Siri gani iko kwa watoto mapacha

queen of the jungle

JF-Expert Member
Mar 17, 2017
228
429
Habari za saizi sijui ni umri au nini Mimi toka nizaliwe sijawahi kuona mapacha woote wawili waliofikisha miaka 45 na kuendelea wengi hubakia mmoja na ndiye anayedumu na Mara nyingi nimeona mmoja asipokufa akiwa ni mdogo basi kwenye umri wa miaka 20 au 30 hufariki
Nimejaribu kujiuliza peke yangu naomba mnisaidie kama kuna mtu anawajua mapacha wowote wenye umri zaidi ya 45 na wote wako hai anisaidie kabla sijaendelea na utafiti wangu
 
Hakuna siri yoyote, na ulichiandika ni uongo.
Kama ni kweli jibu haya....
1. Nini chanzo/tatizo la utafiti wako?
2. Lengo la huo utafiti ni?
3. Utafiti unafanyika eneo gani?
4. Utahoji watu wangapi?
5. Utafiti umepangwa kukamilika kwa muda gani na ulianza lini?
6. Nani anagharamia huo utafiti?
7. Jibu kwanza hayo....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hakuna siri yoyote, na ulichiandika ni uongo.
Kama ni kweli jibu haya....
1. Nini chanzo/tatizo la utafiti wako?
2. Lengo la huo utafiti ni?
3. Utafiti unafanyika eneo gani?
4. Utahoji watu wangapi?
5. Utafiti umepangwa kukamilika kwa muda gani na ulianza lini?
6. Nani anagharamia huo utafiti?
7. Jibu kwanza hayo....
Mkuuu sifanyii mtihani yote hayo jibu kama ulishawahi waona mapacha waliozeeka ova
 
Mimi ni pacha nina 33 years na tupo vizuri na mwenzangu (All men) sote wawili tumebahatika kupata elimu ya juu kwa GPA nzuri tuu na tunaendelea kupambana na maisha kila siku, hakuna tofauti kati yetu na ndugu zetu wengine.
Acha imani potofu za kishirikina kwani umri wako haukuruhusu kuwa mshirikina.
 
2c60b3d615c604b852d59d303195e77e.jpg
msisitizo wamevuka 45 na mungu atawafanya wafike hata 100
 
Ukitaka kujua kwanini Mange ni rahisi kupata wafuasi angalia tu mfano mmoja hapa. Hivi huyu akiambiwa na Mange chochote atabisha kweli si atamkubalia tu na kusema asante kwa kunifungua nilikuwa sijui. Sasa watu kama hawa wapo mamilioni. Yaani tuna janga moja la hatariii kama taifa..:D:D:D..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom