Sipendi watu wanafiki na waongo mimi

Sipendi watu wanafiki na waongo mimi

Status
Not open for further replies.
Upo Dar au?
Sema yule jamaa ako (daktari wa mchongo 😀) atakasirika zaidi, hapa tu kaninunia kisa kuzungumza na wewe
Niko buzebazeba acha tu😀
Chaulevi anataka watoto wazuri wote waende kwake! Sema uzuri wake ananuna siku mbili ya 3 anakuja kama sio yeye! Utamuona tu hanaga roho ya ?😊
 
😹😹😹 Humu kuna mambo mengi wee hujui tu..!!

Kuna crews mpk za wanaume, wanakula mbususu ya ke kisha wanakutana kupongezana. Hiyo crew ya Siri mpaka kuijua ufanye kazi. Halafu ya wakongwe sasaaaa upo nyonyo? 😹😹😹
Kuna mdau humu aliwahi kusema unaweza kuona mtu amekuganda ukajua unapendwa kumbe wenzio wamebet 😁
 
Kitendo cha kusema hupendi wanafiki na waongo utaambiwa unajifanya mtakatifu, humu ndani ni mwiko kusema msimamo wako, unatakiwa uwe unapita na kila kitu.
Mimi siwezi kufake walai tena, napenda wanawake wenzangu period, sio hadharani nakandia astaghafirullah kibao chemba nakuja kujibebisha nope sina pigo hizo, ndio maana nikasema bora mtu uwe neutral tu fresh
 
Kuna siri nikiziweka hapa litatokea balaa..!! 😹😹
Humu wanapokezana sana mboro na mmoja ikimnogea anaanza kupiga beat wengine wasimsogelee..!!

Wako sina khantwe ila km unao usisite kunipa..!! 😹
🤣🤣 Mungu wangu
 
😹😹😹 Humu kuna mambo mengi wee hujui tu..!!

Kuna crews mpk za wanaume, wanakula mbususu ya ke kisha wanakutana kupongezana. Hiyo crew ya Siri mpaka kuijua ufanye kazi. Halafu ya wakongwe sasaaaa upo nyonyo? 😹😹😹
Nipo titi,
Hehehehehehehehehe haloooooooooooo unajishebedua jukwaani kumbe kiuchi chako kinatembezwa huko pm watu wanakuchora tu,
Hiyo ya kubetiana kisha wanapongezana ilianza kitambo humu na wadada wengi walidhalilishwa wakapotea
 
Kuna mdau humu aliwahi kusema unaweza kuona mtu amekuganda ukajua unapendwa kumbe wenzio wamebet 😁
Wanaume wa humu waongo waongo na wadada wa humu urafiki wao wa kinafki..!!

Sema miongozo anazipasha, huruma namuonea udugu wangu mahonda anamkosea adabu sana..!!

Na Angel Nylon eti inasemekana 😹😹🏃‍♀️‍➡️🏃‍♀️‍➡️🏃‍♀️‍➡️🏃‍♀️‍➡️
 
Kuna mdau humu aliwahi kusema unaweza kuona mtu amekuganda ukajua unapendwa kumbe wenzio wamebet 😁
Hahahahaha nimecheka sana hii, tena wanaanzaga kwa kulike kila post ako, halafu anakufollow, halafu anajifanya mzee flani hivi wa ushauri mzuri, mzee wa mipango ya kimjini mjini, ukiingia kingi watu wanakula kamari yao
 
Na Angel Nylon eti inasemekana 😹😹🏃‍♀️‍➡️🏃‍♀️‍➡️🏃‍♀️‍➡️🏃‍♀️‍➡️
Aweeeee mtoto shika adabu yako dada ako huyo mpe heshima yake bhana,

Nimecheka kwenye comments za ule uzi wanasema mzee wa miongozo eti kafupi keusiiii ila wajaaa asa ana shida gani hata akiwa hivyo🤣🤣🤣
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom