Siri ambazo mwanamke hawezi kukueleza

Siri ambazo mwanamke hawezi kukueleza

Nadhani uzi huu...ina exclude madada wauza uchi (wadangaji)

Maana pesa atafunguka tuuu
 
Mkuu nenda tu kwenye hoja yako moja kwa moja.
Najiuliza kama una first hand experience na wanawake wa kishona kutoka Kusini mwa Afrika, yoote hayo uliyoeleza kwenye maada ni kinyume chake
 
Hapo kwenye Namba 5. Wengine huwa wanasema/wanakwambia!
 
Wanawake wengi sana hua wanabakwa. Wengi sana huwekewa dawa au vilevi bila kutaka.
Wengi hujikuta wamevuliwa nguo kilazima ingawa walisema hawakubaliani na hiko kitu.

Na wengi sana hua wanabaki na siri ya namna hii moyoni. Hua hawadiriki kumwambia mtu.
Mwanaume ukipata bahati ukaambiwa hili swala, jua umeaminiwa usilete ujinga sasa.
 
Hiyo namba saba ni uongo. Mwanamke ambaye hatosema mapungufu ya kimaumbile ni bikra tu kwakua anakua hana uzoefu. Makurumbembe yanakufungukia na hayarudi tena.
 
Back
Top Bottom