Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,660
- 7,948
Nina uhakika dishi limeyumba sio mzima wewe eti na wewe unashauri nimekudharau kupita kiasi miaka hii Kuna mtaa hauna mapacha au ulishasikia wameuwawa kwa taarifa yako ninao wajua Mimi walikufa kwa magonjwa ya mungu sio kwa uchawi ulionao wewe, wewe ndo mchawi umeacha kujibu swali unaanza kujifanya mshauri wa upuuzi mi nafanya utafiti soma vizuri thread yangu uielewe na uhakika walimu walipata majibu ya opposite sana kwa akili yako hiyo
Haaa haaa haaaa naona umepotea uwanjani tayari. Mimi ni akili kubwa. "proactive mind" , sitaki kusubiria uue mapacha wetu baadae tuanze kulialia oooh oooh alikuwa anauliza humu JF , kumbe ni mshirikina.
Pia, kumbuka ulivyokuwa na haki ya kuuliza nami nina haki ya kujibu na kutoa maoni yangu siyo lazima nijibu upendavyo.
Wewe hapo, akili yako ndiyo ndogo sana sana, hadi unafikia kufanya huo utafiti yaani huelewi hata concept ndogo sana kuwa mapacha ni kama binadamu wengine wowote , ambao huishi eneo moja la familia wakati wa utoto kisha huelekea maeneo tofauti tofauti kutafuta maisha katika nyanja kama hizi:- masomo, kazi/kuajiriwa, biashara ama kilimo.
Ulivyo, kihiyo unadhania kuwa kwa sababu ni mapacha basi hadi umri wa miaka 40s+ wako wanakaa kiti kimoja, nguo sare, nyumba wanaishi moja ,wanaambatana kama vifaranga wa bata na kufanya kila kitu pamoja kama walivyokuwa na miaka 0-5.
Tena wewe ni bogus kabisa, hujui kuwa hata mapacha ni wachache sana katika jamii, kwa mfano, kijiji au mtaa wenye familia 1000 unaweza ukute kuna familia moja tu au hakuna yenye watoto mapacha.
Kwa kifupi, tambua kuwa wapo wengi sana wenye miaka 40's+ ila kwa sababu , wewe ni kilaza huwezi ulewa sababu zingine za kutowaona wenye hiyo rika.
Mwisho, ningekuwa katika panel ya defense ya research (thesis) yako ningekupatia 1/100. Kwa sababu hujui kitu kabisa.
Wewe, ni kilaza namba moja.