Siri imefichuka, Rostam Aziz ainunua Clouds Media

Siri imefichuka, Rostam Aziz ainunua Clouds Media

Status
Not open for further replies.
Tulishasikia EL alinunua tangu mwaka juzi sasa tushike lipi?
 
Clouds FM ni redio ya Kikwete kusaga alikua boya tuu
 
Acheni wivu ule aliowahi kukemea Msekwa alipokuwa Spika!!! Kwani hujui kama hata kampuni ya simu za mkononi ya Zantel kwa sasa iko mikononi mwake?
 
Alienunua Clouds Media sio Ristam, ni Edward Lowassa, taratibu za kuinunua zilianza tangu mwaka uliopita???

Huyo Rostam ni mpambe tu wa Lowassa, hawa watu wawili hawana nia nzuri na nchii hii!

Ee Mungu ibariki Tanzania
 
Ni miaka miwili kama sio mitatu tangu Rostam awe mmiliki wa Clouds pengine mmechelewa kufahamu.
 
Na Kwamba Kununuliwa Huku Kwao Hao Ni Politically motivated


motivated kwa nani ? mnunuzi au walionunuliwa?
 
Nivizuri kumsikiliza kila mtu anachojua yeye huenda wewe hukujui hivyo anzia hapo alipoishia huenda nawe ukayajua
 
Kwani mwanzilishi wa clouds media aliwaambia lengo lake ni nini!!?
Mbona mnataabika na kitu kisicho wahusu!!??
 
Hili tumeshajadili humu kitambo...Kusaga ameshaiuza Clouds ......kama mnasubiri aite press kutangaza ngojeni tu.......
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom