fahiya
Senior Member
- May 4, 2017
- 152
- 120
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Kwa nini pesa zisitengenezwe nyingi tukagawiwa wakati huu wa uhaba wa fedha
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Kwa nini pesa zisitengenezwe nyingi tukagawiwa wakati huu wa uhaba wa fedha
Mahari angu 20000/=tuu sina makuuSamua,njoo kwangu nikuoe,niambie kabisa mahari sh ngapi
Tunataka nyinyi ndo hamtakiHamtaki uke weza siku hizi
Njoo hukuHahaha......najipendekeza sana kwako lkn kama huoni vile[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Unamaanisha wanachangia baba mwenye jina miss?Hivi Miss chaga na Miss natafuta... hawa wanawake ni ndugu? [emoji89] [emoji85]
Kkkkkkkkkkkkkkk ata mimi nashangaaaa wote wa na pengo mbeleeeKwann mateja wala unga wanafanana?
Nilianza kujiuliza hili swali nikiwa na miaka 5 adi Leo sijapata jibunapenda kufahamishwa nia na madhumuni ya kuzaliana na kuijaza dunia halaf tunakufa ni nini... kuna siri gani kati hapa..!
kinaozaNini kinafuata badala ya kiumbe kufa???
kanda ya ziwaNingependa kujua anakotupeleka Maguli
wanafanya kaziMkulu na Bashite wakijifungia wawili huwa wanafanya na kuongea nin?