Siri gani ipo nyuma ya namba 40(arobaini)?

Siri gani ipo nyuma ya namba 40(arobaini)?

Doyi

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2011
Posts
1,783
Reaction score
2,208
Heshma kwenu wadau.

Nimekuwa nikijiuliza maswali meng ni kipi kilicho katika namba 40. Najiuliza hvo kwa kuwa inasadikiwa(sina uhakika) kuwa huwez kuwa rais wa tanzania hadi uwe na umri wa kuanzia miaka 40 na kuendelea

Pia, wazungu wana msemo wao wanasema LIFE STARTS AT 40, pia waislam wanaamini kuwa mtume muhammad(s.a.w.) alipewa utume akiwa na miaka 40,pia wakristo wanaamini bwana yesu alifunga bila kula chochote kwa siku 40

Mtu akifa zikipita siku 40 anafanyiwa kumbukumbu ya kumwombea dua,pia inasadikiwa mvua ya gharika enzi za nabii nuhu zilidumu kwa sku 40.

Mwana Jf hebu rusha events zinazohusisha namba 40 na utupe nini unaelewa katka hlo.

Nawasilisha
 
Let 40 is equal to 40 + 0

Then we equate kanumbas hitma was after 40 days with some 40s freemason including diamond who promise to date 40 ladies.
 
Mwanadamu ameumbika hivi akiwa tumboni (mimba), siku 40 za mwanzo damu, siku 40 zinazofuata pande la nyama, baada ya siku 40 tena kiumbe kamili. n.b:
'mafundisho haya yanapatikana kwa waislamu'
 
from theological point of view, 40 ni ishara ya matayarisho au maandalizi ya jambo
 
Mie wife alipojifungua festborn wetu niliambiwa nisimchombeze mpaka baada ya siku ya 40.
 
wanajf hili jambo ambalo linaisumbua kidogo juu ya hill suala la arobaini kwani mambo mengi wanahusisha siku arobaini nitakupeni mifano michache; ukitaka kufunga kidini hufunga kwa siku arobaini, mama akijifungua huanzakutombwa baada ya siku 40, mtoto akizaliwa huanza kutolewa nje baada ya siku 40, ukifiwa mama hukaa eda siku 40, honeymoon watu hukaa siku 40 na mengine mengi ila nisaidie penye arobaini inayohusisha mambo ya mapenzi huwa inamaana gani kwaanaejua nijuzen hapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom