SIPENDI WATU hawa

SIPENDI WATU hawa

Bado sijaelewa hii mada inamaana gani! toka kwenye kichwa cha habari hadi uchangiaji!

Mods mbona mnaacha mada kama hii inaendelea kuwa ndefu!!!
 
mbona ata sielewi kinachoongelewa??

Wee fuatilia tu taratibu mtoa mada akija (EMMA) utaelewa. Ni malenga fulani hivi. Hata mimi mwanzo sikuielewa ila baadaye niligundua. Si unajua hata katuni za KINGO ni picha tu hazina maneno lakini with time ukiichunguza vizuri utapata ujumbe, vile vile hii nayo imekaa kistyle yake.
 
Sipendi watu kama wewe Mruma,
Watu ambao hata kama unaona kwa mada ni pumba bado unachangia.
Siwapendi ninyi ambao msipoelewa kitu mnasema ni pumba badala ya kugundua kuwa mnachosema ninyi chaweza kuwa ndicho pumba.

Kutoka kwangu hii iko vizuri Emma M. Si unajua hata "Common Sense Is Not So Common"
 
Karibu
Hapendwi mtu hapa...

sipendi watu ambao hawatufanyi tufurahi hapa JF!!.
mkaribishe huyo bana bado mgeni ndo maana haelewi
icon10.gif
icon10.gif
 
J'ai peur d'être interdit madame femme de substance!,
la prochaine fois je le ferai!

sospeno, knoliginso fokolonyo espereto kukulanyika fackolodata. hajachambikola xerofrecosto la pelekelodata forkafoks ove de la shapu nde kwe lea so la mini costo valoa sdo kilo savan zo to do.

Upo hapo!
 
mbona ata sielewi kinachoongelewa??

Sipendi watu kama wewe KHALIDS,
Watu ambao hupenda wenzao waongee kwanza ndipo waelewe.
watu wasiopenda kufikiri wenyewe.
Mara zote husema SIELEWI KINACHOONGELEWA.

Muulize hata SHAPU, anajua sipendi watu kama wewe.
 
Bado sijaelewa hii mada inamaana gani! toka kwenye kichwa cha habari hadi uchangiaji!

Mods mbona mnaacha mada kama hii inaendelea kuwa ndefu!!!

Sipendi watu kama wewe Hebrew,
Watu ambao wasipoelewa mada, hushawishi mods waiondoe,
Sipendi watu kama wewe unayetaka kuwafanya mods waonekane kuwa hawajui fasihi.
Sipendi watu kama wewe Hebrew usiyependa mambo tofauti na uliyoyazoea hadio kupewa thanks na NYARALEGO.
Sipendi kabisa,
 
Bado sijaelewa hii mada inamaana gani! toka kwenye kichwa cha habari hadi uchangiaji!

Mods mbona mnaacha mada kama hii inaendelea kuwa ndefu!!!

Sipendi watu kama wewe Hebrew,
Watu ambao wasipoelewa mada, hushawishi mods waiondoe,
Sipendi watu kama wewe unayetaka kuwafanya mods waonekane kuwa hawajui fasihi.
Sipendi watu kama wewe Hebrew usiyependa mambo tofauti na uliyoyazoea hadi kupewa thanks na NYARALEGO.
Sipendi kabisa,
 
Nami pia siwapendi watu kama wewe wasio malizia kitu wanacho taka kusema....

Sipendi watu kama NZALIKOKO,
Watu mnaodhani kuwa wenzenu hawajamaliza walichotaka kusema.
Sipendi watu kama wewe, mnaotaka kimalizwe kilicho kwisha kumalizwa.
Sipendi kabisa.
 
sasa nimekuelewa Emma ndio maana ukawa senior member!! Hongera
kwa Tungo tata yako...
 
Sipendi watu kama wewe Hebrew,
Watu ambao wasipoelewa mada, hushawishi mods waiondoe,
Sipendi watu kama wewe unayetaka kuwafanya mods waonekane kuwa hawajui fasihi.
Sipendi watu kama wewe Hebrew usiyependa mambo tofauti na uliyoyazoea hadi kupewa thanks na NYARALEGO.
Sipendi kabisa,

Hunijui namimi sikufahamu nawala sitaki kukufahamu!! wewe unataka kuigeuza JF kuwa kama the late UTAMU !!

So, lolote usemalo...I couldnt care less!!

Mods pls pls!!
 
Hunijui namimi sikufahamu nawala sitaki kukufahamu!! wewe unataka kuigeuza JF kuwa kama the late UTAMU !!

So, lolote usemalo...I couldnt care less!!

Mods pls pls!!

Mkuu Hebrew,
Pole kama unaumizwa. Lakini naomba hii iendelee kwa kuwa there some good staff coming along with. At time we should learn to experience the difference. Good enough sion any of the JF terms and conditions being violated in this regard.
 
Back
Top Bottom