uzi.
Jiwe walilolikataa wajenzi limekuwa limekuwa jiwe kuu la pembeni.

Kifupi hayo majina yasikuchanganye, kama unaamini uwepo wa shetani, na si unatakiwa ujue jinsi gani anafanya kazi.

Mungu anatumia wanadamu kutekeleza malengo yake hapa duniani na pia shetani anatumia binadamu.

Kama Mungu watu wa Mungu wataunda taasisi zao kama makanisa kutimiza malengo ya Mungu, pia watu wa shetani pia nao wataunda taasisi zao kutimiza malengo ya shetani.

Uzuri taasisi za Mungu zenyewe ziko wazi, maana Mungu ni nuru, lakini ukija kwa shetani yeye anafanyia mambo gizani au kwa kujificha.

Ila kama hauamini uwepo wa shetani ndugu yangu hapo ziwezi kukusaidia. Lakini kama unaamini yupo you need to know that ana taasisi zake na zipo kwa jina secret societies, na zipo nyingi tu, na hasa ukizingatia yeye ndio mtawala wa dunia hii.
 
Leo nikichukua private jet from Dar es salaam nikahead eastwards assuming that sihitaji refuelling lazima nitarudi Dar es salaam, bila ya kubadili direction.

Unaweza kutetea point kwa kuuzingatia huu mfano wangu?
 
Leo nikichukua private jet from Dar es salaam nikahead eastwards assuming that sihitaji refuelling lazima nitarudi Dar es salaam, bila ya kubadili direction.

Unaweza kutetea point kwa kuuzingatia huu mfano wangu?
Mfano wako ndio mifano tuliyoaminishwa, coz hakuna aliyewahi kuthibitisha hilo la ukieleekea upande mmoja mnyoofu utatokea palepale, na wanapenda kutumia east na west vp kuhusu noth na south, je ukieleekea upande wa kusini ktk muelekea mnyoofu utatokea palepale?

Unaweza kututhibitishia juu ni wapi!? Ni kwanini wanaoendaga anga za mbali wanaeleekea angani na si east au west noth au south?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom